Niko pamoja na god,urafiki wa kupeana gari lenye thamani kubwa kiasi hicho mmmm hapo ninamashaka pia msisahau ile story yao ile 🤐 wacha nipite simoooo🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
27:08 watu huwa wanarafikiana bali sio kwa kiasi hicho,kiukweli urafiki ukiwa wakubusiana kwa lips mara moja hiyo inamaanishaga mapenzi ya jinsia,sasa kwa mwanaume na mwenzie ni ma #homosexuals na mwanamke na mwenzie ni ma #lesbians,urafiki wa Aunty na Wema kwa kiasi hicho watakuwa ni ma lesbians tu,na kama sio basi wenyewe wanajua siri yao ya kubusiana kwa ma lips.
Sio kwa mwanamke tu mbali mpaka kwa wanaume Yeyote " straight " and I repeat " straight " you can't be comfortable doing some romantic things with you fellow woman or man. But if kuna kasoro fulani, basi ndo ivo Auntie anambusu mwanamke mwenzake midomoni direct. But as a straight woman me I can't event stand that. Yaani ata nitatapika tu
🤣🤣 ila Godfrey unaongeaga ukweli mtupu, na ukweli sikuzote watu hawautaki, nakumbuka ulikataaga kuhusu king bae wa zari kwamba hayupo watu walikataa sasa watakuelewa, na kuhusu gari ya zawadi ya Wema pia unakataa 🤣🤣 ila watu ipo siku watakuelewa fundi bishoo 🤣🤣🤣🤣
Godfrey na lodhery..mko sahihi kabisa iyo gari wameomba inarudishwa shoo rom.na kuhusu kiss itakuwa yale mambo ya Diana sasa hivi karudi kwa aunt kaachana na Diana ..hahahaahahahahah
yani mnaamaanisha wema hata gari hana? apo hamna ushauri mnaponda tu watu acheni kukejeli watu fanyeni kazi ipaswavyo team wema gongoni like apa kama mnakubaliana na mimi
Wema kubusu hivyo sio kwa aunt tu jamn hata kama ana mambo yake na huyo aunz but hatuwez kumjaji kwa kiss bwana, If so basi hata mama ake ana anasagana nae basi🙄 maana hata mama ake huwa wana kiss mdoni na sio mama ake tu watu wengi na video Zipo...... Kuhusu gari 🙄🙄
@@halimatanzani8587 dada halima ninafanya kazi Bahrain ya salon na hivo ndivyo wanafanya hata boss wangu huwa akiingia tu saram anatukiss wote kwa lips mashavu
@@kahroogall5695 uko ulipo ni uwarabuni bhan kama wanabusiana mwanamke na mwenzie au mwanaume na mwenzie kwa ma lips manaake ndo utamaduni wao,bali hayo sio mabusu ya waafrika na hiyo sio kizungu,na kama muafrika mwanaume anambusu mwanaume mwenzie mara moja tunajua ni ma #homosexuals na wanawake ni ma #lesbians ndo tafsiri yote hiyo,shida iliyo hapo ni sababu waafrika wanapenda kuiga ujinga wote wadunia.