Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..
Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma
Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana
Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda
dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana
mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante
Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap
Kaka habari za siku. nina problem mbili ya kwanza(1). mimi nimeanza mipango ya kuanzisha biashara yangu miezi nane iliyopita. Tatizo mpaka leo sijafanikiwa na nimetumia pesa nyingi kununua vitu vinavyohitajika, kipato changu ni kidogo na mara nyingi kila ninapoona nipo tayari kuanza naona vikwazo vinaongezeka ambavyo vinahitaji pesa zaidi. yapili(2) nahitaji kuajiri mtu afanye hio kazi lakini naona kama inakuwa ni changamoto pia kupata mtu. naomba msaada hapa. nifanye nini ili biashara yangu iingie katika operation.?
nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel
Nadhani kwa mtizamo wangu pia hili Jambo la kutokufanya utafiti wa biashara sahihi kuifanya kwa muda sitahiki katika eneo lako linadumaza ukuaji na maendeleo ya biashara au we pia unaonaje hii?
ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali
mwlm mm na Rafiki angu tulianzisha biashara ndogo ya kuuza Kuku lakin haikudumu kwan yy alkua anaingiza sana matumz ya nyumban kwenye biashara yetu ndogo mpaka ikapelekea kufa kabsa nawaza kufanya pekee angu make naona ananfelisha tu
mm nikijana ambae nipo chuo nm but cjawahi waza kuhusu kuajiliwa napenda saana nifanye biashara ya vipodozi(cosmetics) na nimelima shamba la matikit kwa lengo la kupata mtaji napenda saaana hii biasha japo sjawahi Fanya naomba ushauri
Ndio nimeanza biashara sasa, lakini changamoto ni kwamba mzigo nilitegemea utaisha wote ili niagize mwingine, sasa haujaisha na kuna wateja wananisumbua sana wanahitaji bidhaa nyingine ila ni ya the same company, hivyo nimeamua kuizungusha pesa niliyonayo kwa kuagiza mzigo mwingine(wa bidhaa zinazohitajika sana), instead of waiting mzigo wote uishe, Je nipo sahihi hapo Kaka Joel?
Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa..... Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....