Safi sana kaka roma wewe ndio unasema kwel na kama hawajafanya kwanini waumieee 😂😂😂😂 imeumaa kaka kama ikiwezekana toaa wimbo tena kama huuu tena walieee
Saf kwanza nampa pongezi roma kuongea Nakuja kwenye point moja kwa moja .1. Kusoma hujui jata kuangalia picha huwezi ?? 2.usilolipenda wewe usimtendee mwenzako Kwa hyo hata tusipotendew haki tusiseme mhu mgu kwani kila mtu ana haki ya kuongea. 3.mungu hana kigeu kigeu je yanenaje maandiko ya Mungu. Jamani jaman lisilowezekana kwa binaadam kwa Mungu wetu lawezekana. Acheni upendeleo. Selekali ya awamu ya 5 nani Na ya sita nani lazima tumuogope.Mungu. anatuona.amen Mungu haziakiwi.
Roma asante,.huwezikufananishwa na akina Mrisho Mpoto(mjomba)kazi yao kusifia na kufumbia macho maovu .wao kila kiongozi akijawanaegemea kwake nakuonakama aliepita akukidhi haja.
Roma unastahili kuwa mkuu wa hii nchi naamini ukipewa hii nchi lazima tusonge mbele jamaa sio mnafiki na wanafiki anawajua yupo juu sana ki sychology,viva ROMA viva
tuache umbamba mbamba.....mwanaharakati ni mwamba anasemaga kweli alafu akirudi nchini watamteka Tena Yan...nimemusi nyimbo zake za kiharakati kam Ile SAY TANZANIA
Hata mimi panapo uhai Nina mpango wakuhamia walau zanziba pindi mama akiongoza tena hii nchi. Bgap Roma mwenyezi mungu akulinde akupe umuri mrefu. Naumia pia Amin.
Msimu huu ni msimu mzuri sana kwa kilimo cha mpunga nak..... Mngejielekeza ata huko ili mkuze uchumi weni na wa familia zinu, kuliko kushida mukiangaika na mitandao Mkifatilia mambo yasiyo kua na maana. "Ivi wewe ulichokifanyia utafiti au ulichokisema cha maana ni kipi katika clip yako" ??? Endelea kuhangaika na mitandao utakula mitandao
Roma gud gud ,I wish you to a leader of tz ,ata kama umahamaa endelea kukosoa huo utopolo unaofanywa il tusonge ,nakusapot ccm na andaz nachagua andaaaziiii
Roma mkatoliki mwenzangu respect kaka umenene na basata wakifungia Ngoma hii itakuwa Wana jambo lao. Ila Ngoma hii inaelimisha sana na walipoamkia wao we ushaamkia kitambo..Kaka ukirufi watakutesa we wachane ukwel.
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu
Watanzania hatuna umoja,, ata wandishi wahabali mulifikilie hili kwani mukiangalia mama samia hanakazi anayo fany hatuoni kipi anachokemea vitu vinapanda bei yeye amekaa tu ,,,, roma pamoja sana nyimbo hii imewagusa ,,,wa tanzania badilikeni msema kweli nipenzi wamungu 🏯🏯🏯