Shekh wangu kuondoshwa ktk cheo ulichokua nacho umshukuru sana Allah na uwape shukran walio kutoa ktk uwongozi hio ndio kheri y'ako ya kusamehewa madhambi y'ako kubaki salama na mwenye afya njema, Allah akurehem na akufanyie wepesi ktk hajazako njema inshaallah🙏
Mitihani tumeumbiwa wanadam ila yote ni kumshukuru allah ktk kila mtihani unaokukuta neno moja tu ni kuseme alhamdulillah huwezi jua ya mungu ni kwann wamekuondoa ktk nafasi hii dua yangu kwa allah akujalie subra uvumilivu na akupe kheri hapa duniani na kesho akhera
Alhamdulillah. Natamani masheikh wetu waachane na kusema mabaya ya watu katika vyombo vya habari na hata katika mijumuiko ya watu mana dininyetu inakataza. Mwite mwambie, mkosoe na mwelekeze ili akawe mjumbe mzuri zaidi kwa waumini wengine Jamani it’s not a muslim culture kusimama mbele za watu kumzungumzia vibaya muumini mwenzio. Subhanallah!!
Huyu shekhe wa mkoa alikuwa anakubalika sana ni kiongozi mwenye hekima na muadilifu sana MUNGU akujalie subira na imani siku moja utakuwa shekhe mkuu wa Tanzania.mimi japo mkristu namkubali sana shekhe huyu anaeongea. Mungu akupandishe juu baba musa
ALLAHUMMA GHUFIR LAHU WAARHAMHU MASKANAHU FILJANNA. POLE SANA MUFT WETU, SHEIKH WETU WAMKOA, SHEIKH WA WILAYA YA KOROGWE TANGA, WAFIWA PAMOJA WAISLAMU WOTE MLIYO GUSWA NA MSIBA HUO ALLAH MJAALIYE MAKAZI MEMA MAREHEMU WETU WOTE WAKIISLAM NA UWAEPUSHE NA ADHABU YA QABR KWAREHMA ZAKO TUKUFU
Mie pia machozi yamenitoka mwenyezi mungu akuongoze ila kama umfanya sheria inavyosema katika ili linalokuondoa leo madalakani basi mwenyezi mungu hulipa hapa hapa duniani naka kweli ulikwenda kinyume ba sheria katika ilo linalokuondoa apo ulipo basi mwaka atakaa na mkewe inshallah
Kiukweli waislamu mmefeli sana Doctor mwaka mhuni tu wa mjini anawafitinisha hadi mnamuondoa huyu shehk ktk kiti jamani ,kiukwel mimi ingawa ni mkristo imeniuma sana
Maalim @alhad twashukuru sana kwakutuongoza paka kufikia Leo kuondoka kwa cheo chako maana kila binadam anamapungufu yake kwakwel umejitahid mwalimu au shekh wetu alhad mussa salum mungu AKULINDE insha'Allah ,,ILA shekh wetu mcheshi we shekh wareed karibu sana katika kitu cha cheo🙏🙏🙏😍😍
Nimemfahamu shekhe walid nikiwa nasoma kwa shekhe ramia bagamoyo ni mtu mzuri sana na nini dalili za mtu mzuri watu wengi humkimbilia na yeye hachagui wote ni wake kama mzee muhiya na wa wanawe na ndio uislamu ukiwa na cheo usijione bora kuliko wengine ALLHA ATUHIFADH WAISLAMU WOTE ALLHA HUMA AMEEN.
