Тёмный
No video :(

SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 825 тыс.
50% 1

SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 633   
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 4 года назад
Kweli yesu ndio haki ya dunia unaona hawapingi quruan lakin biblia ni moto.
@nadhrakhamis7675
@nadhrakhamis7675 4 года назад
Waanzaje kwa mfano kupinga kitabu cha Allah wameamua kuipinga bibilia sababu sio kitabu cha haki
@wilsonuhenge894
@wilsonuhenge894 4 года назад
@@nadhrakhamis7675 haki inapatikana mahakamani baada ya ushahidi kutolewa, uwe wa ukweli au uwongo yote sawa
@edwardsichilengwe2330
@edwardsichilengwe2330 4 года назад
Wanapinga zote hakuna cha ukristo wala uislam huko. Sikiliza vizuri mpaka mwisho
@nadhrakhamis7675
@nadhrakhamis7675 4 года назад
@@edwardsichilengwe2330 nimewaelewa lkm nimemjibu uyo alisema yesu ndo haki ya dunia
@edwardsichilengwe2330
@edwardsichilengwe2330 4 года назад
@@nadhrakhamis7675 sawa my dea, mi mkristo ila kila dini ni njema machoni pa mtu. Mungu haangalii we na Yesu wako wala mohamad ispokuwa matendo yako. Mimi kwangu dini zote ni bora kwa mwny dini, wazazi wng wangekuwa waislam ningekuwa muislam so swala la dini ni swala la kiimani sana
@solomonimkwere498
@solomonimkwere498 4 года назад
wasioo weza kuishi Korea kasikazini tutuane
@mhojamalekana1724
@mhojamalekana1724 4 года назад
hahahahaaaaaaa balaaaa
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 года назад
Siwezi
@berry9kazoro256
@berry9kazoro256 4 года назад
Duuh!!,,, Niatar
@abuuhashim9971
@abuuhashim9971 4 года назад
Me hapna xiwez
@Offical_neyvoice
@Offical_neyvoice 4 года назад
Siwez
@pendomvungi6538
@pendomvungi6538 4 года назад
Nmeipenda hyo sheria ya kuvuta bangi sana
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂
@muhameeimamu677
@muhameeimamu677 4 года назад
Mm nmeipenda iyo ya kutembe na demu wako respect sana
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 года назад
Ambao wangeweza kuishi Korea ya kaskazini kama mim, gonga like hapa tujuane.
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 года назад
C kweli
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 года назад
Edwin Alexander tuko pamoja
@zakhilamanzi2006
@zakhilamanzi2006 4 года назад
Uyu MTU sio mzur akiwaza kukuuwa ajipapasii...!!!
@abasmzeebabamiminakukubals3230
@abasmzeebabamiminakukubals3230 4 года назад
Ww
@feysal8604
@feysal8604 4 года назад
Mmhhh labda useme wavuta bangi mjuane...weeeeee mashart magumu hivyo?
@robsonwisdom4025
@robsonwisdom4025 4 года назад
Nashukulu mungu kwa kuzaliwa Tanzania mana yajayo
@obagoabhiathan3565
@obagoabhiathan3565 4 года назад
Jamani wale ambao wanaamini kuwa wanaweza kutoboa maisha ya KOREA KASKAZINI mpaka mwisho... Tujuane kwa like
@saidmawazo7680
@saidmawazo7680 3 года назад
Nakama ndo ipo ivo ni noma sana
@iddynyaihere5424
@iddynyaihere5424 4 года назад
Nawapenda sana global tv mko vizr
@chunanachu2529
@chunanachu2529 4 года назад
Asante mungu kwa kuzaliwa tanzania
@prosperswai490
@prosperswai490 4 года назад
Uyu rais ni noma sana ndo maana corona haijagusa nchi yake na alitangaza kuwa mtu atakae kutwa na corona hana haki yake ni chuma tu
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 3 месяца назад
😂
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedkassimu8789
@mohamedkassimu8789 4 года назад
Endeleeni kuchimbua asili ya Nchi mbali mbali hongereni global tv
@chunanachu2529
@chunanachu2529 4 года назад
Waliojikuta hawatamani kwenda hata bure tujuane hapa
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Niko hapa
@aminamustapha1724
@aminamustapha1724 2 года назад
Labda wanipeleke kwa uchawi
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 4 месяца назад
Naipenda sana tena Sana Korea kskzn.
