Niseme Pongezi sana kwako selemani kidunda kwa kuilinda rekodi Yako na heshima Pia Kwa wana Mburahati lakini kiufupi mpinzani wako ni mzuri Pia akirudi tena Tz au iwee kwao South Africa rematch game naamini utamuonesha kwa nini ulifika Olympic international boxing, kazi na umri tumalizie huyuu mtoto upumzike champion💪
Kidunda upo Makini,ulingo unauweza! Huna mbwembwe kama wanavyojichetua mabondia wengine wa hovyo! Mwenyezi Mungu akuongoze katika kila lenye kheri nawe Inshaa Allah
@@MgangaMasudiKabla sijaimalizoa comment yako bado kidogo nikulaumu ila kumbe una maana nzuri sana ni kweli unachosema kila mchezo wa ngumu lazima promo alishawahi kuwaona akina Mohammedy Ali Floyd Mywethar kuwachangamsha mashabiki wa mchezo huo kupata hamasa zaidi ya kwenda kuona
Waandishi wa habari ni wachonganishi Sana!! Wanataka kumchonganisha Kidunda na Mwakinyo Ila Kidunda anatumia akili Sana ktk kujibu ili asijeingia ktk Mtego wao. Big up Kidunda.
Muandishi acha uchonganishi Hassani Mwakinyo hajamdharau Kidunda kbs ludieni maelezo yake vzr alafu muanze kutengeneza mabifu yanu kwenye mitandao mkaawachia watu wakiwa na chuki na visasi upande wangu hajamsema vibaya Kidunda
Light ipo lkn haitumii brain nyingi na Champion ni nzuri zaidi na hana kuficha ukweli na huyo na msouth alibebwa tu lkn alipigwaa ila mtu kwako lkn hamna kitu na wakirudiana kidunda atapigwa ko hiyo iko waziiii
Nashukuru kakaangu mwakinyo kukihojiwa bondia mpaka wamtaje mwakinyo mwakinyo kawa kama simba sport timu ndogo ikimfunga simba sherehe na timu furani bila kuitaja simba haziwezi
Wewe unajitoa ufahamu..... Mwakinyo ndio hua anapenda kujilingalisha na mabondia wenzake na anapendaga kujiita yeye ni Bora kuliko wenzake.... Sasa ukisema Kila bondia anamtaja unamaanisha nn apo
Mtangazaji mchanganishi mbn Mwakinyo alipongeza mchezo ule na alisema mabondia wote wameonesha uwezo ila wenzetu wametuzidi kwenye manegment zao bondia kapewa nyumba anagharamiwa kila kitu
Chuo gani Hawa waandishi mamburura wamesoma ,sijapata kuona waandishi wanafiki kama Hawa ,uziri mwakinyo tumemsikia wanayoyaongea angekua bondia sio professional angeshareact kwauchochezi ,Hawa jamaa warudi Tena darasani hawana ethics za uanahabari
Broo m ni bonge la shabiki yako ila m najua unajua toka moyoni umebondwa bro inabidi ukubali usiwe kama bondia mdogo inabidi ukubali mbona twaah alikubali mziki
Ww hujui ngumi twah kakubali kutokan na maamuz ya majaji ila kidunda hajapigwa coz majaji ndonwameamua na kidunda mwnzo kaongz fight ila mwish kaongozw kwaio ile ni drow
Wewe muandishi unaemuuliza Kidunda unantamani muandishi gan mwenzio tuandae pambano anaekukera sana kwenye kazi zako ili tumalize ubishi?sheenzi kbs hamjuagi kbs taaruma zenu nyie kenge maswali ya uchonganishi tu
Kwana muelewe kiduku kapigwa kidunda kapigwa hakuna sare pale na hata mwakinyo ndio kabisaa atapigwa mapema sana anachaguaga vibonde mwakinyo hana lolote na yule msauzi kwa bongo mabondia wetu wajipange sanaa bora ya kidunda na twaha wanajitaidi mwakinyo hamna kitu mpeni tu vibonde hata mfaume anampiga
Kidunda mm ni shabiki wako mkubwa t mzee baba na pia ni mfuasi wa mwakinyo pia…..lkn kwa lile pambano kaka ulipigwa t mbn mzee wa shoo shoo kachapika na kakubali t
Watangazaji mbona mnazingua sana sababu unawachonganisha watu kwa kuuliza kitu cha uongo.nilichek interview ya mwakinyo Wala hakuzungumza vibaya kuhusu kidunda nyinyi ni #wachonganishi..huwa sijazoea kukoment ila hili limeniuma na umekosea mwandishi...#big brother Selemani kidunda umejua kuwajibu kwa usahihi..
Ukweli Sele ww ni boxer mzuri, huwezi fanananishwa na mtu kama Hassan ,umesstruggle kwenye ndondi za amauter ngazi A to Olympic huna baya kwetu well-done, ila pambano na Wellem juzi sorry, ulipoteza mwamba alikukabili vizuri,majaji na time keeper madhambi yao tumeyaona yote.
Sema kidunda ana akili sana, hao ma presenter ni maboya, walikuwa wanalazimisha kumchonganisha Kidunda na Mwakinyo, jamaa kawajibu kindewa sana, big up
Tatizo hawa waandishi wanadhani wanae muhoji ni mtoto mwenzao, ukiwasikiliza vizuri point yao kubwa ni kutaka kidunda azungumze vibaya juu ya mwakinyo, wanafiki sana hawa😂😂
Manara mnafanya kazi poa ila acha maswali ya chuki yatakushusha tu…unajua ku-interview acha kuiga mtindo wa kifala unaotrend wa kuuliza maswali ya uchonganish…Mwakinyo hajaongea chochote negative kuhusu Kidunda….mnakata sana
HAO MADOGO WAMETUMWA ILI WAMCHONGANISHE MWAKINYO NA SOJA HUYO ILA HII INTERVIEW WAMEHARIBU APO TU WAJIFUNZE KU CONCENTRATE NA MTU HUSIKA KWA EVENT HUSIKA ILA SIO KUMTAJA MWENGINE KAMA UCHONGANISHI HIYO NI NUN- PROFFESSIONAL NYAU NINYI.
Afundishwe usafi bondia wetu anyoe nywele na anyoe ndevu maana anaonekana kwenye media lazima awe msafi mashabiki zake wanamuona na wanataka kujifunza kutoka kwake