Тёмный

SEMAJI AHMED ALLY AELEZA MAZITO"ALIYEONDOKA SIMBA HANA MCHANGO KWETU|MUKWALA JITU LA BOLI |CHAMA. 

bongotzfm
Подписаться 30 тыс.
Просмотров 32 тыс.
50% 1

"Mwamba wa Lusaka @realclatouschama tunamuheshimu na tunampenda" AHMED ALLY
#simbafans #nbcsports #timuyawananchi
#timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@gerishamgonja1064
@gerishamgonja1064 2 месяца назад
Umejieleza. Vizuri kuhusu cham
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 3 месяца назад
Speed Speed, aquracy passes... muhimu sana kwenye timu.. mpira wa pasi za taratibu zitawagharimu.. mpira wa taratibu umeshapita timu zinakimbia kwa umakini
@ibrahimusagondo5228
@ibrahimusagondo5228 2 месяца назад
Naomba namb yako semaji nikwambie jambo jambo au naomba ushauri viongozi kati ya matukio ya kufanya msiache kuwatembelea watoto yatima mkiwa na viongozi wa dini ili kuwaombea wachezaji na timu yetu kiujumla, safari hii ni lazima tuwalinde wachezaji wetu kwa kumkabidhi Mungu
@ibrahimusagondo5228
@ibrahimusagondo5228 2 месяца назад
Ila hili la kuwafanyia maombi wachezaji wetu hao ni muhimu jamani msidharau maana hawa wenzetu wanatuzunguka sana chonde chonde chonde mambo ya kiswahili msiyaache vinginevyo hatutaona ubora wao waliokuja nao
@RebeccaMwita-f7l
@RebeccaMwita-f7l 2 месяца назад
Duu MUNGU akusamehe Sana Huu Ni mpila na Maisha mengine yanaendelea Matusi ya nini ,,,,,,baada ya kutukana umelipwa nini ,,,,, Achani matusi kuweni na AMANI na watu wote Tanzania hatuji Vita MUNGU ibariki Simba MUNGU ibariki Tanzania Mbarikiwe na usk mwema
@ZubedaAlly-k9y
@ZubedaAlly-k9y 2 месяца назад
Ata mm kuondoka kwa chama nimefurahi saaaaaaanamaana mwishoni huku alikuwa anatupanda kichwani mungu atayuongoza tu pasiookuwa na uyo chama simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HospiaceMata
@HospiaceMata 2 месяца назад
Simba cyo kinyonge wajiandae sanaaaaa😢
@gerishamgonja1064
@gerishamgonja1064 2 месяца назад
Chama alikuwa mchezaji wetu hakuna sababu ya kumponda ninaimani tutapata mchezaji mzuri atakayetuliza mioyo yetu
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 2 месяца назад
Asante semaji letu la kafu,kuelewesha umati kuhusu chama,sote hatuna kinyongo zaidi ya asante,pia kila la kheli uko aendako ❤
@Johniusjohn
@Johniusjohn 2 месяца назад
Wa nkwenda kyerwa uyo msemaji uwa analopoka tu tumehsha mzoea
@RaymonTz746
@RaymonTz746 2 месяца назад
Simba ❤
@kassimkibwe4614
@kassimkibwe4614 3 месяца назад
Bora chama ameondoka, Tena tumechelewa kumuondoa🎉🎉🎉
@justinmwanyingili8073
@justinmwanyingili8073 2 месяца назад
Sana ilitakiwa atoke toka mwaka jana mbona atujaona msada wake apo
@Salum-ij6mg
@Salum-ij6mg 2 месяца назад
Nikuambie kitu semaji au basi🤣🤣🤣
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 2 месяца назад
Mmependeza mmevaa sare
@BernaDf
@BernaDf 2 месяца назад
Nguvumoja ❤❤
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 3 месяца назад
Hapa watu hawaulizani mambo ya mke wa mtu wanaulizana mambo ya wachezaji. Hayo ya mke wa nani utajuwa ww
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад
Chama mali na kama mtabeza sasa mtamwongezea kasi kama kumpiga teke chura
@YohanaJumanne-v3v
@YohanaJumanne-v3v 3 месяца назад
Simba Uongozi uache tamaa waungane waache tofauti zao za maisha wote watembee pamoja hata wachezaji watakaa kwa Amani bila bugza kuwachomolea posho zao Mungu anawaona acheni
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 3 месяца назад
Hata fei akiondoka yanga akaja azizi kii na azizi alikua benchi sembuse uyo mzee Tena chiba
@SanziNzige
@SanziNzige 3 месяца назад
Chama alitugharimu Sana kwenye.5.za hongo alihongwa psmoja na inonga Manila na wengine wengi tinawajua sense mpuuzi huyu.
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla 3 месяца назад
maandaliz ya simba day yameanza ila timu bado haijaenda kwenye maandalizi
@JosephTibu
@JosephTibu 3 месяца назад
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 месяца назад
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 3 месяца назад
Hahahahaha 😂😂😅🤪 mjinga kweli wewe Ahamad Ally na mdomo wako. Wakina Onana wako wapi? Wakina Lwambangoma wako wapi? Ulikuwa unaongea hivihivi mwisho wa siku nafasi ya tatu . Nyie mafala kweli mikundu wa msimbazi.
@NeymaTarimo-uk1zw
@NeymaTarimo-uk1zw 3 месяца назад
Daaaaa mbona matusi ivyo ndugu yangu
@MarthaAlay-j9j
@MarthaAlay-j9j 3 месяца назад
Mbona matusi yote yanini jaman
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 3 месяца назад
Bwana waziri anakula huyu binti daaaa!
@justinmwanyingili8073
@justinmwanyingili8073 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉 Tuko pamoja
@OnesmosangalaliThs
@OnesmosangalaliThs 3 месяца назад
Ila Irene 😂,., tulia sasa😂
@BarakaDeus-gt8hr
@BarakaDeus-gt8hr 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад
Huyu mwandishi ni mtoto wa ana kilango mke wa malechela?nauliza jmn
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 3 месяца назад
Hata mm najua hivo unavofikilia
@joshuamtagwa347
@joshuamtagwa347 3 месяца назад
Ndo hivyo
@josephatjordan5560
@josephatjordan5560 3 месяца назад
Sio kweli na hawana undugu!!!ni mtoto wa kilango tofauti!!wazazi wake wapo Mbezi Juu!!!na wadogo zake !!!wakina Kilango ni majina makubwa ya kikabila tu
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 3 месяца назад
@@josephatjordan5560 ok sawa
@RokiPeter
@RokiPeter 3 месяца назад
Matusi yanini kama humpendi siunyamaze tu
Далее