Тёмный

"Ruge Mutahaba ni mali ya Watanzania." Mbaki Mutahaba 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 77 тыс.
50% 1

Mbaki Mutahaba mdogo wake na Ruge amewashukuru Watanzania kwa maombi yao pamoja na watu wanaotaka kutoa michango yao....tazama hapa

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 162   
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 5 лет назад
Get well soon,Ruge you are the champion. You will make it.
@joelmlavi400
@joelmlavi400 5 лет назад
Mungu aendelee kumtunza brother yetu, Tunashukuru Mungu mpaka sasa alipofika ni Neema za Mungu.. na Mungu anamakusudi zaid kwa Ruge zaidi ya yote alowahi kufanya.. Maombi yetu makubwa Mungu amuinue tena ruge toka Kitandani. Amen
@DrNangwaIP_international
@DrNangwaIP_international 5 лет назад
Get well soon our beloved brother and inspire of development, Mr Ruge Mutahaba, Mungu akuponye kwa rehema zake urejee katika majukumu yako, #Tuendelee kumwombea apone
@benderaJr-California
@benderaJr-California 5 лет назад
The way his young brother express what’s going on with Ruge you can feel it kuwa Ruge is still sick. Mungu akambariki kwa kumpa Nguvu tena
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 лет назад
Stephen Bendera You are very right Steve , you can see Mbaki is trying to show he is recovering . Let us pray for Ruge .
@freddiemanento6318
@freddiemanento6318 5 лет назад
Daah Ruge, Mungu akuponye brother, pole sana na changamoto hii ya kuugua kwa muda mrefu sasa. Our prayers are with you, have faith - GOD IS ABLE.
@zayaantwaha3552
@zayaantwaha3552 5 лет назад
Mungu alopasua bahari mussa akapata njia ya kuvuka upande wa pili alomfanya Ibrahim Moto kwake uwe salama alomficha Muhammad kwa uzi wa buibui na maadui hawakumuona basi aweke njia kwa mja wako we ni mungu usieshindwa na kitu rudisha afya ya mja wako ya Allah
@ayubuishaka9614
@ayubuishaka9614 5 лет назад
Get well soon #Ruge Mutahaba
@manasemwakagali9358
@manasemwakagali9358 5 лет назад
Mungu amponye katika jina la Yesu
@abcswahilii3322
@abcswahilii3322 5 лет назад
Pole sana Ruge... Kama akili tribe tunakukumbuka tangu wakati ule wa smooth vibe project... mungu akupe afya njema na akurudishe katika mapambano
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 5 лет назад
Mwenyezi Mungu akufanyie uponyaji,Ruge Mutahaba.
@devothamedia5177
@devothamedia5177 5 лет назад
karibuni kwenye chaneli kucheki Ubuyuwa insta, mapishi ,mapovu na habari zote Zinazotrend na urembo nk. bonyeza picha yangu itakuleta kwenye chaneli yangu .msisahau kusubscribe
@jacquelinelinja5079
@jacquelinelinja5079 5 лет назад
Mungu amsaidie sana pia maon yangu ndg jaribun kwenda kiroho zaid kupitia watumish wa Mungu km wakina Tb Joshua kibinadam pekee haotosh wapendwa
@kajjd40
@kajjd40 5 лет назад
maombi yetu yako kwako ruge Mungu atamponya amina
@pemdumi
@pemdumi 5 лет назад
Fingers crossed for him.What a gift to our Country!Mungu ni mwema sana.
@masambakitana8736
@masambakitana8736 5 лет назад
Ewe M/Mungu mponye mja wako huyu ambae amekuwa kiongozi wa mafanikio kwa vijana wa kitanzania tulio wengi. In shaa allah amiin. Pole sana bro Ruge.
@judithoyier7100
@judithoyier7100 5 лет назад
Mungu wetu hashindwi na jambo, kwa imani na maombi atapona..
@restamtui4718
@restamtui4718 5 лет назад
Duuuu! Pole sana kka ruge !! Mungu ni mwema naimani utapona kwa jila lake!!
