Тёмный
No video :(

Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 396 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
ASKARI WA BRIGEDIA
Mbele ya macho ya wengi Nape Mosses Nnauye ni kama SIMBA, anatisha, amejaa, anajiweza na anajitambua na kutambua kile akifanyacho na yake yote anayoyasema na kuyafuatilia. Na kwenye macho ya wale wa karibu yake Nape ni yote hayo na zaidi ni mtu mwenye mapenzi ya dhati kwa wale wa karibu na moyo wake, mcheshi, anapenda watu na ni rafiki wa kweli, yule rafiki mmoja ambaye haijalishi kukoje ila yeye ndiye ambaye atabaki na wewe mpaka mwisho, na atakuambia ukweli pale panapohitajika.
Mimi na yeye ni mtu na mdogo wale ambao wamepishana kama miaka minne hivi, huwa tunawasiliana na kuongea tunapokutana, tunaheshimiana na kuaminiana pia. Ila kwa respect ili tuweze kumpata kwenye mazungumzo haya tuliamua kumtumia mdogo wake Kipenzi anayeenda kwa jina la Bimdo ili hata kama alikua na mambo mengi kiasi gani, au ratiba yake imebana ki vipi, basi kwa wawili sisi angefanya linalowezekana ilimradi atufurahishe, na tulifanikiwa 😄.
Baba na mume na Kaka na Kiongozi kwa watu wake wa Mtama, Nape ni moja ya nguzo imara za Chama Cha Mapinduzi, naamini mpaka leo bado iko hivyo, kipindi cha uchaguzi wa Mwaka 2015 ndo tulimuona zaidi, wakati Chama chake pendwa kilipokua kinakabiliwa na upinzani wa mkubwa kutoka kwa vyama vyengine vya Siasa. Nape yeye ndo alikua mstari wa mbele wa kupanga mashambulizi na mipango sahihi ya kuweza kupata mgombea sahihi ambaye Chama kingemsimamisha na kuweza kupata dhamana kutoka kwa wa Tanzania zaidi ya milioni 55 ambao kwa hamu tulikua tukingojea kutambua jina na mtu ambaye Chama kingempa dhamana. Haikua mechi ndogo Ila kama tunavyofahamu sasa imebaki story tu. CCM walimsimamisha Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli na mambo mengine mengi yakaanzia hapo.
Sasa hayo mambo mengine mengi yaloanzia hapo ndo moja ya sababu nyingi zilizotufanya sisi tutake kuongea na Nape, akiwa imara na alojaa tabasamu yeye hakua na hiyana kujibu maswali yetu mengi ya kutaka kujua mawazo yake juu ya mambo mengi ambayo kama Taifa na yeye kama mwanasiasa tulipitia. Kuanzia jinsi CCM ilivyoshinda uchaguzi, teuzi, kutumbuliwa, issue ya aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kipindi hicho, mambo ya kutolewa silaha hadharani, issue ya yeye kwenda Ikulu kuomba msamaha, miaka 6 ya JPM na Tanzania kama taifa na mueleko wake, niamini nikisema humu yote tuligusia na yeye alitujibu.
Nape ni mmoja ya watoto wa Marehemu Brigedia Mosses Nnauye, mmoja wa watu imara sana wa nchi hii, pia tulitaka atuambie mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, kama kuna lolote amejifunza kutoka kwake na kama yeye ndo alikua chachu ya yeye kuwa anafanya ayafanyayo sasa (kutumikia wananchi wake wa Mtama) na alituelezea kwa kirefu tu juu ya wasifu wa Mzee wake.
Kuna mahusiano yake pia na Marehemu Ruge Mutahaba, ukaribu wake na January Makamba na Zitto Kabwe, events za miaka minne mitano iliyopita zimemfunza nini hasa? Majibu yote ya maswali tele tulokua nayo, Nape alitupatia. Yangu matumaini nawe uta enjoy mazungumzo haya kama sisi tulivyo enjoy.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@Boaz22
@Boaz22 2 года назад
Wakwanza ku comment hapa, naomba likes 👍
@thomsanga7956
@thomsanga7956 2 года назад
so upo hapa kucomment ili upate likes!! 😳😳!!!!????? mzima kweli wewe!!?