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 3 месяца назад
​@@jumamustapha8254😢😢😢😢 mungu akulinde
@justinbara6783
@justinbara6783 2 месяца назад
Mimi nitaenda lakini Korea Kusini kule hakunaga mambo mengi sana
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 4 года назад
Simulizi yako nzuri sahuti nzuri pia bigup kaka
@chamblainreuben7431
@chamblainreuben7431 3 года назад
San kaka anasauti nzur san kam mtafsili
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 3 года назад
Nilihipenda
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 3 года назад
Nina Jaribu ku copy siwezi
@kilimanjaro_media
@kilimanjaro_media 4 года назад
Anayesema kuwa hii story ingesimuliwa na Ananias Edgar ndo ingenoga zaid Fanya kugonga like kama zote
@zulfahhussein505
@zulfahhussein505 4 года назад
Kabisaa ingelinoga sanaa Sijuwi kwanini hawakumpa hii story
@marympemba2878
@marympemba2878 3 года назад
Mtangazaji kazi yako nzuri na unaijua kweli kweli
@sofiaasukuku8238
@sofiaasukuku8238 4 года назад
Izo ndosheria za Musa Sasa ,,watanzania wengi wanaweza kuhishi Korea sababu ya bangi tu
@documentariestvshow
@documentariestvshow 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@gloryren7162
@gloryren7162 4 года назад
😂😂😂
@rajabundonyi32
@rajabundonyi32 3 года назад
benson a Q Qàààà11
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
😂🤣🤣🤣🤣
@ablysonco8850
@ablysonco8850 4 года назад
KWELI HAWA WOTE N WAVUTA BANGE MAANA SHERIA ZAO TUU ZIMEKAA KBANGE BANGE TUU MWANZO MWISHO....
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 4 года назад
Umeonaee
@ablysonco8850
@ablysonco8850 4 года назад
Yaah! Najma we mwenyew siumeona mambo yao yaan n balaa tupu...
@kamanda007
@kamanda007 4 года назад
Hakuna tofauti na bongo mnajidanganya tuu
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 года назад
Umeona eeh
@elizabethmarwa2472
@elizabethmarwa2472 4 года назад
Heheeeeee
@gangmore9091
@gangmore9091 4 года назад
Number 4 💪
@salimmohamedsalim4448
@salimmohamedsalim4448 4 года назад
Kumbe ndo maana marekani alitaka kuchokoza vita akashindwa 🤣🤣
@japhetpaul8132
@japhetpaul8132 4 года назад
Salim Mohamed Salim Raivan
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😉
@tiktokboy6791
@tiktokboy6791 3 года назад
Dah asante sana kaka nashkuru bora nishindwe kaburini kuna sheria zake lakini sio Korea
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
🤣😂😂😂😂😂 hatr na nusu yake
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 4 года назад
😂😂😂😂😂nasemaje asant Mungu kwa kuzaliwa tz tz ni laha tuu afrika nzima tanzania laha tuu nasema mataifa ya kitajili mengi ayana amani bola sisi masikin tunakula lahaa atali Mungu ametubalik fraha na kila kitu asante Mungu
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 года назад
Kwel
@Pedeshee01
@Pedeshee01 4 года назад
Jifunze tofauti basi ya R na L huenda kwenye kuongea kwako ukawa una tatizo hilo ila ni la kimaumbile na ni ngumu kulirekebisha🙏🙏ila kwenye kuandika unaweza kabisa kulirekebisha.Laha(Raha) utajili(utajiri) bola(bora)baliki(bariki)
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 3 года назад
We mjinga kabisa unajua nch ngapi hapa afrika? Ulizia maisha ya Botswana, uliza Maurtius uliza cychelas .!!
@chamblainreuben7431
@chamblainreuben7431 3 года назад
Asante YESU kwa kuw mtz
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 3 месяца назад
​@@Pedeshee01😢😢😢😢😢 acha bwan mwenzio ajiskie amni😮
@saidomar6806
@saidomar6806 4 года назад
Mungu mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa ni Allah na Muhammad nimtume wake na Issa yaan Yesu ni mjumbe wake pia Hivo tulielewe vyema stay safe and your family Corona is Dangerous virus From Tanzania🇹🇿🇹🇿
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Allah ni Mungu wa Waarabu, Muhammad ni Mtume wa Waarabu acha kujivuruga
@happinessmillanga982
@happinessmillanga982 4 года назад
Nani anarudi mara ya pili ni Muhammad au YESU?
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
@@happinessmillanga982 Anarudi anaenda Wapi Africa ama Israel kwao??? Izo ni story za alinacha hakuna Yesu anarudi.