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 5 лет назад
Poleni sana familia.Mungu atampomya Ruge soom
@dn.n4983
@dn.n4983 5 лет назад
Mungu haponyeshe na pia hawape upesi kweli ni ruge ni mtu muhimu sana kwa vijana ambao wametoka pls kila mmoja wetu atowe chochote hatapona maombi kwa wengi sana asikate tamaa
@juliethnyangolo5211
@juliethnyangolo5211 5 лет назад
Ruge atapona kwa uwezo wa mungu naamin mungu atatenda juu yake
@rythmncitizen
@rythmncitizen 5 лет назад
I have always admired Ruge. May you rise again to good health in Jesus name
@beatricekamengekamenge5543
@beatricekamengekamenge5543 5 лет назад
Pole sanaa RUGE mungu atakuponya kiongozi
@batromayoissa8608
@batromayoissa8608 5 лет назад
Pole sana Ruge kwa changamoto unayo pitia ya kiafya mungu atakusaidia utapona
@mligombuma2287
@mligombuma2287 5 лет назад
Mtangazaji unaongea saana go straight kwenye point buuanaaa....all in all get well soon Ruge jamii inakuhitaji
@eng.johndzmmolamu1816
@eng.johndzmmolamu1816 5 лет назад
Tanzania inakuhitaji Ruge mutahaba,very smart person never seen
@irenenguta2893
@irenenguta2893 5 лет назад
This touched me alot
@frankmuganyizi2808
@frankmuganyizi2808 5 лет назад
Get well soon brother Ruge
@zawadisaidy755
@zawadisaidy755 5 лет назад
Mungu ni mwema atapona tuu kwa nguvu za allah
@godfreyismaelynnko8206
@godfreyismaelynnko8206 5 лет назад
Get well soon Mr.Ruge, Mungu ni mwema utapona.Watanzania tunazidi kukuombea
@hadijapazia684
@hadijapazia684 5 лет назад
Allah atamuafu Insha Allah
@ummyameir266
@ummyameir266 5 лет назад
wallah maisha na pumzi zetu ni siri iliyopo kwa alietuumba lait tungekuwa tunaijua kesho yetu mengi tungeweka kinga yasitukute ila ndo Allah ni muweza wa yote basi na tuseme Alhamdulillah kwa kila kitu. Innalillahi wainnailayhi rajuun 😭😭😭 R.I.P baba Ruge naumia km nakujua vile dah
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 лет назад
Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo wewe ni kila kitu, huna unaloshindwa, hata hii afya ya Ruge utairejesha tena. Mungu usimame wewe kama wewe. Bado tunamhitaji kijana wetu sana,sana, sana.
@Purity493
@Purity493 5 лет назад
Amen
@beatricechristian9257
@beatricechristian9257 5 лет назад
Pole sasa kaka yetu utapota🙏🙏
@saidkanjitvonline5927
@saidkanjitvonline5927 5 лет назад
Mungu atamsaidia.
@rahmramadhanmussa9854
@rahmramadhanmussa9854 5 лет назад
Get well soon ruge mtaaba bdo hunaitajika ruge mungu akusaidie
@Purity493
@Purity493 5 лет назад
Quick recovery.dear brother love from Kenya
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 лет назад
Huruma ya Mungu imponye🙏🙏🙏 mpe uzima ee bwana🙏
@kato_tz
@kato_tz 5 лет назад
Omukama akushoboze waitu, Wene niwe mutambi mukulu niwe alikushobora byona. Waitu ninkushabila ali Mukama Katonda. Get well soon our beloved and encouraging brother Ruge Mtahaba.
@mrdddj
@mrdddj 5 лет назад
GOD still with you BROTHER. Hakika utapona maana kusudi la MUNGU Lazima litimie bado tuna thamini thamani yako na tunahitaji thamani yako . GET WELL SOON.
@anselmokidaboma9328
@anselmokidaboma9328 5 лет назад
Mungu ampe nafuu our big bro Ruge
@godfreysosthenes7434
@godfreysosthenes7434 5 лет назад
Get well soon my Brother! We love you so much....