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 2 года назад
Mimi nampendaga huyu baba mheshimiwa Waziri wetu wa habari wa sasa kwa jinsi alivyo very charming.Nilianza kumpenda kupitia video moja hivi alikuwa anaimba wimbo Fulani hivi wa maudhui ya kizamani kwenye events ya wasafi. Ooh yes nimekumbuka ilikuwa ni siku ya mahaba ndindindi ya wasafi.Alikuwa yaani naimba bila maringo kwa unyenyekevu halafu ana sauti natural yaani sauti ilikuwa inatoka TU yenyewe bila kuilazimisha 🔥🔥🔥.Nafikiri alikuwa anaimba Ili kuwaunga mkono vijana na kuwatia moyo Ili waendeleze Sanaa zao. Alinifurahisha Sana kwakweli.Huyu baba namkubali Sana kwakweli 👏👏👏🔥🔥🔥
@kelvinbanoth2161
@kelvinbanoth2161 2 года назад
Huyu jamaa anaufasaha wa kuzungumza sana na anaufanisi mzuri wa kujib maswali....best interview
@tonymasy8872
@tonymasy8872 2 года назад
Nsumba secondary schools kumbe we nape ni school mate wangu, duuh it's very joyful
@shebbyhadithi5559
@shebbyhadithi5559 2 года назад
Salama Demo zinawai, lakini video zinatake long long time kuwa uploaded🙏
@luizabahati5198
@luizabahati5198 2 года назад
Nice one!..All the best Mhesh Nape ..Baba Jay..kweli leadership ni kazi .Mungu akujalie ukatende kwa utukufu wa Bwana daima
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 2 года назад
Huwa nampenda sana huyu kaka yaan niliumiaga kipindi alivyotolewa bastola😪
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 года назад
Hata mimi nilisikitika sana
@nsajigwamwanjati5119
@nsajigwamwanjati5119 2 года назад
Salama tuletee Gwajima
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 года назад
I like this guy
@uwezomabava3949
@uwezomabava3949 2 года назад
Nakukubali bro
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 2 года назад
Salama ww ni🔥🔥
@jackhans7708
@jackhans7708 2 года назад
Kwanza haiitwi luga ni lugha, kiswahili
@kmnetworktz3473
@kmnetworktz3473 2 года назад
Imekaa sawa sana hii
@sassboy9360
@sassboy9360 2 года назад
Ndugu Nape 😂😂
@rrchidy6208
@rrchidy6208 2 года назад
Ya stone town
@mussakhamis2377
@mussakhamis2377 2 года назад
Big up salama unajua
@shaiduna
@shaiduna 2 года назад
Hey momma how are you
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 года назад
WABUNGE kumbe wana tabu kweli
@rommelmauma8081
@rommelmauma8081 2 года назад
Punguzeni matumizi ya Kiingereza, kwa vitendo!
@nicolastitus568
@nicolastitus568 2 года назад
Sio luga ni rugha kiswahili ni rugha yetu
@abubakarothman2521
@abubakarothman2521 2 года назад
Lugha na si rugha kama ulivyokosea wewe!
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 года назад
Lugha mpendwa
@japhetkasewa9372
@japhetkasewa9372 2 года назад
Na sio rugha ni "lugha"
@alexjacobndagile8708
@alexjacobndagile8708 2 года назад
Wewe umekosea au nawe hujui? Sio rugha Ni lugha nadhani amekosea au ameathirika na matamshi.
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 2 года назад
Focus zaidi kwenye contents not single work kama lugha au luga
@jackhans7708
@jackhans7708 2 года назад
Storia yako imeshaandikwa,wewe ni mwizi 2 kama wengine.😡
@alfredmhana235
@alfredmhana235 2 года назад
Wivu huna point kwa nini usiwe muugwana kakukosea nini
@jackhans7708
@jackhans7708 2 года назад
@@alfredmhana235 kwa sisi tuliozaliwa kitambo tuwafahamu wezi wa nchi hii.
@lameckmahona2058
@lameckmahona2058 2 года назад
Ckupend nape mnafk sana,nadhan ulisoma chuo Cha unafki
Далее
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!
01:36
Просмотров 13 млн