Roma tunamjua kwenye nyimbo za kiume, siyo hizo za upuzi!! Mwanangu unatoa ngoma nka NIPENI MAUA YANGU halafu unaongezea hiyo kweli?? Umeniangusha ndugu yangu
Wa ujiji kigoma. Ewe roma mkatoliki remix ya hii ngoma Tia ndani darassa na lava lava sauti zao na viudambwi dambwi vyao humu. Vitakua poa Sana ,. Nalishuka jukwaa kwa shangwe la vibe la VIMODO
Hii nyimbo Ungeacha tu iwe ya Mkwawa iwe Mkwawa ft Roma na ungemuacha apost kwenye akaunti yake. Nyimbo ya hovyo kabisa kuwahi postiwa kwenye Chanel hii