In fact, you have said something that the fear of God here has made me think too far. Thank you, brother. May God protect you and guide you in happiness.
Kuna kitu nimejifunza aise kupitilia huyu samata Asante sna bado zinachelewa kwa huu umri nilio nao Kwa sasa ubarikiwe mume wangu kwa kuniweka njia nzul nizid kuwa mke bora na sio bora mke kama WAkina furan maisha ya private Mazur sna
Huwez mfananisha smata na Ali kiba wala daimond samata himfananisha na staa wowote Tanzania anajielewa na Juan nini kitakiwa katika mfumo wa dunia na akhera yake big up samata
Ameongea mengi mazuri lakini kuna kitu ambacho kakionesha ambacho sisi waafrika/watu weusi tunacho....Hatuwezi kutengeneza ajira za familia...Hatuwezi/Hatutaki kurithisha watoto wetu tulichonacho...Wenzetu wahindi na waarabu wanatengeneza ajira za familia...Sisi tunataka watoto wetu nao waanzie 0...nao wateseke kama sisi...nao wawe na vyao pekee yao...mwisho wa siku poverty cycle haiishi...
Huwezi mlazimisha mtoto Aliso kipaji chako kipaji Mungu ndie anaekujaalia hivyo basi elewa kua mpila nikipaji alichopewa samata mwanae anaweza kua hana kipaji champila wala akili yadarasani bali anakuwa na akili yakufanya biashara vivyo sasa samata hapo inatakiwa atoe sapota yamtaji ili kijana wake naye aingie kwenye gemu ya biashara
Daah yaani katika watu hasa vijana wa Leo ambao hawana makuu na wanacho huyu mwamba na respect Sana na namuombea Kwa mwenyeezi MUNGU ampe maisha marefu yenye maraka tele! Tujifunze Sana katika hili✍️
Amemshukuru Mungu kwa alichomjaalia na hata akimjaalia vingine bado atashukuru ila tabia ya kutosheka na kuwaacha wengine wafike alipo ni kitu kikubwa hata baadhi ya viongozi wengi wa Afrika hushindwa ndio maana huzidi kukithirisha Mali wao na watoto wao na kuongeza gap la mwenye nacho na asiye nacho!