Alhadulillah Assalatu assalamu alayka yea rasulallah sallallahu alayhi wasallam alllah hafiz alllah huakbar,yes all'answer control of allah no tention, waiting that's right.also, alllah Allahus samad,
Hapa haikutumika hekma ilifaa hata kwa baadae wamuondoe ila sio kwa hii style maana haikuleta picha nzuri. Kwa sasa, watachimbuka wengi kama kina mwaka. Haijapendeza
Wamemuonea sana sana huyu shekh..kama kweli wamemtoa kwenye uongozi kwasababu ya mke wa mwaka watapata malipo yao hapahapa duniani..maana huyu shekh yeye hakumuita mke wa mwaka aende kushtaki pale bakwata naomba hilo lijulikane
Umefanya mema sana na pia umefanya mabaya, ila mda umefika wa wewe cheo hicho kukuacha si kwa ajili ya Dr mwaka ila tu mda umefika. Mwenyezi mungu anawapenda waja wake, bado yupo na wewe usilie umesalimika na balaha ambalo lingekushinda, mshukuru Mwenyezi mungu sana kwa kukuepusha
Mimi siyo mwislam kwa dini Ila tujitahidi kuwaheshimisha viongozi wanao tuombeeni na kutuongoza kwa khaki ya MWENYEEZI MUNGU. Hatuwafundishi wasio mjuwa MUNGU kuona Wema na kuonyana kwa upendo na subila kiukweri ni kumpa Adui nafasi Ya KUTUKANWA mwenye heshima mpe heshima tujifunze kwa MANABII na mitume kustahimiliana
Mwalimu wangu alhad mussa tangia akiwa mwalimu wa madrasat maamory alikua ako na machozi yaharaka sanaaaaa ilikuaga yuatuliza marangine pale maamory tmk.
Ukiwa na roho mbaya huwezi elewa nini maana ya machozi.Tena hasa kwa mtu mzima anafanya jambo hilo mbere ya macho ya watu wengi.Hata kama anabaya inamaana hana hata jambo moja zuri alilo watendea waislam?
Msanii Alhadi, Hapo Tayari Kashamkorofisha Mufti, Ana khofia Kuenguliwa nafasi yake na Ndio Maana Anakimbilia Silaha ya Watoto (Kuliaa😭😭😭) Alhadi Ni msanii Sana, Tena Anaweza kuwauza Wooooote hapo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
huyu kinachoörisha cıo kukosa kaz ya uongoz n khof ya kuish hapo mjinin maana alkuwa akıwasema mashekh wenzake NJAA tu cjuı hamna pa kwenda sasa leo yyy atakuwa mgen wa nani??????
Kupokezana ktk madaraka ni Jambo la kawaida unakililia cheo ulitaka uongoze Hadi kifo? Lazima uamini qadar, pia hata mimi uliniuzi kusimamia kuua ndoa ya mtu si Jambo zuri, wewe ungejisikiaje kama unakorofoshana na mkeo hakuheshimu Halafu ukagundua Kuna kiongozi anampa taraka huoni nawe unamtia kiburi mke wa mwenzio?
Huyu msanii sana katoka kulia kwa marehemu kaja kumlilia mufti eti anamvumilia ili azidi kumvumilia kwa upuuzi wake kilamtu anamjua anaachisha ndoa za watu halafu anawatomgozaa wanawake walioachanishwa na yy dah huyu jamaa noma ila iko siku kiti anachojigamba nacho kitamfedhehesha tu maskini samaah mufti mkarimu mchamungu mtu wa watu ila kwa huyu hapana msani tu
@@abdulrahmanmwadini5925 mpuuzi niww unaeongeaa upuuzi na kutetea wapuuz kuna Lundo la mashahidi ninaaakili timamu najua ninachoandika kwahio usitete watu wenye makosa we unajua kuachanisha wana ndoa arshi inatikisika au hujui dhambi yake kwahio mwambie msanii wako Allah anamuona na atamlipa atubu haraka na awe muadilifu. Laasivo machungu aliowafanyia watu hayatapita bure kamaatadinu tudanu what's goes around comes around hakuna mkamilifu tubuu taubatan nasuhaa
Bismillah,kwa kiongozi mkubwa kama huyu ilitakiwa kutumika hekima na busara kukaa naye kumueleza mapungufu take,kwa maana ss binadamu hakuna mkamilifu.
Hawakumtendea haki kwa nn wasimuite kwenye baraza hakumlazimisha Mkewe Dr Mwaka kutengua ndoa yake bali ni matakwa yake Queen mbona hadi leo anaitaka talaka yake ilaanazungushwa pana kitu nyuma ya pazia mdhambi kubwa sn mliyomtendea Sheikh kumtengua na inasikitisha sn sn