Тёмный
No video :(

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 396 тыс.
Просмотров 67 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Nilipoandikiwa ujumbe mfupi na Edwin Bruno ambaye ni mkwe wa Professor kwamba Mama amekubalia kufanya kipindi na sisi siku hiyo ya Jumapili akishatoka church nilihisi kama naota. Mwenyezi Mungu anajua kwa kiasi gani tumekua tukitaka kufanya maongezi nae kwenye kipindi chetu. U busy wake na pengine mara nyingi kutokuwepo Dar es Salaam napo palikua panaleta ugumu, nyengine ilkua ni tarehe zetu za kufanya production na availability yake zilikua zinapishana sana. So unaweza ukaelewa excitement ambayo nilikua nayo baada ya finally samaki kujaa kwenye ndoana.
Professor Anna Tibaijuka ni LEGEND miongoni ma magwiji kwenye nchi hii kwa kazi yake na usomi wake na uzazi wake na kujibeba kwake. Kazi mbali mbali ambazo amewahi kuzifanya na kuliwakilisha Taifa hili zinajizungumza kwa sauti kubwa. Ila Safari yake mpaka anafikia kwenda kufanya kazi kwenye Taasisi kubwa duniani hakukumdondokea tu miguuni. Usomi wake ambao aliupambania toka akiwa mdogo na kupata ushirikiano kutoka kwa Marehemu Baba yake ndo kila kitu. Enzi ambazo mtoto wa kike alikua anaandaliwa kuwa Mama wa nyumbani, Baba yake aliamini zaidi kwenye kumpeleka mtoto wake shuleni na kwa mujibu wa Mama Tibaijuka Baba yake alikua aliwasisitiza wazee wenzake kufanya hivyo maana dunia ndo ilikua inaelekea huko, kuna ambao walimsikiliza na wengine ambao waliona anapoteza tu pesa na muda.
Mama Tibaijuka na Mimi tuliongelea kuhusu gharama za elimu enzi hizo Mimi nikidhani elimu “ilikua bure” pasi na kujua elimu kipindi hiko ilikua ghali pengine kuliko sasa na ukichukulia shule zenyewe zilikua mbali kweli kweli. Ananiambia pia suala la yeye kutaka kutomuangusha Baba yake ambaye baadhi ya watu walikua wanamcheka kwa kumpeleka Anna shuleni na kuingia gharama zote hizo. Pia ananiambia kuhusu Mama yake kufanya kazi zaidi ili masuala ya nyumbani aweze kuyafanya yeye ili kumsaidia mumewe ambaye pesa yake karibia yote alikua akilipia elimu ya Binti yake.
Mama Anna pia ananisimulia humu jinsi ambavyo aliposwa alipokua kidato cha tano na mchumba ilibidi amsubiri mpaka alipomaliza Chuo Kikuu. Nili enjoy kila sekunde ya maongezi haya ambayo kwa kiasi kikubwa naamini yatakua na faida kwetu sote. Ananihadithia pia jinsi ambavyo alienda Sweden na mumewe ambayo alikua huko kikazi na jinsi ambavyo alipata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu BURE na ni nafasi ambayo aliipokea kwa mikono miwili na kuhakikisha hafanyi makosa.
Mama Anna ameshaifanyia Dunia hii mambo tele ya kimaendeleo wakati akifanya kazi zake UN na baada ya hapo alirudi nyumbani na kukifanya kazi Chama cha Mapinduzi kama Mbunge wa Muleba Kusini na Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi. Hapo kwenye uwaziri sasa… Kulikua na mengi yaliyotokea wakati yeye yuko kwenye cheo hiko na ambayo kwa ki ufupi tu tuliyajadili kwenye meza yetu. Mama Anna yuko na Respect ya hali ya juu kwa Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye kwa kiasi kikubwa alimfanya Professor Tibaijuka arudi nyumbani na kulifaidisha Taifa na yale alojifunza wakati anafanya kazi huko kwenye Umoja wa Mataifa.
Yangu matumaini utaokota kadhaa kwenye maongezi yetu haya na kwa kiasi flani yatakusaidia kwenye maisha yako. Tafadhali enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@johnwilfred3920
@johnwilfred3920 Год назад
Huyu Professor ana madini mengi sana. Kichwa chake ni hazina.
