Congratulationi Wanaume wa Tz kwa style ya mchepuko ni namba moja na wapa medhali, Kenya nahama Mume wangu lazima anipe talaka apende asipende nika orewe Tz'd hata kama nita orewa Mke wapili niko tayali,Tz'd na hamia Inshallah!
One point I will say is smart fone, second its us pple we are mistaken and miss yousing internet and we have to respect our self and don't forget our African culture that our problem thanks alot sns team keep it in who has hears to hear and have eyes to make use of his or her 5 senses of organ
Kwa wanaoamini ni Gwajima nivigumu mno kuwashawishi hio ukikutana na mpenzi mpya harafu unajirekodi hatakama uko mzee utachangamka sana Gwajima amekaa kiujajanjaujanja sana nikisikia ilikua kweli siwezi kushituka.
Nyie comment zenu zimelenga as if Mhusika ndiye aliyerecord bila kujali kuwa kulikuwa na Vipande Viwili vya hiyo video, Na pia Inaonekana kama Kulikuwa na Mpiga Picha Mwingine, Na kwanini mwanzo mhusika aonekane anataka sura yake ionekane lakini wakati wa tukio aonyeshe kuweka mkono kuziba camera au kumziba anayechukua video? Kwanini Alieyechukua Video au waliochukua Video walihakikisha mwanamke haonekani ila Mwanaume? Na Iwapo mhusika alijipiga picha Mwenyewe Mvujishaji ni nani, alikuwa na lengo gani and why Now? Kwa Mtindo huu itakuwa ndio trend mpya Tanzania kuchafua watu, au kufeed media hunger for gossip. So Sad! Mwisho niseme Kama kweli Mhusika alijifanyia hayo Basi Upo Msalaba wa Kujibebea mwenyewe ila I have a lot of doubts.
Braza Sky Bana usifanye round up za hvyo na bby sky bora bby sky asiwepo sio pow kaka umezingua hapo ila mpo freah sana Nawakubal lakn round up za hvyo msifanye na bby sky
@@hechihechie5558 wanamlinda? Wanamlinda nanini? Haki sawa kwa wote akuna cha nani wala nani, Kwamfano akiuwa asifungwe kwasababu yeye ni kiongozi wa dini 😀😀😀😀watu wengi wapo nyuma yake wasipotee😁😁😁 aiingiii akilini hata kidogo , Mbona wema sepetu alihukumiwa Kwani wema sepetu siyo mtu ila gwajima ndo mtu tena wema kosalake lilikuwa Dogo sana lakini alihukumiwa sasa gwajima kosalake nikubwa chakushangaza wamemuacha
Mtumish hawez kuwa ivyo kwakuwa sio mwanaume ama? Ila Godfrey mungu anakuon jmn😂😂😂😂 nimecheka sana mauno yale si y kibongo yatakuwa yametoka nje y nchi ht wew god huwezi ayo mauno
Godfrey Rugambwa wee fundibisho u are something else eti umesema jamaa alikuwa anaenda kushoto kulia,juu chini alafu analikoroga lile uno 🤣🤣🤣🤣🤣 alafu unatuonyesha na action 😂😂😂😂
mimi sijaiyona hiyo vidio lakini kwajinsi mnavyo ielezea inawezekana ni yakwake naana kwajinsi ninavyomuonaga gwajima ni mtu wa kurupushani hata maka anahubiri utamuonatu mara ainame mara ainuke mara pige kelele mara ageuke mara tembee hapa napale mara afute jasho oyi niyeye bana
What???? Maiti 😂Alafu imetokea kipindi Cha Ramadhani Daaaaa mungu awasamehe, #Godyfrey😂😂😂 khaaaaaaaaa sasa ulivyosema Mmakonde umekosea,nmefunga nasikia tu kwa watu kuhusu hyo video
Ila Sky wewe daaaaah! Yaan unakua professional hadi unapitiliza "Mwanaume anayesemekana" Hapo umetisha sana nimeshangazwa na baadhi ya media kubwa eti mtangazaji ambaye mimi namuita mtangazaji uchwara anasema eti "video inayomuonesha Gwajima" wakati Habari bado zina utata Nakuelewa sana, yaan huoneshi uko upande gani?