😭😭😭aisee inaniuma hatakama mimi sio mu Tanzania 🇹🇿 mimi ni mu congo 🇨🇩 kiukweli nyakati za mzee @MAGUFULI vitu kama hivi havinge fika Tanzania 🇹🇿 ange kemea huu upuuzi daah mwenyezi mungu amulaze mahal pema peponi 😭😭😭🙏🤲🤲🙌
Kwakweli ukingalia basi Tanzania Kwa unashughuli gani za kuhitaji robot wenyewe umeme wa mgao viti vyakula vya kishida wanavyotafuta vyahabika kwa mafriji kwa umeme wakuzima zima vionhoz jitafakarin muache kuiga nchi za watu waliondelea
Kusema kweli tuwe makini hii ni program ya A.I inayoendelea duniani kwasasa, nilijua Tanzania yangu haitaingia huku. NI HATARI JAMANI, Tuweni makini karibia TERMINATOR Wana take over DUNIA NZIMA 😭😭😭
Daaah...... kweli kunatofauti kati ya binadamu na kivuli....... vivuli vikibaki.......... everything goes FU*****D So pain and very Pain...... No solidality, no Vission,.... no goals..... no stretigies..... Just Stupidity and staying on a palace throne having a ceremony for UTUMBOOO....... my tears for my lovely Country...... so Pain for my Africa........
Hata musitake technology itabakia kuwa vile vile na lazima mabadiliko yawepo,,swala la ajira kwa vijana lipo na kila RAISI anaye kuja anapambana kivyake,, acheni fitina na unafiki mama anajitaidi kwa upande wake,, muhimu tuombe aongezewe upeo zaidi wa kufanya mambo bora zaidi kwa WANANCHI WOTE,, Ahsante
Nape huna jipya kwenye wizara ya mawasiliano tokea urudi kwenye wizara Mambo yameharibik kabisa bando juu, voucher juu yaani kaa umebaki kutuletea midoli ya umeme kutoka ulaya sijui inafaida gani kwa Tanganyika yetu.
mimi nashauli huyu awe roboti wa mwisho kutengenezwa maana sijaona faida yoyote iliyo ingizwa nchini na hivi vitu tutafute kitu kingine jamani sasahivi Roboti sofia yupo stoo na pesa nyingi zilitumika 😢😢😢😢😢😢😢
Ni vtu vyakijinga Sana vitu muhimu nikulinda asilimali za selikali kuzbiti ufisadi nalushwa uwajibkaji kwa wtumishiwauma hyo ndoyamcngi siyo upuuzi ambao haunatija
nchi zilizo piga hatua wanacheka mpaka wanakaukia jinsi tulivyo mapunguani kichwani tena mpka Mh raisi wa nchi anakuja kuangalia hii toii dah mama washauri wako wanakuangamiza hawakupi ushauri unaojenga
Kwakwel tuombeni sana hizi ni nyakati za mwisho tunako elekea hizi hizi roboti zitakuja kutuua sisi wenyewe MUNGU itetee Tanzania tupe watu sahii Katika tafifa letu
Sasa hatuna kiongozi Yale aloyapiga vita nyelele ndo yanaludi viongozi wanashangilia maroboti yanasaidia nn apa kwetu ww mama mungu anakuona nawewe unaijuwa vzr dini hicho kiumbe unakipigia makofi utakipa naroho
Watanzania tunama asikari wengi wakutosha huyo robot wakazi gan hivi titakuwa watumwa mpaka rini sisi watanzania inchi yetu imebarikiwa kuwa nawatu wasio penda fijo hatakama wanapo fanyiwa mabaya naviongozi wao napenda kuuliza nahuyo roboti atakuwa ana fanya Kazi yakurida usarama waraia watanzania au naakiwa anarinda nar atapokea mashahara je minda mboyake ikija kugoma mnajua mazara yake😢😢😢😢😢😢😢😢