Тёмный

SAMATTA ANA KILA KITU, UTAJIRI WAKE KIASI GANI? “UNAWEZA KUMFANYA AWE NA KINYONGO” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 483 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 351   
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 3 месяца назад
Dah brother allah akufanye uwe na hyo roho
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 5 месяцев назад
Very humble Guy. Hongera sana Mbwana Ally Samatta.Mungu aendelee kukulinda na kukubariki.
@abdulmrisho5629
@abdulmrisho5629 Год назад
Very interesting interview kwa sisi wapambanaji be humble kwa kile kidogo unachokipata
@protaspeter5371
@protaspeter5371 Год назад
Mungu kweli fundi, hamjalii mtu kizembe, this is a right one, samata we ni genius
@aaronswai3092
@aaronswai3092 10 месяцев назад
Mungu akubariki sana Samatta! Una hekima kwa kuwa u mnyenyekevu! Mungu akuzidishie
@sarahsalum2325
@sarahsalum2325 Год назад
Samatta na ally kiba walitakiwa kuwa ndugu jamn 😊vitu ving wanaendana hasa life style ALLAH AWAHIFADHI
@hadijamsati8813
@hadijamsati8813 4 месяца назад
Acha kumfananisha samatta na vitu vya kijinga
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 3 месяца назад
Ameen
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Год назад
Hakuna kitu kizur kama kumshukuru Mungu God bless you 🙌mbwana samatta
@samuelkiama975
@samuelkiama975 Год назад
Mtangazaji smart sana🎤
@albertkamala6843
@albertkamala6843 Год назад
Samaboy! Brilliant, very smart and humble!
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 11 месяцев назад
Mbwana Samatta, hongera sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza, wewe huna makuu!
@ashaanab-sy4cq
@ashaanab-sy4cq Год назад
Nawapenda Saana Samata Na Alikiba Big Up💪💪💪
@user-rl9us9jw4g
@user-rl9us9jw4g 6 месяцев назад
Kivipi yaani😅😅😮
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 10 месяцев назад
Maashaallah ushaahijiii kaka baarakallah fiikum
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Год назад
Wanaopata mali za maagano ndio wanaosumbua watu kama hao wasanii wenu, ila mali halali unakuaga poa sana coz una jua kwamba only God
@abdulmiyugi
@abdulmiyugi Год назад
Samata one❤ MY brother mtoto anabidi aoneshe mfano mzuri wa kutafuta pesa.nimeipenda iyo
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 3 месяца назад
Brother allah akufanye uwe na hyo roho dah
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 10 месяцев назад
In fact, you have said something that the fear of God here has made me think too far. Thank you, brother. May God protect you and guide you in happiness.
@JamalJamal-bx2cd
@JamalJamal-bx2cd 4 месяца назад
😅😅y4x ģ❤
@francismepukori9840
@francismepukori9840 Год назад
U know brother. Contented🔥✅
@muhidinponda1498
@muhidinponda1498 Год назад
Safi sana kwa muuliza maswali👏
@tumahamza8972
@tumahamza8972 Год назад
Baarik Allahumma feekum. You're very smart and humble. Even the way you are answering the questions. May Allah protect you.
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 Год назад
Kuna tofauti kubwa kati ya samata na diamond ,Diamond kutw Kuonesh hela zake mtandaoni
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Год назад
Ata kuongea anaongea kama King Kiba huyu jamaa!
@dechardavid2555
@dechardavid2555 Год назад
Sindioo
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Kuna kitu nimejifunza aise kupitilia huyu samata Asante sna bado zinachelewa kwa huu umri nilio nao Kwa sasa ubarikiwe mume wangu kwa kuniweka njia nzul nizid kuwa mke bora na sio bora mke kama WAkina furan maisha ya private Mazur sna
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
Point naomba Mungu utusaidie
@ibrahjoseph4239
@ibrahjoseph4239 Год назад
Naombeni jina la huyu mtangazaji anajua sana maswali hayakeri ni tofauti na watangazaji wengine
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 Год назад
Ayo maneno dawa sio mtoto aseme baba ana mali apambane kwa jasho lake nayeye big up
@tatually1366
@tatually1366 Год назад
Masha Allah 🍀🍂. Mwenyezi mungu amejali 🙏👏❤️
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Год назад
Mtangazaji unajua, unajua, unajua saana kuuliza, Big up Samata !
