Watanzania hao hao MAHINDI yakipanda bei wanapiga kelele na watanzania hao hao MAHINDI yakishuka wanapiga kelele Sasa yupi asikilizwe maana muda mwingine tujiandae Lima heka zako za chakula weka ndani kwako bei ikipanda ikishika hayakuhusu Tuache WENZETU wakulima wakubwa wauze Kwa bei ya Dunia shida Iko wapi mbona kwenye mitumba,na vifaa vya ujenzi wakulima hawapunguziwi bei au wao sio watanzania?????
Wewe ujui hio Mia 600 kwa kilo gunia no 60,000 mfuko mmoja was mbolea ni 70 kwa Bei ya luzuku punguzo na 100,000 na zaidi kwa Bei ya kawaida unauza gunia mbili ili kupata mfuko mmoja wa mbolea pamoja na usafiri was kupeleka
Hivi comment zinasomwa? Kama iko point ya kumpinga Mwanisongole je mnafanyaje juu ya iyo bei elekezi ili kuikazia maana inatamkwa tu na waziri lakini ukweli sisi wakulima tunauza 7000 debe
Njia pekee ya kushusha mfumuko Wa Bei kwenye vyakula hasa mahindi na mchele ni kuzuia usafirishaji holela Wa mazao ili tuweze kuregulate Bei Bashe kazia hapo hapo Huku mipakani wananunua shamba Zima na wanaleta na mashine zao, wanapukuchulia huko huko shambani na kupack na kusafirisha Moja kwa moja Sasa kama watanzania Hili swala ni la kupinga maana kutatokea njaaa Kali Sana hivi karibuni
Kwanini NFRA wasiwafuate wakulima kwenye maeneo ya wakulima? Maana mkulima kuanzia kusafirisha mahindi kupeleka mkoani bado ni gharama kubwa sana. Pili, Wakulima walipwe cash na siyo ahadi Hapa ndio Kuna mnyororo wa urasimu pia ndio sababu wakulima wanaamua kuuza nje ya nchi.
Kiukweli mipaka isipofungwa kwa mazao ya chakula maisha yatakuwa magumu sana maana mikoa mingi haikupata mahindi Wala mpunga na saivi unga hadi 2300/@kg,sasa kama wabunge hawafanyi utafiti wakuulizia hali ya chakula majimboni kwao wanawaza uchaguzi ,it's apity .... Mzee. Kishimba wape kanuni za maisha ya mwana kijiji
NASHUKURU WABUNGE,HONGERENI SANA,WAKULIMA WANAUMIA SANA,SEREKALI IACHE KIZUNGUZUNGUZU KWA KUWAFILISI WAKULIMA!! KILIMO NI KAZI NZITO MNO,MANENO YA BASHE NI YA KUJITETEA TU!!
Mbona vitu vyenyewe ni vingi sana vya kufanya?kulipia lipia kwingi,na maofisini pia kuna ulasimu mwingi,nadhani, sema Bashe anajua tu kupanga maneno,sijui kama uhalisia uko namna asemavyo kwa mkukima
MBOLEA MFUKO 120000,,,,HEKALI MOJA INAWEKEWA ANGALAU MIFUKO 2,,MBEGU KILO8000,,,,ZINATAKIWA KILO 8 KWENYE HEKALI MOJA,,,,,SHAMBA LINA PALILIWA AWAMU TATU,,,KILA AWAMU ANGALAU ULIPKE 50000,,, SHAMBA ULILIKODI 50000,,,ULILIANDAA KWA 50000,,UKAWEKA DAWA ANGALAU ZA 30000,,,SHUGHULK ZA UVINAJI ANGALAU ZIKUGHALIM 200000,,,,,,,,,,MAVUNO YAKO UMEPATA GUNIA 08,,PIGA HESABU KILA GUNIA ULIUZE 60000,,,,HUYU NI WAZIRIIIII AU ??????????????¿???????????¿??????¿?????¿???????¿?????¿????????¿??????????EEEEEE MUNGU NAOMBA UMPE HEKIMA RAIS WANGU ALITAZAME KWA JICHO LA 3. SWALA HILI.
Mimi namwachia Mungu Ashuhulike na Uongo wa hii Nchi kweli mbolea Gali kukodi shamba Gani ,kupaplizi Gali ,kununua mbegu Gali kununua sumu za wadudu Gali alafu unasema kg 800 hamna aibu jamani vibarua wapalizi Kwa kutwa 12000alafu unasema gunia 60000 huna aibu Kwweli kyeleuwiiiiii 😢 hii Nchi inaenda mtoni
Mheshimiwa bashe sisi Kama wakulima tunaumia kwa sababu ya kuwawekea masharti hao wafanya bisashara kwani hao ndoo mkiwawekea masharti wanatumiza sisi wakulima
Pongezi mama Tulia kwa uchambuzi makinifu wa hoja,swali na majibu kutoka kwa mbunge na serikali(waziri) , Naam yaani mwamuzi wa mchezo pasipo chembe ya upendeleo.
Je pesa hzo zilizotolewa na serikali zina uwezo wa kununua mahindi kwa wakulima kwa kias gani? Je kuna miundombinu rafiki kwa usafirishaji na je usimamizi ni mzuri?, Isije ikawa mtu anaenda kuuza mazao sehem ambazo usafiri unamfanya apate faida sawa na ambavyo angeuza kwa 7000/= kwa debe. Je office hzo zimesambaa kuwafikia wakulima🤷
Hayo mahindi yenye bei ya chini yako wapi?,mbona Tanga mahindi yako juu sana kl.1 =1600 kwa kilo?, Nashauri mahindi yasiende nje yauzwe ndani kwa ndani,