Тёмный
No video :(

Kutoka UMASKINI wa kutupwa hadi kumiliki KAMPUNI kubwa ya FURNITURE, UPVC Windows, hii itakushangaza 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 86 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

10 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 269   
@mlangakiaratu9292
@mlangakiaratu9292 Год назад
Sns unachonifuraishaga uwa hukataz watu Ku mention redio station or taasisi unazo shindana nazo katika digital platform very professional Una kitu utafika mbali
@AminaOmary-cn5vb
@AminaOmary-cn5vb 11 месяцев назад
Kitu nilichokipenda kwa huyu kaka .anashukurani sana.imagine watu waliomsaidia anawataja na majina na kuwashukuru kabisa.means anawakumbuka mno
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Год назад
Kumwangalia tu huyu kaka yuko humble ❤
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Kabisa..very humble
@musajack7276
@musajack7276 Год назад
Wajomba wanatubebaga sana kwa kweli
@shaababy2570
@shaababy2570 Год назад
Huyu mkaka nimempenda kila kitu tuna shukuru Mungu
@upendojoseph7912
@upendojoseph7912 Год назад
So touched
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 Год назад
Mungu ni mwema,kijana wa mwaka 1992 kupitia mambo mengi kiasi hiki ni upambanaj,tupo na vijana wa miaka ya 80 lkn bado wanaishi kwao..hongera sana kaka John
@MrNdanguza
@MrNdanguza Год назад
Duh 80 haiwzekan
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
@@MrNdanguza huamini au?? Kuna wa 77 bado anakaa kwa mamake..na kuna wa 79 bado anategemea wazaz..
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
@@masalakulwa7601 umenichekesha maisha haya sio poaaa
@siasia5469
@siasia5469 9 месяцев назад
​@@MrNdanguza unashangaa wa 80 😂😂kuna wa 70 wanaishi kwao maisha haya
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
From rugs to Riches; HONGERA SANA. Big up Kijana John, na SNS 👏🏽 👏🏽 👏🏽 👏🏽 Love from Toronto 🇨🇦
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f Год назад
Aise nimeipenda sn hiyo Mungu azidi kufungua milangi yako ya baraka na ulinzi wa damu ya Yesu Kristo ukawe juu yako 😍❤️ Ameen i love you so much
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Год назад
Afike mbali zaidi. Ana roho yake huyu ndugu
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
An Amazing story indeed...Yaani imebidi niwa Follow hawa. Good Job SNS. Love from 🇨🇦
@user-rv7zt6tj3d
@user-rv7zt6tj3d Год назад
Honger kwa hatua bila kukata tamaa, honger kwa kuwa na ndg shangaz mamndg na mjomb wenye mioyo mizur, hata kama hawana kit ila wanakupa moyo na muongozo mzuri wengn hao watu mioy yao mibaya, mtt wa ndg yao lkn utataeswa mpk uhisi dunia hiafai, matusi na masimango yanayokatisha tamaa. Pongezi nying san ziende kwa hao ndugu zako kuna namna wamekutia moyo, wamekushika mkono na hawakuwa na kinyongo. Mama ni shujaa siku zote❤. Unaonekana haukuwa kijana mhuni mtukutu, yaan nidhamu pia inaweza kuwa ni njia ya mafanikio kama hamna nidham huwez pata watu sahihi ktk safari ya mafanikio vijana mchukue hiyo. Sio mnalia pesa hamna mmekaa tu pesa inatafutwa kwa nidhamu na uchapakazi na kutaka kujua vitu mbalimbali kutokuwa muoga wa kujifunza na kuthubutu.
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Год назад
Very humble guy,Mungu akufanikishe zaidi, SNS you are the best👍siku moja na mimi nitahojiwa hapa
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
Waooo hongera sana HC nitakutafuta nikimaliza ujenzi unitengenezee madirisha na milango soon inshallah tena ni huko huko kigamboni 🤝👏 Sky business diary hivi ndivyo tunaomba kiwe mtu akiongelea biashara yake na pia tuone kama hivi tunapata hamasa zaidi thanks a lot Sky umekipatia your the best 👍👌❤
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Tunataka vitu kama hivi sky, hii ni kizazi sana. Good job bro.
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Год назад
Mtuache tu tuwazidishie mapenzi mama zetu maana na mimi ni mwanaume ila wengi wetu tunafeli sana sana kwenye masuala yakuwa present kwenye maisha ya watoto wetu.
@vom84
@vom84 Год назад
Napenda Sana interview za aina hii, SNS is the best above all online media.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
💯%
@reallifeperspectiveUG
@reallifeperspectiveUG Год назад
I usually don't watch such long interviews, buy this one Is worth it. the guy is so inspiring. hongera sana brother John. uta fika mbali sana given even his attitude toward life.