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 5 месяцев назад
Well done dogo samata ,stay blessed
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 Год назад
If humble was a person 🙌🙌
@FILIMINIGWASMAY
@FILIMINIGWASMAY 4 месяца назад
Samatta you are the legendary uzidishiwe
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 11 месяцев назад
Mungu akuzidishie uko vizuri simtu sifa
@nathaniazori3697
@nathaniazori3697 Год назад
Big point bro ur bright umeongea vitu ambavyo ni sahihi🙏
@paschaledward8670
@paschaledward8670 Год назад
Sammata akili 🧠 kubwa. Big up bro.
@user-zf2wx8rv4l
@user-zf2wx8rv4l 10 месяцев назад
Mashaallah kijana mungu akuzidishia usiwe na majivuno
@MarijanLooserboy-hw6gs
@MarijanLooserboy-hw6gs Год назад
Huwez mfananisha smata na Ali kiba wala daimond samata himfananisha na staa wowote Tanzania anajielewa na Juan nini kitakiwa katika mfumo wa dunia na akhera yake big up samata
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 Год назад
Busara na nidhamu msingi wa maisha bora Big up
@JummaSammata-ny5xf
@JummaSammata-ny5xf Год назад
ALLAH akufanyie WEPESI
@maonitalk8554
@maonitalk8554 Год назад
Safi sana ubarikiwe
@brunobalama6046
@brunobalama6046 Год назад
wa kwanza nipen like zangu..
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Год назад
MashaAllah ALLAH akuzidishie
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Год назад
Yaaan samata Ni star mkbwa sna lakin hata ndoa yake tu aliifnya kimyakinya Ila ningekuwa mm duhhh
@kingfuture7147
@kingfuture7147 Год назад
Angekuwa GOODLOVE 🤣🤣🤣🤣
@gumbagumbalaulent4797
@gumbagumbalaulent4797 Год назад
🤣🤣🤣
@blaizerballer4248
@blaizerballer4248 Год назад
Dah yule jamaa hana kityu kabisa na anajisifia sana yule chief godlove 😂
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 5 месяцев назад
Hahahaaaaa umetisha kaka
@amanimangalila-pj8ik
@amanimangalila-pj8ik 4 месяца назад
Ukitaka Pesa Idumu Nawewe, Jifanye Huna Hata Kama Unazo. Na Ukijifanya Unazo Kabla Hujazipata Sahau Kuhusu Kukutana Nazo. (Pesa Ina Nidhamu Yake).
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 Год назад
Mashaa Allah
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Год назад
Nawakubali saana Alikiba na Samata maisha yao yana full password
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Год назад
SAMAKIBA FOUNDATION WAMEFANANA
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 Год назад
Yuko sawa kabisa, Atuache ambao bado tuna uhitaji kwa mungu tuendelee kumwomba! Ni kweli atupe nafasi nasi tupewe!
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 11 месяцев назад
Uko vzr sn mbwana kwl kuna watu wanauhitaji wa kitu kdg tu wanakosa we unaomba kununua ndege mungu akufanyie wepes mzee
@constantinochalle856
@constantinochalle856 Год назад
Huyu jamaa anatabia kama za ali kiba,,,,life zao ni password
@abedomar5183
@abedomar5183 Год назад
Yeah kweli kabisa yani same system with Ali Kiba
@omyjy4819
@omyjy4819 Год назад
Kama kiba
@ibrahimuselemani4076
@ibrahimuselemani4076 Год назад
Sure kama Alikiba exactly
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Год назад
🤣🤣🤣🤣ally kiba ana nini labda sehemu zake za s.......... Ndio anazo show off kwa wanawake.
@princekarani7836
@princekarani7836 Год назад
@@ahmedysaidy9874eheee kumbe,yani unahisi hana kitu🤣🤣🤣
@_CyprianBC
@_CyprianBC Год назад
Good and clean Brother
@sekietetv7131
@sekietetv7131 Год назад
Masikini wengi ndo tuna majigambo waliofanikiwa sana wapo humble sana , Huyu mtu ni bilionea ila see how he is
@chriskuboja4234
@chriskuboja4234 Год назад
Baadhi ya maskini wakipata ni kelele Sana Ila wachache Sana wakipata ndio wanaendelea kuwa wanyenyekevu
@lutatuzo7395
@lutatuzo7395 11 месяцев назад
Soo good 👍👍
@daudimungi1327
@daudimungi1327 4 месяца назад
So humble guy.. Mengi ya kujifunza.