@juliethdionise6448
@juliethdionise6448 5 лет назад
Lord protect Him for US🙏
@mamafranjovlog72
@mamafranjovlog72 5 лет назад
get well soon Ruge
@medardkihekaabel2601
@medardkihekaabel2601 5 лет назад
Get well soon Boss Ruge
@mwanahella9650
@mwanahella9650 5 лет назад
Allah Kareem atakupa shifaa
@stellastanley630
@stellastanley630 5 лет назад
Namwomba mungu amponye haraka kakaetu mpendwa bado tunampenda sana
@surgeondoctor16
@surgeondoctor16 5 лет назад
Quick recovery 🙏🏾
@saulgedion7270
@saulgedion7270 5 лет назад
Mungu amponye jamani
@nasibungonyani9860
@nasibungonyani9860 5 лет назад
Get well soon boss's Ruge Mutahaba
@alfaniismail529
@alfaniismail529 5 лет назад
Mungu akuokoe Ruge
@janembise1022
@janembise1022 5 лет назад
Mungu amponye kwakweli kaka yetu Ruge
@nelsonnovatus9670
@nelsonnovatus9670 5 лет назад
Get well soon Ruge. 🤲🏼🤲🏼 🙏🏽
@davidmpungu8502
@davidmpungu8502 5 лет назад
Jama anafanana na #LUGE utahc mapacha aise mungu amsaidie apaone aje aendelee na shughuli zake.
@judymasunzu7517
@judymasunzu7517 5 лет назад
God is able utapona. Get well soon Ruge.
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 5 лет назад
Mwenyezi Mungu amsaidie huyu ndugu yetu ameugua kwa muda mrefu sasa.
@evaristmrope
@evaristmrope 5 лет назад
Poleeee sana Boss Ruge
@kingj9346
@kingj9346 5 лет назад
Niko Johannesburg yuko hospital gani tukamjulie hari ndugu yetu jamani
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 5 лет назад
Huo ujumbe mtumie kwenye no aliyotaja atakujulisha.
@essaunyange9206
@essaunyange9206 5 лет назад
It is well bro God will heal you 🙏🙏🙏
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 5 лет назад
Get well soon
@heribertsab4004
@heribertsab4004 5 лет назад
Mungu akutangulie katika matibabu yako
@poshystylish3489
@poshystylish3489 5 лет назад
Get Well Soon🙏
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 лет назад
Wamefanana sana..#RipRuge
@Thadeus97
@Thadeus97 5 лет назад
get well soon ruge!!!!!
@ottokyaruzi2235
@ottokyaruzi2235 5 лет назад
Get well ruge
@godwinmsuya6080
@godwinmsuya6080 5 лет назад
Mungu yuko upande wake.... hakika atapona...
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 лет назад
From UAE Get well soon bro Ruge, I believe god you'll be fine bro Amen.
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 5 лет назад
Kwani lazima useme from UAE
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 лет назад
@@mzalendomzalendo2567 I'm so sorry if I've wrote badly But very thank you for telling me
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 5 лет назад
You are wellcome my brother, and i am sorry if i offended you
@azizamohd5728
@azizamohd5728 5 лет назад
@@mzalendomzalendo2567 si lazma na si mbaya pia ni namna tu ya kuelezea kuwa watanzania from all over the world tupo pamoja katika kila kinachotokea back home #nohardfeelings
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 5 лет назад
Duh haya basi na sisi wa uk tuko pamoja
@nyanzalakaporo2504
@nyanzalakaporo2504 5 лет назад
Get well soon Our Brother RUGE.
@edinamutakyawa6872
@edinamutakyawa6872 5 лет назад
Mungu amponye ndg yetu
@chrispinechristian238
@chrispinechristian238 5 лет назад
get well soon our belove Mr. Ruge
@avituscharles4176
@avituscharles4176 5 лет назад
Get well soon broh.
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 лет назад
Mungu ni mkuu hakun asiloweza
@mtungakoahamisi5200
@mtungakoahamisi5200 5 лет назад
Get well soon #Ruge
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 лет назад
Dah...ndio changamoto za maisha hizo.Cha msingi ni kumuombea apone haraka tu.
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 5 лет назад
Get well soon, #Rugemutahaba
@winfridaw.mwashala289
@winfridaw.mwashala289 5 лет назад
Jesus you love me too much ooh FYI the music in the background! Ruge pona kama alivyopona Tundu Lisu!