@bestinamafipa608
@bestinamafipa608 7 месяцев назад
Me too but this one loh! God is good.
@eusitacefelix8545
@eusitacefelix8545 Год назад
Nakushukur bro umenitoa mbali ipo sku mwenyez mung atakulpa asant kak ....nakuaid stokuangusha daima katka fani uliyonipa bure bila chochote ninachokulpa 🙏🙏 na bado unanilpa dah ...one day yes kaka...Hanscana ..#Jeshi
@mumberemoise9323
@mumberemoise9323 Год назад
waana s.n.s wa Congo mtie like zenu hapa 🇨🇩🇨🇩
@nkurunzizalydia1720
@nkurunzizalydia1720 Год назад
Kinacho fanya Nisitkate taama ni kwamba hakuna alie lala na akaamka ni Tajili kila mafanikio yana processes zake maumivu ,uvumilivu ,discipline
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
Yes
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Mashaallah tunashukuru sky moja ya interview kali ya mwaka na kweli vijana wanakuaga ubinafsi sanaa kwenye kumuelekeza mwenzio kwenye suala la kujifunza hawakubali kumuelekeza mtu
@margaretrusteau2871
@margaretrusteau2871 Год назад
He s so humble.god bless you brother
@redmioman4371
@redmioman4371 Год назад
Dah Sns big up sana vipindi vizuri vinatufunza brother SKY GOD bless you
@elphacemoses6709
@elphacemoses6709 3 месяца назад
Hongera sana! John na timu yako HC! Ni kwel umepambana sana kuwa hapo ulipo ni matokeo ya kutenda wema Kwa watu,tunazidi kukuombea ufike mbali na mafanikio zaidi! nakumbuka 2021 nilikuwa na maonesho Maeneo ya kibada,nikafika ofisini kwako kukuomba sample za madirisha,bila Hata ya kunifahamu vzr... ulinipa zile sample zilinisaidia sana kwenye yale maonesho. Hivyo Ulitatua shida yangu bila Hata kuomba malipo yeyote... Aisee ubarikiwe sana!
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Год назад
Very inspiration big up young man for your success
@brobabuu3973
@brobabuu3973 Год назад
Siku moja na mimi nikutafute sky. Nahisi nina jambo ya kushare katika platform yako.. Kazi nzuri sana na MUNGU akubariki zaidi wengi tupite katika njia hizi.
@matronashirima1489
@matronashirima1489 8 месяцев назад
Jaman RU-vid naomben muongeze Mara za Kulike zifike hata 100....! Nimependa mnoo hii interview! So many things to learn here.. Asante mnoo Kaka mtangazaji kwa kurusha hii interview.. Asante kwa kukutana na huyu Kaka Kwa Ajili yetu.. Thank you so much Kaka
@irenekanza1601
@irenekanza1601 Год назад
Huyu kaka yupo humble sana, ndio maana anafanikiwa
@angelnyangema5067
@angelnyangema5067 Год назад
Hongera sn John hakika Mungu ni muaminifu sn.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Mwenyezi Mungu humpa mtu kwa jitihada zake. Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi sana sana.
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Год назад
Leo imenibidi nicomment tena, John nimesikiliza interview nyingi ila ya kwako iko real sana, kila kitu kina ukweli ndani yake,Mungu wa mbinguni atakufikisha mbali sana. Hata mimi nitakupa kazi.
@paschalpeter3439
@paschalpeter3439 7 месяцев назад
Maisha bhana ni experience tu na uthubutu na kuheshimu pesa unayoipata..bro alikuwa na 5m na akalala chini..kujifunza kila ukionacho ,kujaribu vitu tofauti..na hakuna mafanikio bila kupita humo..asante bro John .
@kombab1112
@kombab1112 8 месяцев назад
Kuhusu imani kwa kweli una imani sana, nimelichukua hilo kutoka kwako.
@iam_brenda3924
@iam_brenda3924 Год назад
Very humble man🤌🏾 Mwenyezi Mungu azidi kumzidishia kwa kweli🙏
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Год назад
You really lion on the jungle salute. You really admire every younger listening your story l love can't stop to watch you .
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 Год назад
Mimi binafsi nimependa historia yake inakupa motisha yakufanya kazi bila kukata tamaa
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Год назад
my best motivation speaker Joel Nanauka ❤❤❤ thanks so much bro kwaku tuamasisha jisi yaku tafuta hela 🙏 sio kila kazi niakuzarau.