@papamukulu1045
@papamukulu1045 Год назад
Humble man
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Год назад
The truth has been spoken! Kudos sana,home boy. ✊💪🤝
@khamissons1206
@khamissons1206 Год назад
Mm n
@wilibrodiadrian8021
@wilibrodiadrian8021 Год назад
Ana hheshma sana , Mungu azidi kumbariki.
@HuliloDonard-gu9bp
@HuliloDonard-gu9bp Год назад
Nimependa kauli ya ishi maisha yako
@vincentmbaire2666
@vincentmbaire2666 Год назад
Humble guy
@lusakobaraka9854
@lusakobaraka9854 Год назад
Mtangazaji ningekua natuzo ningekupa umetisha hatar Yan 🔥
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 Год назад
Alikiba na samatta tabia zao zinaendana sanaa
@reubenshaban6488
@reubenshaban6488 Год назад
Muwe munaangalia mazingira mazuri ya kufanyia interview sio mnahoji watu Inzi nao wanapitapita tu hovyo
@ibrahimnyanga8971
@ibrahimnyanga8971 Год назад
Hahhh nimefurah saana sentensi aliyomalizia tunaambiwaga wengi saana maashaallah
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Samata endelea kuwa wa kawaida itazidi kukusaidia
@julianaedward4190
@julianaedward4190 Год назад
Kabisa jamani SI wengine wakipanda tu ndege wanaanza kuwakashifu walimu wao...sio vzr kabisa to be humble ni muhimu sana ktk maisha
@MajibuCredit
@MajibuCredit Год назад
Safi sana Diego
@swaumuugata4166
@swaumuugata4166 4 месяца назад
Nawapenda sana wewe na mbwana samata na ally kiba mko na moyo Wangu walah💋🙏
@henrychaula1174
@henrychaula1174 5 месяцев назад
Hongera sana Mbwana Samatta kwa majibu mazuri na mayo wako wa kutokuwa na tamaa ya vitu
@sebastianmathew8475
@sebastianmathew8475 Год назад
Je salama tz nahodha nakuomba umiliki wa hospital kubwa kama muhimbili urudishe kwa jamii. Ubarikiwe
@user-mu2kb2lv3v
@user-mu2kb2lv3v 5 месяцев назад
Hongera sanaaa mwamba mungu akupe wepesi❤❤❤❤
@user-zz8qr9gn1f
@user-zz8qr9gn1f 5 месяцев назад
Uko vizuri kijana ubarikiwe
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 Год назад
Saluti bro viva sana kaka
@geraldalfred1781
@geraldalfred1781 Год назад
Smart indeed
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 5 месяцев назад
Bwana samatta kaongea vizuri sana hongeraa
@emmanuelmashaka1229
@emmanuelmashaka1229 Год назад
Akili mingi sana
@happinessogisto2918
@happinessogisto2918 5 месяцев назад
Hongera sana Mungu awe na wewe ❤
@MAISHAYACROATIA
@MAISHAYACROATIA Год назад
Wanae wanasoma IST Ada mil.70 na ushee huyu Jamaa kiboko na apo aliwapeleka alivyoenda genk tu
@Syliveliodeogratias
@Syliveliodeogratias 10 месяцев назад
Kwer mungu hamtupi mjawake samatta ww ni mtu wa pekee ambae kwenye interview nimekuerewa sana
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 5 месяцев назад
Hongera kwa hekima zako.
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Год назад
Majibu mazuriiii sna wabongo hatuishiwi maneno
@ashaanab-sy4cq
@ashaanab-sy4cq Год назад
Ni Sawa Hivyo Unavyoishi Kakaa,Sio Kila Mtu Ni Mwema Kwako
@humphreymahenge6498
@humphreymahenge6498 Год назад
Respect
@emmanuelkisusu2465
@emmanuelkisusu2465 5 месяцев назад
Hofu ya Mungu kui control pesa, daah safi Sana, kijana yuko humble
@evanestharold5079
@evanestharold5079 2 месяца назад
Mungu akubariki sanaaaa
@user-hn9hd3og8u
@user-hn9hd3og8u 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ umeongea sawa kaka
@e.e5698
@e.e5698 5 месяцев назад
Ameongea mengi mazuri lakini kuna kitu ambacho kakionesha ambacho sisi waafrika/watu weusi tunacho....Hatuwezi kutengeneza ajira za familia...Hatuwezi/Hatutaki kurithisha watoto wetu tulichonacho...Wenzetu wahindi na waarabu wanatengeneza ajira za familia...Sisi tunataka watoto wetu nao waanzie 0...nao wateseke kama sisi...nao wawe na vyao pekee yao...mwisho wa siku poverty cycle haiishi...
