Тёмный
No video :(

SHEIKH WALID USINGENISOMESHA UNGENIACHA TU KWENYE MAMBO YA MPIRA, NIACHE TU NITAMBE. 

SANA TV
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

HAPA UTAPATA ELIMU PAMOJA NA HEKMA,
TAFADHALI SUBSCRIBE.
.
Please Like, Comment and Do not forget to Subscribe to Our Channel (www.youtube.co...)
....
Also Connect with Us on Social Media Platforms
Like our Page on Facebook : / sanatvtz
...
Follow us on Instagram: / sanatvtz
...
Find us on Tiktok: / sanatvtz
...
#SANATVTZ #SANATV

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@AbdulWaheedAlRawahi
@AbdulWaheedAlRawahi 3 дня назад
Yupo vizuri, na anastahili pongezi sana kwa kuhifadhi kwake kalima Sio rahisi kwa asiesoma.
@Swalahudintv
@Swalahudintv 11 месяцев назад
Allah atuongoze katıka haki na atujalie mwisho mwema
@HuzeifaMsomali17
@HuzeifaMsomali17 2 месяца назад
Wewe ndio upo kwny Haki wengine wanakosea au Acha kuhukumu watu ww bado sana
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 11 месяцев назад
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 11 месяцев назад
Tunaposhindiwa sisi ni pale tunapozungumza maneno matupu pasina Qur aan.pale tunapo mzungumzia mtume Muhammad swala llaahu alayhi wasallaam. Ama pale tunapoleta adhkar zetu Nisieleweke vingine mimi ni mtu NINAEIPENDA MAULIDI
@user-qt4lr9cx4y
@user-qt4lr9cx4y 11 месяцев назад
Fanyeni yote ila tmbueni Quruan ni mwongozo wetu ,na mtambue bado mwongozo watu awa ufwati watu awa ukumiani kupitia kuruani .
@nassor8819
@nassor8819 Месяц назад
Innali LLAH
@AhmadiMadua
@AhmadiMadua Месяц назад
Mawahabi na masalafi wanamageni sababuhawajasoma
@adnaankhanbhai7057
@adnaankhanbhai7057 3 месяца назад
Minafiiki hio ime kutana wanaojiita waislamu
@HuzeifaMsomali17
@HuzeifaMsomali17 2 месяца назад
Na ww Muislamu gani unawaita wenzako Wanafki huo ujasiri umeutolea wapi?
@HuzeifaMsomali17
@HuzeifaMsomali17 2 месяца назад
Basi msijisifu Usafi kwani Allah anamjua sana aliemsafi. Qur'an 53:32
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 11 месяцев назад
Sijui wangekuwa wanaelimu Kama wanachuoni wenye kuzingatiwa ingekuwaje majigambo yake.Kila siku mnatetea majambo yenu ya kizushi hakuna dalili ya quraan Wala hadithi za Mtume swalalahu ghalayhi wasalam
@habibumuhammad730
@habibumuhammad730 11 месяцев назад
Ungeona hapo majigambo yake naa ss twatetea hatuna dalili na ww unae pinga tupe dalili ama dalili zako ni shekhe kasema shekhe kasema
@AsmanMwanza-kr5fw
@AsmanMwanza-kr5fw 11 месяцев назад
Kama hutaki mtume kutangazwa na kusifiwa tuachie ss tumsifu na tutamsifu mpaka kufa,
@abdulkhaliqmuhammed456
@abdulkhaliqmuhammed456 10 месяцев назад
Maa shaa ALLAAH Ila na wewe pia una elimu usijidharau na elimu yako yaonyesha wazi hapo uliposema 👉 GHALAYHI. Kwanza inatakiwa kila mtu ajishughulishe na mapungufu yake kwanza kisha ya wengine. ALLAH ATUONGOZE SOTE AAAMIIYN
@EtihadBega
@EtihadBega 10 месяцев назад
Lete hoja
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 месяца назад
Usifuate jeneza la watu bidaa
@HuzeifaMsomali17
@HuzeifaMsomali17 2 месяца назад
Sawa mwenzetu ushabashiriwa Pepo na Mtume
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 4 месяца назад
Ahal Al Bidaa!!
@HuzeifaMsomali17
@HuzeifaMsomali17 2 месяца назад
Wewe mwenzetu ushabashiriwa Pepo Tuache sie watu wa Bid'aa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 месяца назад
@@HuzeifaMsomali17 Ahal Al Bidaa
@omari-vo7dy
@omari-vo7dy Месяц назад
Kulingana na haya maneno huyu mjamaa wao ni mufti wa kielemu ama ni kubandikwa tu jina
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 11 месяцев назад
masufi na matwarika na story zao za kujambiana
@babuumohd4290
@babuumohd4290 11 месяцев назад
Naomba nipewe hii ilmu kwanza nataka kujua tofauti yakusherehekewa raisi kuzaliwa na kusherehekewa Raisi kuingia kwa mji fulani zote zinakua ni sherehe za kuzaliwa Rais?
@ustadhirajabu5736
@ustadhirajabu5736 11 месяцев назад
Nenda darasan
@ustadhirajabu5736
@ustadhirajabu5736 11 месяцев назад
Humu huwez someshwa
@habibumuhammad730
@habibumuhammad730 11 месяцев назад
Tamam inshaallah jawabu sahihi kabisa njoo darasani tukufundishe
@Abuuabdillah259
@Abuuabdillah259 11 месяцев назад
Mjinga mmoja huyu
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Месяц назад
@@Abuuabdillah259 shekhe alo usiseme hivyoooooo nivibayaa bwana abuu sasa wapata wp ujasiri wakusema hivyo wakati na ww unakosea bw. Abuu
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 1,5 млн
Ajdarlar...😅 QVZ 2024
00:39
Просмотров 377 тыс.
MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
17:20
Просмотров 146 тыс.
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 1,5 млн