@yariluhwago9988
@yariluhwago9988 5 лет назад
utapona kwa uwezo wa mwenyezi mungu
@rosemsemwa1065
@rosemsemwa1065 5 лет назад
get well soon mutahaba
@ezekielikuboja1413
@ezekielikuboja1413 5 лет назад
Mungu atakuponya bos ruge
@elizabethmasai3343
@elizabethmasai3343 5 лет назад
Ugua upone brother
@sethstiven3393
@sethstiven3393 5 лет назад
Katka jina la Yesu ruge amka
@emmanuelkyando8717
@emmanuelkyando8717 5 лет назад
Pole sana bro ruge
@zainabashraff8754
@zainabashraff8754 5 лет назад
Mungu atamponya Ruge
@rosekingalu4403
@rosekingalu4403 5 лет назад
🙏🏻
@RomwardWM
@RomwardWM 5 лет назад
Kifo cha ruge alivyatuliwa toka ametoka dodoma, hivyo waliamua kumpoteza kijanja tu , ni wivu
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 лет назад
Mbaki anaongea vizuri sana
@mariej6962
@mariej6962 5 лет назад
Hayupo nasi hapa studio ". Jifunze kiswahili vizuri kijana.
@aminakassim8272
@aminakassim8272 5 лет назад
Rest on Peace Ruge
@fetymwamba8685
@fetymwamba8685 5 лет назад
Utapoa baba mungu yupamoja nawe
@kokumalenge2350
@kokumalenge2350 5 лет назад
msiba wa ruge mutahaba
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 лет назад
kama mapacha aisee
@edibilydaimon186
@edibilydaimon186 5 лет назад
R.I.P
@adamwakwanza
@adamwakwanza 5 лет назад
Allah nimuweza tunakuombea kwake upate kupona Ila na wewe zidisha maombi zaidi
@frankmkofu3047
@frankmkofu3047 5 лет назад
Mungu umpe wepes hili arud kwnye afya yake njem bado tunaitaji msaada wake
@deebrown7908
@deebrown7908 5 лет назад
Mungu mkubwa atamsaidiatu
@joanithamwaudama9928
@joanithamwaudama9928 5 лет назад
Lkn kwa Mimi ninavyojua watu huishi bila figo kwa dialysis tu na huwa vzr wakifuatilia matibabu ...sasa kama yeye ameambiwa haihitaji kidney transplant inamaana hali itakuwa sio mbaya sana,,,,Nahisi pia atakuwa na shida nyingine jamani eeMungu tunamuomba ampe wepesi!
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 5 лет назад
Get well soon brother
@mariej6962
@mariej6962 5 лет назад
Jamani, alishakuwa anafanyiwa rehab jamani!
@nunuuali5316
@nunuuali5316 5 лет назад
Eeeeeh Mungu sikia maombi ya viumbe wako mponye Ruge kwa uwezo,upendo,huruma yako. Wengi tunajifunza mengi kupitia huyu kiumbe wako. Nina Imani kubwa Ruge wetu atarudi kusimama. Get well soon Bro Ruge.
@mamafranjovlog72
@mamafranjovlog72 5 лет назад
Haya karibuni kwenye chaneli kucheki Schoraship mpya , maisha ya ughaibuni nk. bonyeza picha yangu itakuleta kwenye chaneli yangu .msisahau kusubscribe
@atomphoton5000
@atomphoton5000 5 лет назад
mama fulanjo, Ujerumani mnatunyima nini huko? tupe madili ya kuzamia huko, dili za kupata muzungu na nakadhalika, hayo mascholarship yenyewe hatatukipata na elimu yetu ya kayumba tutashindwa kumudu mategemeo na matarajio ya wanaotuangalia huku nyumbani tupe michongo ya box
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Utasimamia vipi Scholarship wakati hata kuandika huwezi
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 лет назад
Rip bro ruge
@lawrencemushi327
@lawrencemushi327 5 лет назад
Ok wapo walilko muhimbili wanahitaji msaada
@estherngowi3690
@estherngowi3690 5 лет назад
pumzika kwa amani baba yetu, njia hyo ni yetu sote.
@edwardkasubi1495
@edwardkasubi1495 5 лет назад
OGOPA MUNGU na teknolojia hayo ni maneno yake ndg MUTAHABA pata nafuu HARAKA Brother
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 5 лет назад
Get well soon Ruge, Yesu akuponye
Далее
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Bacon на громкость
00:47
Просмотров 96 тыс.
JOEL LWAGA - MMI NI WAJUU (Official Video)
4:22
Просмотров 4,3 млн
Dakika 3 za Ruge Mutahaba kwenye azimilo la Kagera
4:03