Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
Mtumishi niko nasikiliza kipindi na pia nasikiliza mpaka asubuhi nabarikiwa ntafanya hima wiki ijayo Nije madhabahuni baba hapa nasubiri mama akirudi anisaidie nauli nije