@aivanandrea2160
@aivanandrea2160 Год назад
Uongozi sio kuongezeka vyeo..bali kuwasaidia watu kufikia malengo yao🙌🙌🙌🙌
@liliankilave3496
@liliankilave3496 Год назад
I just loved the positivity and the Haya people perspectives😅😅😅😅
@mfamauomary7969
@mfamauomary7969 Год назад
Hongera sana da Salama kwa kutuletea huyu bib Anna❤ Yupo sahihi kwa anayoyaelezaaa hongera akee❤
@margarethmwampondele7858
@margarethmwampondele7858 Год назад
my role model. good interview.. ...asante sana Salama kwa kubuni kipindi. we love u
@prettypretty9745
@prettypretty9745 Год назад
Napenda Sana wakristo wanapotumia neno Alhamdulillah katika njia ya kumshukuru Allah ........... The powerful of Islamic
@productuzur7585
@productuzur7585 Год назад
Sisi hatuna unaguzi wa kidini
@joachimmapunda4125
@joachimmapunda4125 Месяц назад
Alhamdulilah sio uislam. Ni kiarabu. Kama wewe ulivyotumia hapo kiingereza cha mchongo.
@coms2640
@coms2640 29 дней назад
It's an Arabic word not Islamic word
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Kudos Prof. nimefurahi sana kukusikia ukiongelea kizazi cha wapigania uhuru, vijana wengi siku hizi wanayachukua haya mambo for granted na wanauona utamaduni wetu kama vile ni kero kwao.
@wellbrand3415
@wellbrand3415 Год назад
Wow... Just wow... Huyu mama nampenda sana...
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita Год назад
Our UN habitat way maker. She paved the way for African/Tanzanian women
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Год назад
She stole money and akasema pesa ya mboga shame on her
@user-bg5kg2bb4j
@user-bg5kg2bb4j Год назад
She stolen not but she given hela ya mboga.
@msafirikilongo7429
@msafirikilongo7429 Год назад
Ukiangalia nyuma nakujuta Basi hujui ulipo na unapokwenda 🙏🙏
@spensiozakato600
@spensiozakato600 Год назад
❤❤
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 Год назад
I love the fact that she identifies herself more as an academic than a politician. Our current professors are struggling to erase their academic history in favour of political titles! "Umenitoa jalalani"
@mwalimuWaZamu
@mwalimuWaZamu Год назад
😂😂
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Год назад
Kwa kweli yupo juu huyu mama asante salama
@bettymassanja881
@bettymassanja881 Год назад
"Leadership is about raising others to achieve their goals". Such a statement can only be given out by rich - hearted people, under the sun, like the Prof. Anna Tibaijuka herself. May the Lord grant her healthful and long life.
@blasioshitsirishibachi9739
@blasioshitsirishibachi9739 Год назад
Watching from Nairobi Kenya. We love you mama. Respect Mungu akuongezee miaka na maisha mema.
@AfricaYangu
@AfricaYangu Год назад
I was just thinking how educational system haiendani na ulimwengu wa leo , Natumaini serikali itafanyia hili mabadiliko ili kujikwamua kiuchumi. Well said Mama Tibaijuka 👏
@angelmwoleka7892
@angelmwoleka7892 Год назад
Mahojiani bora kuwahi kutokea. Prof. Anna Tibaijuka amefanya kazi kubwa ya kubadilisha mtazamo wa jamii kuhusu kumsomesha binti wa kike. Mungu akupe maisha marefu Profesa.
@mchoromohammed6606
@mchoromohammed6606 Год назад
Hahahaha! Kwani kuna binti wa kiume ?
@angelmwoleka7892
@angelmwoleka7892 3 месяца назад
Ashakum si matusi!
@lilianbayekela
@lilianbayekela Год назад
Interview nzuri sana,yaan zaidi ya darasa Nimefurahia kuanzia mwanzo hadi mwisho.Hongera sana Salama na Prof . Anna Tibaijuka
@twahasuleiman-lo9vl
@twahasuleiman-lo9vl Год назад
Alhamdulillah nimemuelewa na nimejifunza...
