Namkubar sana kipozeo siwezi lala bila kumsikiliza ingawa Mimi ni ndugu yake wa damu kama anavyosemaga ongea ukweli kuhusu imani Mzee wangu hata kama wapo wasiokukubari
shekhe tunavyo jua kua kuimba nyimbo haram kuskia nyimbo haram licha ya rizki mbona ilo swali umelijibu kua ukimnyenyekea allah akunyimi rizki mbona hukujib kua kuimba haram kama dini inavyo sema shekhe wetu
JeanMuzaliwa unaongea kitu usicho na elimu nacho.Una uhakika hizo ndevu zimechomwa? Jifunze hilo kwanza halafu ndo uje barazani kuongelea mambo yenye kuhitaji uelewa wa kutosha.Halafu ni jambo jema hata kwenye maelekezo ya dini ya jina lako kuwa adabu kwa watu wazima na viongozi wakiwemo wa dini.Hicho ulichokusudia kusema kwa kuandika 'choga' ni ukusefu wa adabu.Hata hivyo,hiyo rangi ya ndevu zake siyo alama ya hicho ulichikilenga. HICJO ULICHOKILENGA KWA KIONGOZI HUYO,KITAKURUDIA WEWE MWENYEWE.HESHIMA YA SHEIKH KIPOZEO NI KUBWA KULIKO CHOCHOTE CHAKO.BADILIKA NDUGU.
Tumesikia ukaribu wa kipozeo na Hananja, unaongopa na huku umefunga. Anyway hata hivyo uongo unaruhusiwa kwenye Uislam ili mradi uwe kwa manufaa ya Uislam.