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Год назад
Kila kitu kinawezekana vijana wenzangu msione aibu kuanza kukimbiza ndoto zetu. kuwaza watu watasemaje watu watanionaje haitotusaidia kufikia malengo yetu amka sasa pambana
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
Point
@francomkandawile8572
@francomkandawile8572 Год назад
Very nice story, Mdogo wangu unajituma sana, Mungu amekuweka no kukufikisha hapo usiache kumwabudu na kimsifu yeye pekee.
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 Год назад
Yuko very humble na pia anaonekana ana hofu ya Mungu
@dominicuschavallah3773
@dominicuschavallah3773 6 месяцев назад
Ndio nina Hofu ya Mungu nashukuru 🙏
@manuelamahwera6090
@manuelamahwera6090 Год назад
Well done John. You are blessed 🙌 😇. Congratulations 🎊 👏 💐
@neemasanare3474
@neemasanare3474 Год назад
Hongera sana dogo Yesu azidi kukuinua❤
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Wenye story tuko weng congrats bro god bless you
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Год назад
Tuwasiliane Dayana. info@snstz.com
@agricolaotto8247
@agricolaotto8247 5 месяцев назад
Uyu mkaka ajui kulalamika najifunza kitu kwako🥰🥰🥰🥰
@jaqiepaloma4127
@jaqiepaloma4127 5 месяцев назад
Hongera sana. Mama yupo? Mungu ni mwema sana . Kama yupo mtunze sana sana.
@stevew.mutasa2385
@stevew.mutasa2385 Год назад
VERY SMART JOHN..I FEEL GRATEFUL
@SoloMsuya
@SoloMsuya Год назад
HONGERA SANA BIG BRO BADO TUKO NYUMA YAKO TUNAPUSH HC IFIKE MBALI ZAID YA HAPA 🙏🙏
@JoeinGermany
@JoeinGermany Год назад
The boy is wiser
@dr.hermankessy
@dr.hermankessy 11 месяцев назад
THE POWER OF DECISION MAKING
@reisedyy4910
@reisedyy4910 Год назад
Jamaa kataja namshukuru Mungu kwakaribu kila sentences, and i like it so much. Let praise the almighty y'all.
@superwarema2309
@superwarema2309 Год назад
Hongera sana John Mfinanga. Humble background. Keep Up The Good Work
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Год назад
Kuna wadogo zangu ambao tuko nao hapa tunasaidiana. Huyu jamaa ana upendo sana
@mwajumakabora5245
@mwajumakabora5245 Год назад
Everything is possible under the sun,noted bro...congratulations John umejua kuni ispire to the highest level
@dmgtv3984
@dmgtv3984 8 месяцев назад
Hongera Mr John ninandoto kama yako na nishaanza kumchukua hatua but bado Niko local Sana ninahitaji kuendelea kujifunza kutoka kwako SNS naomba connection na John
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 9 месяцев назад
Hongera sana John. Na kwa hili utafika mbali sana. Ila nakuomba umsamehe Baba yako mzazi kwa kua na wewe ni mwanaume na hujui kilimkuta nini mpaka akawa haeleweki na alikua mfanyabiashara mkubwa kama ulivyotangulia kusema. So na wewe pia huwezi kua na uhakika utakutana na yapi. Nimekupenda sana na naomba tu usimkumbuke tena Mkuu kwa kumlaumu kwani Mungu alivyotuambia tumheshimu Bb na Mm tupate miaka mingi na heri Duniani hakusema kama asipokulea au akiwa mlevi. Alisema tu WAHESHIMU akaondoka bila ufafanuzi.
@mariej6962
@mariej6962 9 месяцев назад
John: ustaarabu, kumtegemea Mungu, kushukuru kwa kila jambo, hana wivu, mavazi na nywele style ya kistaarabu.
@user-mz4tu1iq7r
@user-mz4tu1iq7r Год назад
Hongera Sana Kaka naomba na me unifundishe
@muta-news2786
@muta-news2786 Год назад
Nimefurahi kuona unafata ushauri wangu juu ya kuonyesha vitu na mazingira ya watu unaowaoji ili kuinspire Vijana kwa kuona kuliko kusikia story zao tu.nimefurahi kwa ilo. Watu wanakuwa wanataman kuona unajo kioji na ofisi za watu ktk hichi kipindi.ongera Sana
@ongezamaarifa2526
@ongezamaarifa2526 Год назад
Story ina uhalisia sana sanaaaaaa, Mungu aendelee kumbariki yeye na nyie sns mpate watu wenye uhalisia zaidi kama huyu
@dr.hermankessy
@dr.hermankessy 11 месяцев назад
THE POWER OF STARTING SMALL BUT AIMING HIGH
@musasaid5502
@musasaid5502 Год назад
Uyu jama ni master mind
@kidungweshaaban9317
@kidungweshaaban9317 Год назад
Kaka unani inspire sana Mungu aendelee kukusimamia
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
Mstarabu kwa bravo umejipata
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 Год назад
Wa kwanza leo likes zangu pls
@martinakombe8374
@martinakombe8374 10 месяцев назад
very inspirational ,,keep it up,,one day even me i will testify✊🤝
@samniza1763
@samniza1763 Год назад
I will come and look for young man, very inspiring story.