@japhetmgema3208
@japhetmgema3208 Год назад
We, academicians, are so proud of you Prof. Anna
@sakrypapilon1320
@sakrypapilon1320 Год назад
entreprenuership is an organizational skill, well put!! such a good interview.
@ernestsalla9293
@ernestsalla9293 Год назад
Hongera sana mama Prof Anna. Safari yako ya maisha ni chachu na msukumo chanya kwa watoto wetu wa kike na kiume pia. Endelea kushare uzoefu na maono yako kwa manufaa ya wengi...
@charlesluanda9161
@charlesluanda9161 Год назад
One of the best interviews Salama has ever done.
@premierktg4323
@premierktg4323 Год назад
Very very beautiful interview Mungu ambariki sana Mama Anna Tibaijuka
@fridageorge2809
@fridageorge2809 Год назад
Nakumbuka shule yangu Jangwani it was 💕 skills za kutosha unatoka umekamilika!
@braysonminja6744
@braysonminja6744 Год назад
Kabla sijaanza kusikiliza nimeipenda
@farajalongo4528
@farajalongo4528 Год назад
"Kazi iliyombele yetu ni kubwa kuliko kule tunakotoka." 🙌
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Mama Anna kichwaa 👏👏👏👏 Asante Salama.
@mtaanionlinetv9200
@mtaanionlinetv9200 Год назад
Bonge moja la intervew,🙌🙌
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Год назад
Jamani...hii vision ya babaake ndio iliyofanya tumjue leo huyu muheshimiwa ANNA....🤗🤗 I wish my father could 😭
@siamacha3749
@siamacha3749 Год назад
Prof. Tibajuka ❤ you are the best mama . May God bless you mama
@shijamashima5511
@shijamashima5511 Год назад
Ni enjoy hilo jibu kuhusu mfumo wa elimu
@jilalamaligisa6298
@jilalamaligisa6298 Год назад
Salama nafuatilia sana kazi zako tangu enzi za Mkasi ila huwa unaboa sana kitu kimoja, una masuali ya kurukaruka mambo muhimu, mfano huyo mama ni mtu muhimu sana kwa kizazi cha leo na vijavyo, wanapaswa kumfahamu kiundani ili waige mazuri yake lakini sasa wewe unaanza na suali eti kuhusiana na kuingia kwenye siasa, kwa nini usiyatazame maisha yake kwa mpangilio mzuri kuanzia wazazi wake, kuzaliwa, makuzi, kusoma, kazi, siasa mpaka sasa, unarukaruka na kuacha mambo muhimu hii sipendi kabisa.
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay Год назад
Anzisha chako usiwe unarukaruka...Nadhani utatisha sana! Pia asante kwa KUFUATILIA SANA!
@caritastheophil509
@caritastheophil509 Год назад
Hongera sana salama kwa mama yetu, nampenda sana mama tibaijuka, ni role model wangu, namkubali sana
@ikupaalimwene6751
@ikupaalimwene6751 Год назад
Mhayaaa
@hamisimahenge5807
@hamisimahenge5807 Год назад
❤❤❤!!!!!. Guys!!!!, Frankly speaking!!!, This woman is very very 🧠 🧠 intelligent!!!!!.
@eliasmbise4328
@eliasmbise4328 Год назад
Bado nimewahi naombeni like zenu ....
@musorobenjamin227
@musorobenjamin227 Год назад
Wahaya ndomana wanafanikiwa sana
@raymullah
@raymullah Год назад
Interesting interview
@edigergabriel3711
@edigergabriel3711 Год назад
Du mama ni noma
@leonidaleonard9382
@leonidaleonard9382 Год назад
Hongera Mama ana
@ralphweston6807
@ralphweston6807 Год назад
Mother anaongea vizur 🙌
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Awesome 👌🏽
@joviangeofrey6918
@joviangeofrey6918 Год назад
Iwe bojooooo
@albs1448
@albs1448 Год назад
Waitu oliyo bojo?
@mwatangalukwili8745
@mwatangalukwili8745 Год назад
My role model,educated woman Prof Anna Tibaijuka.
