Тёмный
No video :(

"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU 

Ngasa Tv
Подписаться 91 тыс.
Просмотров 96 тыс.
50% 1

KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

Опубликовано:

 

6 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 63   
@masungajp1
@masungajp1 Год назад
This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s Месяц назад
Genius
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Год назад
Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂
@yadidehaule6399
@yadidehaule6399 Год назад
Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 Год назад
Kishimba safi sana Akili nyingi
@jacksonzeno1447
@jacksonzeno1447 Год назад
Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Год назад
Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c Год назад
Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa
@aishaalbalushaishabalush8291
tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika
@aishaalbalushaishabalush8291
@@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 Год назад
Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?
@user-ek3zk4bx5j
@user-ek3zk4bx5j Год назад
Wanajuana
@damianmachira7535
@damianmachira7535 Год назад
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Год назад
Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 Год назад
Royal brother!! I salute you!!
@erickkimaro9190
@erickkimaro9190 Месяц назад
Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.
@amiribakari2528
@amiribakari2528 Год назад
Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..
@matindesamson7648
@matindesamson7648 Год назад
Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.
@godfreymwendawila
@godfreymwendawila Год назад
Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Год назад
Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe Na Wasomi (wanataaluma ) Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2 Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye Weledi namaanisha pamoja na Taaluma Pia Maana logical Pekee haitatosheleza Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Год назад
Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 Год назад
Bunge Ni la ajabu sana
@edsonjrtz7676
@edsonjrtz7676 Год назад
Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 8 месяцев назад
Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...
@stevesungura6789
@stevesungura6789 Год назад
Kuna siku tutamwelewa tu!
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 2 месяца назад
❤❤❤
@bozbun3994
@bozbun3994 11 месяцев назад
Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Год назад
Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Год назад
Manful!!!✊✌️
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 10 месяцев назад
Safi kaka ❤❤❤
@piusthomas624
@piusthomas624 Год назад
Wazir wa fedha anazingua
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Год назад
Kishimba katika ubora wake.
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 Год назад
Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo
@user-th9to6yt9y
@user-th9to6yt9y Год назад
Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Год назад
Cku akiapa atashindwa atakuwa na kigugumizi
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Год назад
Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba
@StartSmall
@StartSmall Месяц назад
😂😂😂
@MarandaIhonde-qe6df
@MarandaIhonde-qe6df Год назад
Iyo wizara ina shida
@Laajo1994
@Laajo1994 Год назад
sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu
@kondewra
@kondewra Год назад
Wape ushauri... Mzee
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Год назад
Mwigula kiukweli hajitambuai mweee
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 Год назад
Agombee Uraisi kura yangu ameshapata
@matindesamson7648
@matindesamson7648 Год назад
Hao ni wezu mzee
@shukurudavid4369
@shukurudavid4369 Год назад
Kahama miundo mbinu mibovu sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima
@kikotimedia6638
@kikotimedia6638 Год назад
Akili kubwa
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Год назад
This man explains.boder of education and saycologe Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity
@mazikumange9130
@mazikumange9130 Год назад
Is this english too?
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Год назад
Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Год назад
😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Год назад
Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda
@syliviakente9460
@syliviakente9460 Год назад
Elimu bwana sio erimu
@user-ek3zk4bx5j
@user-ek3zk4bx5j Год назад
Duu
@josephmayenga4615
@josephmayenga4615 Год назад
Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 Год назад
Kishimba wewe una PhD
@kipokendirangu2572
@kipokendirangu2572 Год назад
Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Год назад
Mwigulu ma tai yeke.
@damianmachira7535
@damianmachira7535 Год назад
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
@user-rg7tx2cc1l
@user-rg7tx2cc1l Год назад
❤❤❤
Далее
would you eat this? #shorts
00:39
Просмотров 2,9 млн
아이스크림으로 진짜 친구 구별하는법
00:17