@@dnyotausa6154 Eti Bro kama unakuja kama mwanafunzi na una ndugu huko ndio unaenda kufikia kwake, wakiniuliza nafikia wapi nikisema kwa ndugu yangu nitakuwa nimezingua? Au natakiwa kusema nafikia Hostel za chuo?. Plz nisaidie hilo Bro🙏
Bro,mi sitosahau nilizuiwa Doha nilikua transfer kuelekea Shanghai china, yaani ilibaki kidogo nirudishwe, issue ilikua form yangu moja ya z visa, kutoka kwa wachina walioniitia kazi ilikua tarehe ime expire, aisee, isingekua wachina kuongea na embassy ningerudishwa wallah, walinikaba mno,ila namshukuru Mungu nilifanikiwa
Hapa hapa bongo sisi tunatoka tu, Us tutakuja kununua nyumba hata kumi mtaa mmoja, then tutaheshimiana tu, ila hongera sana broo, Mungu akubariki sana appreciate you.
Unaambiwa kama upo bongo unapambana mshahara unaingiza zaidi ya milioni 20 baki bongo furahia maisha lakini kama haupati hivyo toka uko magetoni haraka nenda majuu😂😂
Asante kwa video zako nzuri na zenye mafunzo, nataka kujua kama huko marekani Kuna kazi na fursa kama unavyoelezea kwa nini kuna homeless na jobless ambao tunawaona wanaombaomba mi taani na kulala kwenye veranda za majumba?!