@peterjovit7342
@peterjovit7342 Месяц назад
2024 still hii ni best interview
@farajalongo4528
@farajalongo4528 Год назад
Ability Vs Willingness 🙌🙌
@maureenmpate5941
@maureenmpate5941 Год назад
Nice interview
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Год назад
Dah! Akili kubwa...kumuelewa unatakiwa kukaa kwa kutulia sana, atema madini mda wote.
@Bob-kz2ql
@Bob-kz2ql Год назад
Hatari sana mama kasoma hadi kasoma tena…NICE one Prof, too bad ckhz tumebaki na ma Prof wa kupost picha za kubenjua makalio tu insta
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Год назад
👏👏👏👊👊
@jooepaullas791
@jooepaullas791 Год назад
😅😅😅
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Год назад
BOB HAHAHA
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Год назад
Pesa ya mboga imemuharibia
@mohamedothman5792
@mohamedothman5792 Год назад
Kusoma kwake kumesaidia nini taifa zaidi ya kujinufaisha yeye mwenyewe
@makiniautospare2648
@makiniautospare2648 Год назад
Inasikitisha sana sihasa inavyowageuza wasomi wetu kuwa wabinafsi waliopitiliza na kuweka taaluma zao kando.
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Nimeipenda hii👍
@gastokakiziba7871
@gastokakiziba7871 Год назад
Prof yuko vzr sana,kuna vijana weng sana wanadgree mtaani lakin wamefungua migahawa
@sophiak8837
@sophiak8837 Год назад
Loved this, i laughed the whole part two section
@kilamiko8299
@kilamiko8299 Год назад
Salama! you are the best!
@christopheritambo1315
@christopheritambo1315 Год назад
Nilisoma story za huyu mama I guess form three or form four
@cherietigress3109
@cherietigress3109 Год назад
one of the best interview 🙌 👌 Tunajivunia mama Anna Tibaijuka
@Gracemhadisa3009
@Gracemhadisa3009 Год назад
If professor you read these comments,, I love you from my heart
@frankmushi4846
@frankmushi4846 Год назад
Bonge ya interview 🙌
@magnusmutayoba8040
@magnusmutayoba8040 Год назад
Interview kali sana 👏👏
@faisalihamudi9206
@faisalihamudi9206 Год назад
Mama kuna Newyork city kule Muleba
@margepeter6697
@margepeter6697 Год назад
My rolemodel 😍😍😍
@stanymccary7136
@stanymccary7136 Год назад
Mama kichwa sana, sema Siasa zilitaka kumuharibia IQ yake lkn mtu ambaye ni msomi kweli na ni icon ya wahaya
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Год назад
Wakurungwa mmeshawahi
@niriacatering172
@niriacatering172 Год назад
Prof upo vizuri sanaa
@richardkosianga8981
@richardkosianga8981 Год назад
one of the best interview hongera sanaa salama
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 Год назад
Wazazi walikuwa na maono kweli.
@Steve3821
@Steve3821 Год назад
Such a lovely interview, my lovely sister Salama you are the best. ❤
@antonyjosephatkaiza2565
@antonyjosephatkaiza2565 Год назад
mafanikio ni product ya teamwork na mazingira 👏
@CaAidan
@CaAidan Год назад
I underestimated this mama🙌🙌🙌
@godfreypeter9265
@godfreypeter9265 Год назад
Ameongea ki2 ambacho serikali kwa ujumla inatakiwa kuzingatia sana juu ya elimu
@g-abbastechnology1818
@g-abbastechnology1818 Год назад
kohoa upate tonge nan mwingine kaiona iyo
@michaelcyprian6733
@michaelcyprian6733 Год назад
Miongoni mwa Interviews bora kabisa.
@abelchacha5977
@abelchacha5977 Год назад
Mama hauna ha mjakazi angalau........ningekua na wewe ningefaidika sana. Napenda ushauri wako, napenda maamuzi yako.
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
Natamani Salama siku moja nae amhoji Salama!... nimependa sana hii interview
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
Pia nimejifunza mengi sana. With my headphones on nimejikuta na nod mara nyingi kupiliza. Mama katema madini aisee
@emmanueltibahwa2615
@emmanueltibahwa2615 Год назад
Life is what you make it!
@nambuacassandramlaki3516
@nambuacassandramlaki3516 Год назад
Love you Mama.
@erickmsigwa
@erickmsigwa Год назад
Wapili
@musorobenjamin227
@musorobenjamin227 Год назад
Hii interview nitaitunza kwa ajili ya mwanangu wa kike
@arnoldkimbory485
@arnoldkimbory485 Год назад
Interview nzur sana
@mosesmashili4969
@mosesmashili4969 Год назад
Dada Salama, Boresha kwenye Uulizaji wa Maswali... unauliza maswali laini sana naweza sema hivyo, tunahitaji kujifunza zaidi.
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Onesha mfano wa maswali magumu ambayo ulitamani angeuliza.
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Khaaaa wewe sio mfuatiliaji salama ana uzoefu sio wa jana ni longtime ago in Bethlehem
@mosesmashili4969
@mosesmashili4969 Год назад
@@hellendaniel3809 Salama nimeanza kumfatilia tangu yupo Chanel 5 MKASI, ni long time namfahamu kuliko Unavyodhani... Ebu mfatilie Stanislaus Lambat wa Dar24 ndio utanielewa ni nini namaanisha.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Год назад
Exactly Ile scandal ya wizi ilimshusha kiasi gan mpaka akasema pesa ya mboga. Nilitaka kufahamu haya mengine Utopolo tu
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Год назад
Hakuna muulizaji Wa maswali magumu hapa bongo kama huyu Salama wengne wte hamna kitu
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Год назад
Huyu Mama Ana Akili sana
@michaelwaryoba4904
@michaelwaryoba4904 Год назад
Huyu mama Yuko vizuri sana .
@roberteliezer9576
@roberteliezer9576 Год назад
powerfull
@annakweka421
@annakweka421 Год назад
Anna
@vediowkiritasi3163
@vediowkiritasi3163 Год назад
Very nice Interview
@ashirafmgonanze-pl6qf
@ashirafmgonanze-pl6qf Год назад
First
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 Год назад
Kazi iendelee
@julianamushi3392
@julianamushi3392 Год назад
Namuona ebitoke😆😆ni utani jmn sina mwanasheria
@lutfiayussuf4729
@lutfiayussuf4729 Год назад
The best interview ever❤ #SALAMA NA PROF ANNA TIBAIJUKA
@abdulmajidchum9085
@abdulmajidchum9085 Год назад
Tunaomba utuletee zimbwe junior Mohamed hussein
@abuusirleh8196
@abuusirleh8196 Год назад
Mjanja mjanja
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 Год назад
MHAYA
@stevesundu1671
@stevesundu1671 Год назад
Tunataka interview na zumaridi!
@ulludots
@ulludots Год назад
Interview nzuri sana
@yuliahenry3383
@yuliahenry3383 Год назад
Nice MAMA
@ludovickbenjamin6104
@ludovickbenjamin6104 Год назад
uyu mama anajielewa sana.
@bestantony7917
@bestantony7917 Год назад
Duu Prof Akili kubwa
@jescajoseph1072
@jescajoseph1072 Год назад
👏👏👏❤
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👊
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Too theoretical and boring
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Год назад
Salama ukiendaa warabuni unajitambulisha vip?????kwambaa mwana mke au Msichana
@margarethmwampondele7858
@margarethmwampondele7858 Год назад
offensive question pastor
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Usikute hana muda wa kujitamburisha kama unavyofikiria wewe.
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Usikute hana muda wa kujitamburisha kama unavyofikiria wewe.
@avelinekigala7300
@avelinekigala7300 Год назад
Na unajiita Pastor ! Mfyuuu
@tinajoe5487
@tinajoe5487 Год назад
Wewe unajitambulishaje?
Далее
'Wanaosema mimi mwizi wataisoma namba'-Prof Tibaijuka
7:27
Аруси Точики ❤️❤️❤️
00:13
Просмотров 190 тыс.
😱ЖИВОЙ Чехол на Айфон🤪
00:38
Просмотров 273 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 207 тыс.