@rashidkejo8666
@rashidkejo8666 Год назад
Mahojiano ni mazuri sana lakini mwandishi kuna vitu unapaswa kuvifanya haswa unapomfanya mahojiano na mtu. Natumai kuna maswali ya msingi ili kuendelea kuijenga taaluma yako ya uandishi. Vyema litambulike neno "umasikini wa kutupwa" Likishadadavuliwa neno hilo ndio tunaweza kupata tafsiri kamili ya mahojiano haya. Huyu dogo ni mpambanaji na si kwamba alikuwa maskini wa kutupwa kwasababu alikuwa na mdhamini ambaye ni mama mdogo ukilinganisha na wale ambao walisaidiwa na watubaki. Mahojiano ni mazuri sana yanavutia lakini ni aibu kutumia neno "nilikuwa masikini wa kutupwa" au aidha anaendelea kujitangaza kibiashara. Kiufupi ni mpambanaji na hongera kwake.
@badifundi6089
@badifundi6089 6 месяцев назад
Sasa wataka aseme alikua tajiri... unaona tunapomkosea MUNGU...kama huna kuwa muwazi kbsa ndo MUNGU atakupambania mwamba
@remeniurasa4866
@remeniurasa4866 Месяц назад
Real inspirational journey iko hapa 🎉 Big up sana John
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Год назад
Real definition of a fighter🫡
@jameshagwe3063
@jameshagwe3063 Год назад
Kazi nzuri sana,,,! Mungu akubariki John
@user-vv6pr4bj8p
@user-vv6pr4bj8p 3 месяца назад
Congratulations John,napenda kujifunza sana.upendo kutoka Kenya🙏
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 Год назад
Legend joel nanauka forever ❤
@agreymwakapila7695
@agreymwakapila7695 Год назад
Mwenyezi Mungu azidi kukupigania ufike mbali sana.
@filipejohnchuma1985
@filipejohnchuma1985 Год назад
Obrigado 🙏pela Educação 🇲🇿
@dn.n4983
@dn.n4983 Год назад
Safi sana milango makabati sh ngapi
@user-uv4iv9kl8t
@user-uv4iv9kl8t 5 месяцев назад
Very humble broo keep it up john
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Год назад
Ila sisi wanaume tujifunze sio unagombana na mke alafu unasahau hadi watoto Hivi huyu akisema nani kama mama atakuwa anakosea kweli Sio poa
@nkurunzizalydia1720
@nkurunzizalydia1720 Год назад
Bora umeona hivyo wallah badhi ya wanaume Mungu anawaona😢😢😢
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Год назад
@@nkurunzizalydia1720 tunatakiwa badilike
@witheymunis911
@witheymunis911 Год назад
Mungu akubariki
@hildaminja5148
@hildaminja5148 8 месяцев назад
Hongera Sana. Hii inahuisha mioyo ya watu wengi hasa wanaojitafuta. Mungu aendelee kukuinua na kupitia hii interview vijana wengi wakajipate
@adammdee9391
@adammdee9391 8 месяцев назад
Very inspiring 👏🏼 👏🏼👏🏼
@thomasjoseph3178
@thomasjoseph3178 8 месяцев назад
Hongera sana bro. Hakika Mungu hamtupi mja wake. Kwa maelezo yako tunajifunza kutokukata tamaa kwa namna yoyote ile.
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Год назад
Sns katika vipidi vyako hivyi ndio vipindi bora zaidi tena kwa vijaana sio utatafuta vipindi vya udaku. Hapa ukidikiliza hata Mb zkiisha uumii. Tafuta vijana kma hawa please 🙏 . Nipo 🇬🇧 but nimependa sanaaaaaaaaaa .
