Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sns unachonifuraishaga uwa hukataz watu Ku mention redio station or taasisi unazo shindana nazo katika digital platform very professional Una kitu utafika mbali
Mungu ni mwema,kijana wa mwaka 1992 kupitia mambo mengi kiasi hiki ni upambanaj,tupo na vijana wa miaka ya 80 lkn bado wanaishi kwao..hongera sana kaka John
Honger kwa hatua bila kukata tamaa, honger kwa kuwa na ndg shangaz mamndg na mjomb wenye mioyo mizur, hata kama hawana kit ila wanakupa moyo na muongozo mzuri wengn hao watu mioy yao mibaya, mtt wa ndg yao lkn utataeswa mpk uhisi dunia hiafai, matusi na masimango yanayokatisha tamaa. Pongezi nying san ziende kwa hao ndugu zako kuna namna wamekutia moyo, wamekushika mkono na hawakuwa na kinyongo. Mama ni shujaa siku zote❤. Unaonekana haukuwa kijana mhuni mtukutu, yaan nidhamu pia inaweza kuwa ni njia ya mafanikio kama hamna nidham huwez pata watu sahihi ktk safari ya mafanikio vijana mchukue hiyo. Sio mnalia pesa hamna mmekaa tu pesa inatafutwa kwa nidhamu na uchapakazi na kutaka kujua vitu mbalimbali kutokuwa muoga wa kujifunza na kuthubutu.
Waooo hongera sana HC nitakutafuta nikimaliza ujenzi unitengenezee madirisha na milango soon inshallah tena ni huko huko kigamboni 🤝👏 Sky business diary hivi ndivyo tunaomba kiwe mtu akiongelea biashara yake na pia tuone kama hivi tunapata hamasa zaidi thanks a lot Sky umekipatia your the best 👍👌❤
Mtuache tu tuwazidishie mapenzi mama zetu maana na mimi ni mwanaume ila wengi wetu tunafeli sana sana kwenye masuala yakuwa present kwenye maisha ya watoto wetu.
I usually don't watch such long interviews, buy this one Is worth it. the guy is so inspiring. hongera sana brother John. uta fika mbali sana given even his attitude toward life.
Nakushukur bro umenitoa mbali ipo sku mwenyez mung atakulpa asant kak ....nakuaid stokuangusha daima katka fani uliyonipa bure bila chochote ninachokulpa 🙏🙏 na bado unanilpa dah ...one day yes kaka...Hanscana ..#Jeshi
Mashaallah tunashukuru sky moja ya interview kali ya mwaka na kweli vijana wanakuaga ubinafsi sanaa kwenye kumuelekeza mwenzio kwenye suala la kujifunza hawakubali kumuelekeza mtu
Hongera sana! John na timu yako HC! Ni kwel umepambana sana kuwa hapo ulipo ni matokeo ya kutenda wema Kwa watu,tunazidi kukuombea ufike mbali na mafanikio zaidi! nakumbuka 2021 nilikuwa na maonesho Maeneo ya kibada,nikafika ofisini kwako kukuomba sample za madirisha,bila Hata ya kunifahamu vzr... ulinipa zile sample zilinisaidia sana kwenye yale maonesho. Hivyo Ulitatua shida yangu bila Hata kuomba malipo yeyote... Aisee ubarikiwe sana!
Siku moja na mimi nikutafute sky. Nahisi nina jambo ya kushare katika platform yako.. Kazi nzuri sana na MUNGU akubariki zaidi wengi tupite katika njia hizi.
Jaman RU-vid naomben muongeze Mara za Kulike zifike hata 100....! Nimependa mnoo hii interview! So many things to learn here.. Asante mnoo Kaka mtangazaji kwa kurusha hii interview.. Asante kwa kukutana na huyu Kaka Kwa Ajili yetu.. Thank you so much Kaka
Leo imenibidi nicomment tena, John nimesikiliza interview nyingi ila ya kwako iko real sana, kila kitu kina ukweli ndani yake,Mungu wa mbinguni atakufikisha mbali sana. Hata mimi nitakupa kazi.
Maisha bhana ni experience tu na uthubutu na kuheshimu pesa unayoipata..bro alikuwa na 5m na akalala chini..kujifunza kila ukionacho ,kujaribu vitu tofauti..na hakuna mafanikio bila kupita humo..asante bro John .
