Тёмный

SALEH JEMBE AMCHAMBUA KIUNGO MSHAMBULIAJI SIMBA/USAJILI WA CHAMA YANGA/ 

JEMBESPORTS
Подписаться 92 тыс.
Просмотров 81 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@mussakidabu4232
@mussakidabu4232 3 месяца назад
Saleh jembe ww ni jembe unajua mzee ww sio mchambuzi mandazi napenda unaongeaga ukweli piga kazi mzee
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 3 месяца назад
Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 3 месяца назад
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 3 месяца назад
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
@deniseliuter3002
@deniseliuter3002 3 месяца назад
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha​@@shaameshaame2837
@bone102
@bone102 3 месяца назад
Wakati mayele anaondoka Yanga hakuna mtu aliyesema wachezaji wanaangalia timu ambayo ipo club bingwa tena Yanga haikuwa club bingwa kwa miaka 25 ila leo Chama katoka Simba eti wanaangalia club bingwa tena baada ya simba kutokuwepo club bingwa kwa mwaka 1 na tena baada ya kukusanya point nyng kupeleka timu mbili club bingwa hii nchi watu mnaichukia Simba kisa mafanikio yake huu ni ushamba sana 😂 ​@@shaameshaame2837
@mashambaelectronicsworksho495
@mashambaelectronicsworksho495 3 месяца назад
​@@shaameshaame2837kwamba man u saiv haivutii wachezaji wakubwa?😅😅 Newcastle ni kama mtibwa ti
@kamazimamuganyizi6932
@kamazimamuganyizi6932 3 месяца назад
Kwa vile kamsifia chama apo unaona huyu ni mtu mzuri, angekua kamwongelea tofauti ungeshusha matusi
@praygodmmari5850
@praygodmmari5850 3 месяца назад
Wee utaona tu ,Chama atakupa challenge mpaka utajuta
@praygodmmari5850
@praygodmmari5850 3 месяца назад
Mchambuzi muongo huyu duuh, mbona alihisi kama yanga hawaja msajili duuuh saleh ni mchambuzi mwongo mwongo sana.
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 2 месяца назад
@@praygodmmari5850 usiseme muongo yy alitaka uthibitisho sio maneno ya mitandaoni basi kila neno la mitandaoni ni kweli sio hivyo ni lazima uthibitishe sio ukurupuke yy anajua taaluma yake
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 3 месяца назад
Mm huwa nakukubali kaka
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 3 месяца назад
Ameenda kustaafu😂😂😂
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 3 месяца назад
Mzee saleh jembe ulipaswa kuwepo CROWN SPORT MEDIA.lakin kwa wale looohhh kazi ipo
@stanastana3199
@stanastana3199 3 месяца назад
Chama,aziz ki yanga itachukua ubingwa tena
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 месяца назад
Alikua anafanya mgomo wakati yuko simba hata magoli matano yy na inonga na golikipa basi ni bora aende
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 3 месяца назад
Leo umeongea point
@FaustineTango
@FaustineTango 3 месяца назад
Kaka Saleh sijajua ushabiki wake ila ningetaman sana kumwona kwenye board ya wakurugenzi ya simba
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 месяца назад
Nakuunga Mkono asilomia 💯
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 месяца назад
Nakukubali Salehe ..wewe ndiye mwandishi bora wa michezo wa muda wote hapa Tanzania
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 3 месяца назад
Hahaha wanaandamana kweli kweli maandamano kwa Chama Simba Morson ahamia Simba Wala hakuna aliyeandamana uwiiii
@nickolausmatozi1764
@nickolausmatozi1764 2 месяца назад
Kule kas mlienda kufanya nini
@RashidiSaidi-p5t
@RashidiSaidi-p5t 3 месяца назад
Hiz swaga za chama watu wasishi kuhusu huyu mwamba twangalie usajili wetu pamoja na huyu kocha mbona hawamtangazi
@WilsonMambo
@WilsonMambo 3 месяца назад
Hamna kitu hapo yeye ni shabiki wa simba😢😢
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 3 месяца назад
Shida ipo wapi akiwa simba
@nasseraljahwri6310
@nasseraljahwri6310 3 месяца назад
Wewe ndio hamnazo, Saleh Jembe huwa anaongea facts.......😂 Unaleta ushabiki ndezi
@menhardmathias203
@menhardmathias203 3 месяца назад
Natamani uwe CEO wa simba
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 3 месяца назад
Yaan mlichopost na kinachoongelewa ni tofaut
@Amonationtv4551
@Amonationtv4551 3 месяца назад
🎉
@SalimHassan-d4s
@SalimHassan-d4s 3 месяца назад
Unataka awe mshabiki wa yanga.
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 3 месяца назад
jembe huwa ni jembe kabisa
@peterjohnbahhi1565
@peterjohnbahhi1565 3 месяца назад
Interview yote chama.mwandishi bwege
@nicholausoisso4833
@nicholausoisso4833 2 месяца назад
Soma tittle
Далее
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн