Тёмный

Rose Shaboka “Sababu zipi upelekea Mwanamke kuachwa kwenye Mahusiano” 

Nipe Tip
Подписаться 3,5 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Basi unaambiwa kulia na kuumizwa mwisho leo, na yale mahusiano ambayo hayafikii ndoto ya Ndoa pia leo ni mwisho. Tunajua umejiuliza sana wewe Mwanamke au Binti kwa nini umekuwa ukiachika sana kwenye kila mahusiano yako.
Ndani ya NIPE TIP tupo na Pastor @pastor_roseshaboka Yeye anatupa Tips ni jinsi gani Mwanamke au Binti unaweza kuwepo kwenye mahusiano bila kuachika au kuachwa

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@SylvestaLukonde
@SylvestaLukonde 3 месяца назад
Asante pasta
@iriskasuvu6351
@iriskasuvu6351 5 месяцев назад
may God bless you you always touch my heart ❤️❤️
@cimpayejacques-xf2cs
@cimpayejacques-xf2cs 9 месяцев назад
Mungu akubariki sana na kukutumia zaidi
@DoreenNafula-l9u
@DoreenNafula-l9u Год назад
Mama mungu akubariki akuinuwe akuweke kiwango Cha juu
@AnnaShayo-s1h
@AnnaShayo-s1h 10 месяцев назад
ni kwel madamu Asante kwa kutufuza
@deusoden3614
@deusoden3614 8 месяцев назад
Be blessed
@masungakibinza1312
@masungakibinza1312 9 месяцев назад
Saruti kwako unaakili sana wewe mwanamke
@revinaedward6616
@revinaedward6616 2 года назад
Mm nakuhitaji mama nakupataje jaman nataka unifundishe vitu nimeshakutafta sana jaman
@alexiabukayembewamulengwa9748
Ubarikiwe kwakweli
@jemanyamle5945
@jemanyamle5945 2 года назад
Asante mama nimepata kitu
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 2 года назад
Ukweli mtupu brkw sana mama
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 10 месяцев назад
Very good
@doreenkihampa7204
@doreenkihampa7204 2 года назад
🙏
@rehemamligo6155
@rehemamligo6155 9 месяцев назад
Kuna wanaume hawashauriki jamani jamani
@makoyekelvin
@makoyekelvin 9 месяцев назад
Jibu lako hili linaonesha una kiburi Dada yangu. Kiwango cha heshima yako ndicho kitafanya mwanamume asikilize ushauri wako au asisikilize.
@wennybarny168
@wennybarny168 6 месяцев назад
​​@@makoyekelvinwanaume wanalazimisha kuheshimiwa, haitakiwi kulazimisha kuheshimiwa na mwanamke. Tabia zako, kauli zako, matendo yako ndo mambo yatasababisha uheshimiwe na mwanamke. Lazima ujiheshimu wewe mwenyewe kwanza, onesha nidhamu ya kiume, hapo LAZIMA UHESHIMIWE. Sio mwanaume unafoka, unatukana, unapiga, n.k hapo huwezi kuheshimiwa, unaonekana chizi. Fanya majukumu kama mwanaume utaheshimika saaanaaa kwa mwanamke yeyote utakayekuwa naye.
@dionizntorock5078
@dionizntorock5078 10 месяцев назад
Ukweli kabisa
@beatriceresiato3308
@beatriceresiato3308 Месяц назад
😢
@stevendavid8054
@stevendavid8054 3 месяца назад
Mbona unawahubiri wanawake tu,usemei na upande wawanaume,
@happynescostat7420
@happynescostat7420 10 месяцев назад
Asante ila uwe unajibu comment,mme wangu nimezaa nae watoto wawili nikimwambia tuzae mwingine anakataa na anasema nikibeba mimbavatanifukuza, na uwa anakaa na vipimo vya kupima ukimwi nikimuuliza inaleta ugomvi nini maana yake?
@RukiaLusinga
@RukiaLusinga 10 месяцев назад
Asañte mamaangu
@dastanKelvin162-dr6kk
@dastanKelvin162-dr6kk Год назад
naomben namba za huyu dada jaman wapendwa
@akidajulius1581
@akidajulius1581 4 месяца назад
Da aliye kuoa wewe amepata mke,jaman,
Далее
@ItsMamix учу делать сигму😎
00:12
Просмотров 554 тыс.
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 26 тыс.
KUVUA VAZI LA UCHUNGU
0:58
Просмотров 11 тыс.
Apostle Rose Shaboka - Namna Ya Kuvuta Baraka Part 02
47:52
Njia rahisi ya Kuitambua Siku ya Kubeba mimba
13:03
Просмотров 3,2 млн
@ItsMamix учу делать сигму😎
00:12
Просмотров 554 тыс.