ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eTTHNIJH9W0.html haya haya njooo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama
Napenda sana mtu jasiri asieogopa anaesimama na ukweli, mimi si mtu wa maulid lakini nimekupenda sana kwa ukweli wako, allah akulinde na fitna shari na husda za walimwengu
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eTTHNIJH9W0.html njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na namama
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eTTHNIJH9W0.html njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama
Shekh mziwanda Allah akuhifadhi na kila baya hakika Allah anampenda mwenye kusema kweli na anamchukia mnafiki umesema ukweli mtupu utakaa na mtume peponi firdaus katika waumini kuna wanaume bwana!! Safi sana .Serikali siyo mbaya sisi ndiyo wabaya. mbwa mwitu humla mnya aliyejitenga na wenzake Tupendane kwa ajili ya Allah natuchukiane kwa ajili ya Allah.
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eTTHNIJH9W0.html haya njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa naymama
Makanisani hakuna kupingana atakavyosema mchungaji ni yes yes yes hata kama muongo huu utaratibu utaupata kwa waislam mtu haezi ongea mbele ya waislam jambo lakupotosha ama llisilo ushahidi wa vitabu ama fitna lazma utaulizwa ukweli wa maneno yako
@ustadhfarouq7729 Waislam ni wanafiki si umemsikia huyo shehe wako,sisi wakristo tuna utaratibu maana Yesu wetu hakuwahi kupigana na mtu yeyote, huwezi kumwambia kiongozi wako hivyo kwa lengo la kumdhalilisha mkubwa wako.Wenye busara wanaitana na kuonyana
Mimi sio mtu ninayekubali mawlid,lakini shekhe mziwanda nampenda sana licha ya kuwa napishana nae misimamo. Lau kama nitakuwa nipo dar es salaam nitaenda kuhudhuria darsa zake
Hawa ndo masheikh tunawataka, unafiq utaondoka tukiwa wawazi haina haja ya kuogopana.......mashaallah ...tumuombe Allah amjaalie umri mrefu wenye kheri zaidi......!
Maashallah shehe Shekh ataki dhambi ya kusengenya yaani anawachana live live bila chenga na ukweli umepenya wazi wazi hivi ndivyo Mungu anataka na ndio mana ya uislamu Kwa sababu pia hata dini inasema kitu likiwa kibaya basi zuia kwa nguvu yaani mkono wako na kama huwezi basi ata kwa mdomo yaani nena na vyote hivyo vikikushinda basi chukia yaani pingana na mabaya Qul haq wainkana murua
Walay nasema masheikh wote. Wangekuwa kama hivi hakika dini isingekuwa na wababaishaji,kiukweli sheikh mziwanda nakupenda toka moyoni mungu akuhifadhi duniani Hadi kesho ahera
Subhanallah yaani hao waliopewa Mamlaka juu kuwasimamia Waislam wenzao baadhi yao wanayatumia Mamlaka yao kwa Maslahi yao binafsi. Jamani tumche Allah siku ya Kiyama ni siku mzito sana .
Yaan tungekuwa na mashekhe kama hawa 10 tu kuna baadhi ya tabia za mashekhe wanafiki zingepungua,wanatia huruma sana mashekhe wanao jifanya wako karibu na serikal wapumbavu sana wanaharibu dini yetu,Asante sana shekhe dawa imewaingia hao wanao jifanya mashekhe pesa
Mwenyezi Mungu ni wa haki, mwenyezi Mungu ni kweli, wewe umesema kweli na haki, na ukitaka kuwa rafiki na dunia nikutafuta uadui na mwenyezi Mungu, na ukiwa adui na dunia ni kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Ndugu umechagua fungu jema la kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Akupe kheri zaidi .
Mashaallah sheikh ALLAH akuifadhi na kila hasad husda chuki na roho mbaya za wanafk leo umezungumza kweli mbele ya jamii sio kona kona akika yakweli huwa aijifichi inshaallah watu kama weye ndio wanastail kuwa ktk hak
Nilitamani Siku Mmoja Nikuone Bayana Ila Leo Alhamdulilaah Nimefanikiwa Kukuona Na Kuongea Na Wewe @Muharaam Mziwanda Allah Akuwekee & Atujaliie Mwisho Mwema Sisi Sote AMIIN Shukran Kaka @Amiri kikwa 🙏
Japo ukweli unauma, na utaonekana huna adabu kwa mashekhe, umewavunjia heshma lkn ujumbe umefika na hivi ndivyo inavyotakiwa. Allah akulipe Shekh, uwe na umri mrefu