Kila kitu kinawezekana vijana wenzangu msione aibu kuanza kukimbiza ndoto zetu. kuwaza watu watasemaje watu watanionaje haitotusaidia kufikia malengo yetu amka sasa pambana
Hongera Mr John ninandoto kama yako na nishaanza kumchukua hatua but bado Niko local Sana ninahitaji kuendelea kujifunza kutoka kwako SNS naomba connection na John
Hongera sana John. Na kwa hili utafika mbali sana. Ila nakuomba umsamehe Baba yako mzazi kwa kua na wewe ni mwanaume na hujui kilimkuta nini mpaka akawa haeleweki na alikua mfanyabiashara mkubwa kama ulivyotangulia kusema. So na wewe pia huwezi kua na uhakika utakutana na yapi. Nimekupenda sana na naomba tu usimkumbuke tena Mkuu kwa kumlaumu kwani Mungu alivyotuambia tumheshimu Bb na Mm tupate miaka mingi na heri Duniani hakusema kama asipokulea au akiwa mlevi. Alisema tu WAHESHIMU akaondoka bila ufafanuzi.
Nimefurahi kuona unafata ushauri wangu juu ya kuonyesha vitu na mazingira ya watu unaowaoji ili kuinspire Vijana kwa kuona kuliko kusikia story zao tu.nimefurahi kwa ilo. Watu wanakuwa wanataman kuona unajo kioji na ofisi za watu ktk hichi kipindi.ongera Sana
Mahojiano ni mazuri sana lakini mwandishi kuna vitu unapaswa kuvifanya haswa unapomfanya mahojiano na mtu. Natumai kuna maswali ya msingi ili kuendelea kuijenga taaluma yako ya uandishi. Vyema litambulike neno "umasikini wa kutupwa" Likishadadavuliwa neno hilo ndio tunaweza kupata tafsiri kamili ya mahojiano haya. Huyu dogo ni mpambanaji na si kwamba alikuwa maskini wa kutupwa kwasababu alikuwa na mdhamini ambaye ni mama mdogo ukilinganisha na wale ambao walisaidiwa na watubaki. Mahojiano ni mazuri sana yanavutia lakini ni aibu kutumia neno "nilikuwa masikini wa kutupwa" au aidha anaendelea kujitangaza kibiashara. Kiufupi ni mpambanaji na hongera kwake.
Sns katika vipidi vyako hivyi ndio vipindi bora zaidi tena kwa vijaana sio utatafuta vipindi vya udaku. Hapa ukidikiliza hata Mb zkiisha uumii. Tafuta vijana kma hawa please 🙏 . Nipo 🇬🇧 but nimependa sanaaaaaaaaaa .
Yote shukru tu Mungu kwa kuwa hai shukru baba na mama kwa kuwapata nyie kutokuwajika ama kuwajibika wazizi juu yenu ni hali ya dunia na ya kibinadamu Cha kulaumiwa sana Ni mgogoro uliojitojeza na wazazi kushindwa kuutatua hasa ambaye hakuwa tayari kufanya maridhiano.Huenda umeshaambiwa mengi ubaya ya baba ama ubaya wa mama.Sasa za kuambiwa changanya na za kwako.Kikubwa nawe umekuwa utahitaji kuwa na familia ama unayo Sasa maisha ndo yanaanza kushika kasi baaba! Usipokuwa makini aise!Hutaamini maisha! Yagenda yagaluka.Epuka kurithishwa migogoro na wazazi,ndg na jamaa.waambie wakurithishe hekima na busara only.
Ninampongeza sana kwa juhudi.Jambo moja tu hajawapa nafasi ya mafanikio yake mama mdogo,mjomba,shangazi ambao amewataja lakini bado akasema umasikini wa kutupwa na pia hana kwao alisaidiwa na majirani. Kwa uzoefu wangu kwa vijana aina hii ni kuwa amepata msaada wa familia ila hana shukurani.
Katika Interviews zote so far nilizotazama SNS, hii ni Top first kwangu. I truly feel the authenticity na genuine infos kwa Bw. John. Pili Ahsante sana @Sky kipindi cha ni Chachu na Hamasa kwa vijana wapambanaji (from 0 level to Hero). #Big Up
Nilikua napenda sana kusikiliza mahojiano yako mheshimiwa ya wanawake tuu lkn leo sijui ni nini kimenijia nikajikuta tuu nasikiliza haya mahojiano but truly leo ni siku ambayo nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwa kaka amenifunza vingi 🙏