Тёмный
No video :(

SHEKH KIPOZEO afunguka ukaribu wake na MCHUNGAJI HANANJA , sisi tunaka watu wanyooke 

Bongo Touch
Подписаться 741 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@user-kn5bv3qj8p
@user-kn5bv3qj8p 5 месяцев назад
Swadakta sheikh kipozeo
@omarimaftah-wu5zb
@omarimaftah-wu5zb 5 месяцев назад
Huyu mwenye kuuliza hana uwezo wa kuuliza maswali yenye maana unampotezea muda Sheikh
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i 5 месяцев назад
Namkubar sana kipozeo siwezi lala bila kumsikiliza ingawa Mimi ni ndugu yake wa damu kama anavyosemaga ongea ukweli kuhusu imani Mzee wangu hata kama wapo wasiokukubari
@josephlorri431
@josephlorri431 4 месяца назад
Taaluma ya habari imevamiwa... anayehoji hana taaluma ya habari/uandishi..usharobaro..
@Kekulebenzene
@Kekulebenzene 5 месяцев назад
Hakuna sheikh hapa, ni comedian tu
@allymussa4646
@allymussa4646 5 месяцев назад
Mlinganie aingie kwenye haki
@zuberimusamazari7003
@zuberimusamazari7003 5 месяцев назад
Kipozeo zamani nilikuwa nikimkubali sana wakati wa ramadhan kama hivi yupo pale kigogo
@user-it6zi7zw8y
@user-it6zi7zw8y 5 месяцев назад
shekhe tunavyo jua kua kuimba nyimbo haram kuskia nyimbo haram licha ya rizki mbona ilo swali umelijibu kua ukimnyenyekea allah akunyimi rizki mbona hukujib kua kuimba haram kama dini inavyo sema shekhe wetu
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 5 месяцев назад
Jamaa kakariri watu maarufu ..... ndo nini sasa😏
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i 5 месяцев назад
Naomba kama naweza pata namba yake Mzee wangu
@sheemaryam
@sheemaryam 4 месяца назад
Na wale wanafanya dawah mitaaani na wankuwa na viatu wakisoma quran3 je vipi hao?
@mbarakashekallaghe1210
@mbarakashekallaghe1210 5 месяцев назад
Interview pia hajajipanga kuuliza masuala ya msingi
@JemshidMaulana
@JemshidMaulana 5 месяцев назад
Nakukubali kupita maelezo
@pacifiquemukanya1009
@pacifiquemukanya1009 5 месяцев назад
Wewe jean aca comment za kitoto
@DaudaBilikesi
@DaudaBilikesi 5 месяцев назад
JeanMuzaliwa unaongea kitu usicho na elimu nacho.Una uhakika hizo ndevu zimechomwa? Jifunze hilo kwanza halafu ndo uje barazani kuongelea mambo yenye kuhitaji uelewa wa kutosha.Halafu ni jambo jema hata kwenye maelekezo ya dini ya jina lako kuwa adabu kwa watu wazima na viongozi wakiwemo wa dini.Hicho ulichokusudia kusema kwa kuandika 'choga' ni ukusefu wa adabu.Hata hivyo,hiyo rangi ya ndevu zake siyo alama ya hicho ulichikilenga. HICJO ULICHOKILENGA KWA KIONGOZI HUYO,KITAKURUDIA WEWE MWENYEWE.HESHIMA YA SHEIKH KIPOZEO NI KUBWA KULIKO CHOCHOTE CHAKO.BADILIKA NDUGU.
@tyronemofekeng7152
@tyronemofekeng7152 5 месяцев назад
Maandishi hujielewi
@kaidiSaid-ot9nl
@kaidiSaid-ot9nl 5 месяцев назад
Nadhani ameshitukishwa majibu haya laa
@goldlineofficial8778
@goldlineofficial8778 4 месяца назад
Wewe interviewer una matatizo maswali yako Mimi ningekutia kofi Bwege ww huna akili
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 5 месяцев назад
Taaluma ya uandishi imevamiwa!
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 месяцев назад
Tumesikia ukaribu wa kipozeo na Hananja, unaongopa na huku umefunga. Anyway hata hivyo uongo unaruhusiwa kwenye Uislam ili mradi uwe kwa manufaa ya Uislam.
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 5 месяцев назад
Acha uongo ndugu yangu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 5 месяцев назад
we mwenyewe umeshachoma ndevu la kufuatia utakuwa choga,kama ww kiongozi unakaa ivo vp kuhusu wale unaoongoza?dini nyingine ni shida tupu!
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 5 месяцев назад
Hajachoma kaweka hina
@pacifiquemukanya1009
@pacifiquemukanya1009 5 месяцев назад
WWE JEAN ACA COMMENT ZA KIJINGA KAMA HUJIWI UMUHIM WA HINNA ULIZA
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 5 месяцев назад
@@pacifiquemukanya1009 kama ww ni muislamu uko kwenye hatari,pia naomba unifunze ww mwenyewe kujuwa!
Далее
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 10 млн
🎙ПОЮ ВЖИВУЮ!
3:17:56
Просмотров 1,5 млн
SHEIKH KIPOZEO AELEZEA HALI HALISI YA BINAADAMU WALIVYO
1:03:25