@ramadhanitokwete8069
@ramadhanitokwete8069 5 месяцев назад
That's true
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 5 месяцев назад
Very True
@ElikanaKikoti
@ElikanaKikoti 5 месяцев назад
Huwezi mlazimisha mtoto Aliso kipaji chako kipaji Mungu ndie anaekujaalia hivyo basi elewa kua mpila nikipaji alichopewa samata mwanae anaweza kua hana kipaji champila wala akili yadarasani bali anakuwa na akili yakufanya biashara vivyo sasa samata hapo inatakiwa atoe sapota yamtaji ili kijana wake naye aingie kwenye gemu ya biashara
@e.e5698
@e.e5698 5 месяцев назад
@@ElikanaKikoti Sikuwa namaanisha kuhusu kucheza mpira...
@ElikanaKikoti
@ElikanaKikoti 5 месяцев назад
@@e.e5698 okay hapo sawa
@user-xr5tx6rc7t
@user-xr5tx6rc7t 5 месяцев назад
Man Of The Peoplezzz
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx 11 месяцев назад
daaa watu watu kufanya watu kuwa wabaya na hp ndio chuki huwanza jamaa huyu mtu la hovyo mno mkono mkali sanaaa😢😢😢
@emanuelatilio2853
@emanuelatilio2853 10 месяцев назад
Nakubali sana broo
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Год назад
Alafu gank mnachana sana mikeka manina zenu🤣🤣🤣🤣
@robertpeter3679
@robertpeter3679 Год назад
🤣🤣🤣🤣 dah
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l Год назад
😂😂😂😂shenzi zako😂😂😂😂
@kagondanathan3661
@kagondanathan3661 Год назад
Maua yako Hayo😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Год назад
@@kagondanathan3661 🤣🤣🤣
@user-pj7pg9rn5g
@user-pj7pg9rn5g Год назад
lakini nawewe ujitume kwenye timu yako yataifa
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Год назад
Huyu dogo anajitambua sana mungu atanfikisha mbali
@MohammedAlly-op1yj
@MohammedAlly-op1yj 11 месяцев назад
Daah yaani katika watu hasa vijana wa Leo ambao hawana makuu na wanacho huyu mwamba na respect Sana na namuombea Kwa mwenyeezi MUNGU ampe maisha marefu yenye maraka tele! Tujifunze Sana katika hili✍️
@vickylyimo7483
@vickylyimo7483 Год назад
👌👌
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es Год назад
Good spetch
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Huwezi kumfilisi Mungu hata uombe vp na akiamua kukupa bd hujampunguzia, km umeridhika na hapo sema tuu Alhamdullilah
@aboubakarfodo1400
@aboubakarfodo1400 Год назад
Maneno Yako ni Tawhidi tosha...
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@aboubakarfodo1400 kwl
@yusufujoka5986
@yusufujoka5986 Год назад
Amemshukuru Mungu kwa alichomjaalia na hata akimjaalia vingine bado atashukuru ila tabia ya kutosheka na kuwaacha wengine wafike alipo ni kitu kikubwa hata baadhi ya viongozi wengi wa Afrika hushindwa ndio maana huzidi kukithirisha Mali wao na watoto wao na kuongeza gap la mwenye nacho na asiye nacho!
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Год назад
Skiliz kwa uelewa mbona kaeleweka vzuri tu usisikilze kwa kukusoaa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@abdulsataribashiri8300 kaelezea vzr wp
@sadruhsnow5637
@sadruhsnow5637 Год назад
Ndio life safi
@manyuhawilson4201
@manyuhawilson4201 Год назад
🙏🙏
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Год назад
SAWA MNDENGEREKO MZARAMO, KING SAMA TUNAKUELEWA SANA. NO MAJIVUNO KAMA MIJITU YA PANDE FLANI.
@manyuhawilson4201
@manyuhawilson4201 Год назад
😁😁😁👊👊
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 Год назад
Kiba king ,saMaball MiamBa Hawa💪🤝 secret Mission😂🤣
@maselejonathan8452
@maselejonathan8452 3 месяца назад
Hii video atumiwe chief godlove
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 Год назад
kwelii marafiki zako ndo watakuwa na kinyongo ila kwa ss husiotujua tutachukulia kama motvation
Далее
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 9 млн