Kauli za Kisugu zidi ya Yanga ni za kijinga saana. Huyo huyo Kisugu ndie alikuwa nasema eti Yanga inanunua mechi sasa mumuswali Kisugu jee kupigwa na Yanga msimu huu wawo pia waliuza mechi zoote kwao? Kisugu ni chawa kabisa
Kisugu hana tataizo matatizo wanayo waandishi wa habari ambao wanamuhoji kisugu.Kisugu hana akili ata kidogo.Hajaenda shule hajui kusoma wala kuandika.Unaenda vipi kumuhoji kisugu?Kila siku munamaptia umarufu mtu mwenyewe anaongea utumbo tu.
Kisugu siyo tu mjinga ni tahaira,huwa anajiropokea tu kinachokuja kichwani,hata ukimuuliza Jana ulisema nn huwa hakumbuki,,,,yule anatakiwa awe Tanga kwenye mashamba ya mkonge kukata katani au stand kupiga debe
Huyu mtangazaji mjinga sana,mtu kesha kwambia ili ufanikiwe what u have do in football,we umo tu na maswali ya uchawi,inaoneka unapenda sana uchawi mkuu.kama ni uchawi wote wachawi😂😂simba wanashindwa .nini kuriroga yanga! .uandishi wa aina ganini.. hoji TECHNICAL QUESTIONS sio hui upumbavu..
Unajua ikiwa mtu AMBAYE Kila jambo lako unalo fanya lazima uende Kwa waganga unapo feli hayo mambo lazima useme umelogwa !! Huyo KISUGU na mwenzie Gb 64 ni washirikina chochote kwao lazima Kwa waganga awajitambui kwanza mnaweza kushitakiwa kwani mnachafua brand ya timu ya Yong Africa