Salama, naomba Umtengenezee Masoud Kipanga more episodes, if possible huu utaratibu uwepo kwa vichwa vingine kama hivi. Ukiweka part 1 na 2 peke yake, kuna madini mengi tunakosa... Hii ya Masoud nimeiangalia zaidi ya mara kumi, ila bado sijaichoka, na napata new lesson every time i watch it... Mlete tena MASOUD KIPANYA tafadhali
Masoud kila kitu kinachotutokea duniani kuna stages tunapitia na ya kwanza kabla ya 'kukubali' (ambayo ni ya sita) ni hiyo ya kuwa ya kujiuliza " kwanini mimi'.