Baba naomba maombi yko nateseka sana na kansa nmetibiwa lkn bd imeniludia apa nlipo cna ata ela nmefilisika kbs naomb watu walionifanyi hv wateketeze wote kwn nateseka sna pia naomb uponaji baba
Mungu naomba ufute mihuri ya kichawi niliowekwa, huwa nachanjwa usiku na pia huwa napaa na hujiona nipo juu ya anga, na naona miji mizuri chini nami nipo juu. Naomba mtumishi uniombee 🙏 09.01.24.
Na mimi ndowa yangu naami itafunguka tu haijarishi mume wangu anaowa owa ila kupitia mungu wa kiboko ya wachawi mume wangu atafunguliwa na mimi nampambania kimaombi kwa sadaka na kwa kutoka Zanzibar kuja kwa nabii kiboko kwa mwezi mara 1 naamini ipo siku virivyo silini vitafunguka
Nabii wa mungu.naomba mke mwenye analalia kitanda changu na mume wangu aondoke leo. Na mwenye aliotutenganisha na mume wangu kama ni kiuchawi akufe fefefe!!! Ndio watoto wangu wapate furaha.
Eee mungu nisaidie mimi niko marekani nateseka saana na chumaulete nateseka nakukosa kazi nataka mungu wa kiboko ya wa chawi nataka nifunguliwe nipata kazi mwezi huu yakudomu kwa Jina la yesu kristo