@miriambethuel8892
@miriambethuel8892 2 месяца назад
I bless God for you John. Nyc coverage Sky (sns).❤❤❤
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 10 месяцев назад
Yote shukru tu Mungu kwa kuwa hai shukru baba na mama kwa kuwapata nyie kutokuwajika ama kuwajibika wazizi juu yenu ni hali ya dunia na ya kibinadamu Cha kulaumiwa sana Ni mgogoro uliojitojeza na wazazi kushindwa kuutatua hasa ambaye hakuwa tayari kufanya maridhiano.Huenda umeshaambiwa mengi ubaya ya baba ama ubaya wa mama.Sasa za kuambiwa changanya na za kwako.Kikubwa nawe umekuwa utahitaji kuwa na familia ama unayo Sasa maisha ndo yanaanza kushika kasi baaba! Usipokuwa makini aise!Hutaamini maisha! Yagenda yagaluka.Epuka kurithishwa migogoro na wazazi,ndg na jamaa.waambie wakurithishe hekima na busara only.
@SolomonMsuya
@SolomonMsuya Год назад
Hongera sana bro. Mungu azidi kukubariki
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Год назад
Safi sana kijana,Mungu akuwezeshe zaidi
@sadikijani4307
@sadikijani4307 8 месяцев назад
Ninampongeza sana kwa juhudi.Jambo moja tu hajawapa nafasi ya mafanikio yake mama mdogo,mjomba,shangazi ambao amewataja lakini bado akasema umasikini wa kutupwa na pia hana kwao alisaidiwa na majirani. Kwa uzoefu wangu kwa vijana aina hii ni kuwa amepata msaada wa familia ila hana shukurani.
@SaitotiHinyura
@SaitotiHinyura Год назад
Kazi nzuri sana.Hiyo bidii ya utafutaji ni funzo kwangu,nimeipenda.Kukata tamaa katika utafutaji hakutakiwi.
@winfredhart6724
@winfredhart6724 Год назад
Una mtaji wa million nne alafu ukapanga chumba cha 20000 alafu ukawa huna shuka duuu!!!
@lucasthomas188
@lucasthomas188 Год назад
Mpare huyo anakula na picha ya samaki🐟🐟
@ramadhanhussein3464
@ramadhanhussein3464 Год назад
Elon mask ni tajiri namba 1 duniani lakini hana nyumba
@bensonswai-hl6fn
@bensonswai-hl6fn 9 месяцев назад
Upmbvu unakuzngka e
@dp__sales
@dp__sales 7 месяцев назад
Katika Interviews zote so far nilizotazama SNS, hii ni Top first kwangu. I truly feel the authenticity na genuine infos kwa Bw. John. Pili Ahsante sana @Sky kipindi cha ni Chachu na Hamasa kwa vijana wapambanaji (from 0 level to Hero). #Big Up
@EmilianKomba-sb4kn
@EmilianKomba-sb4kn 8 месяцев назад
Sky tunajifunza mengiii sana100🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-uv4iv9kl8t
@user-uv4iv9kl8t 5 месяцев назад
Hongera sana john🎉🎉🎉🎉
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Hongera kaka wewe ni shujaa😍😍
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
Hongera sana broo Mungu ni mwema kila wakati Ameen
@user-xu8if8ie6w
@user-xu8if8ie6w Год назад
Nilikua napenda sana kusikiliza mahojiano yako mheshimiwa ya wanawake tuu lkn leo sijui ni nini kimenijia nikajikuta tuu nasikiliza haya mahojiano but truly leo ni siku ambayo nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwa kaka amenifunza vingi 🙏
@chiticollemans
@chiticollemans Год назад
Nice interview Nimepata moyo
@DastanJovin
@DastanJovin 5 месяцев назад
Thanks alot aim feel greatfuly one day I will reach my goals
@GaddyMsuya-dh7qn
@GaddyMsuya-dh7qn Год назад
Hongera sana Kwa kazi nzuri.Mungu akubariki yeremia33.3
@alichanzi8095
@alichanzi8095 8 месяцев назад
Woow, very humble man
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Год назад
Mungu azidi kukubariki kaka unajielewa sana tena sana kwani sio rahisi unajituma
@KingTimoo
@KingTimoo 4 месяца назад
Safi sana brother
@nassibugodfrey1405
@nassibugodfrey1405 Год назад
Hapo kwenye sijawai kuwa na kwetu mwanangu kama Mimi vile💪💪
@badifundi6089
@badifundi6089 6 месяцев назад
He's my age mate and he's so inspiring
@nkwimbahillu3568
@nkwimbahillu3568 Год назад
Hongera sana kaka, naomba mawasiliano yako
Далее
Qora Gelik
00:26
Просмотров 489 тыс.
НАША НАСЫЩЕННАЯ ПОЕЗДКА В КИТАЙ
1:32:55
JINSI  YA KUMILIKI UNACHOKITAKA.
38:48
Просмотров 63 тыс.