@jouzemussa5505
@jouzemussa5505 4 года назад
Amin unachokiamin kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyew
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 4 года назад
Achaneni naye huyo.. Hayupo tofauti na sheria za korea kaskazini maana wao wanaamini katika mambo ya kihuni tu
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 4 года назад
Kwako zuri kijitengemea safi sanaa,nimependa sana
@arunamwaholi1351
@arunamwaholi1351 4 года назад
Kwenye sili hapo ndo marekani wameshindwa had leo jamaa hawaingiliki kabsa japo wavuta bangi wako makini na kutunza sili zao
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nassoromussa4440
@nassoromussa4440 2 месяца назад
Hebu jaribu kufikiria Yale maisha tuliyoishi vjjni zamani hakuna shda chakula, hakuna magonjwa tuliyoletewa na wazngu, no stress ila ulivyoingia utandawazi wa wazungu ndoa hazieleweki, ushoga, usagaji, kujinyonga watu kupitia movie kwaiyo Korea kaskazn waliyajua na msichokijua wao ndo wanaishi vzr kuliko sisi tunaosema hatutamani maisha yao. Mfano wao waliamn Corona ni shetan aliyetengenezw na wazngu hvyo ukiingia umetumwa utakufa ni sawa na sisi tulivyoletewa na wazngu Sukari, Ukimwi, magonjwa mengi ya zinaa, cjui UTI yametoka wapi mbona zaman kulikuwa hamna .
@sele2507
@sele2507 4 года назад
Kila mtu anataka like hamtoi hamtoi mawazo
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 4 года назад
Yani nishida hawa waomba like
@omaryjuma4668
@omaryjuma4668 4 года назад
bless sauti ya ghetto.... darboi
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 года назад
Ebu fikiria ingekuwa umepigwa marufuku kuingia Dar hii ingekuwa noma sana.
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
Asante maana nilikuwa bize kutafuta passport yakwenda Korea🇰🇷2026 sasa nageukia upande mwingine Mungu Akubariki ❤❤
@Baraka-wo9rw
@Baraka-wo9rw 25 дней назад
Yesu kristo atawaponya babang
@reubendick4033
@reubendick4033 4 года назад
Nashukuru kuzaliwa tanzania
@sultansaidisaid-ft6yv
@sultansaidisaid-ft6yv 3 месяца назад
may almight lord give you long life his excelence
@saidydoe9260
@saidydoe9260 4 года назад
Hii sio nchi ya kuishi kabisa
@arunamwaholi1351
@arunamwaholi1351 4 года назад
Jamaa nomaa sana kungozana na mpenzi wako barabarani azabu yake huiwezi kuihimili hata kidogo daa hatari sana
@magretangel5242
@magretangel5242 4 года назад
Kama unamtaka/umemiss Ananias Edgar tujuane 😎😎😎
@kissomundende3696
@kissomundende3696 4 года назад
Mambo uko pouwa mage.... naomba unicheki number zangu hizo 0719619494
@titomhagama5545
@titomhagama5545 3 года назад
Najiskia upwekee kutosikia Edgar voice
@taucymadebe7133
@taucymadebe7133 4 года назад
Duuuuuh, nchi nzima ni wavuta bangi😃😃😃😃😃😃😃
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 4 года назад
Mm Katina yoote nimependa vitu viwili 1.Kukataa haya madini ya kuletewa. 2.Kuruhusu bangi.
@user-bn6yl5xu1j
@user-bn6yl5xu1j 3 года назад
K
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 года назад
Kama hakuna sheri uliyoipenda gonga like apo
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t Месяц назад
Wako vizuri mno
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 4 года назад
Safi Sana, na sisi Tz tungekuwa na misimamo ya mila na desturi zetu.
@hhusseinsherally8554
@hhusseinsherally8554 4 года назад
Safi sana Lakini mbona unarudiarudia dini umesema zaidi ya mara mbili pia unasema hii ya mwisho lakini bado unaendelea bro acha kuchanganya kuchanganya
@mbanguluzito5496
@mbanguluzito5496 4 года назад
Upo sawa ila ananias edgars is the best
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 года назад
Yuko vzr tu.... maandiko yanasema LIIGENI LILILOJEMA
@theoniyonkuru6423
@theoniyonkuru6423 4 года назад
Ndio asimuliy hii tutaskiya raha
@miirajmohamed6352
@miirajmohamed6352 4 года назад
Sasa inahusiana nn na mada hii
@user-go3bk6wr8u
@user-go3bk6wr8u 3 месяца назад
Usisahau na za kwenu tanzania uchaguzi unasimamiwa na wakurugenzi wa serikali husika Tume ya isiyohuru na matokeo kumiywa.
@hussainomar1849
@hussainomar1849 4 года назад
NI KOSA KUINGIA MJINI BILA YA KIBALI HII NOMA SANA .
@mhojamalekana1724
@mhojamalekana1724 4 года назад
hapo ni majanga
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 года назад
Hahaaa noma kwel
@hisexcellencyhon.dandabeni84
@hisexcellencyhon.dandabeni84 4 года назад
hii sheria ni balaaa tupu.Hii nchi inamilikiwa na shetani 100%
@ramadhankondo4643
@ramadhankondo4643 3 года назад
Hii ni kweli bro, nimeshuhudia wakati nikiwa pale kikazi.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
Usiri wa nchi yao ndio maana Wamarekani wamewashindwa. Raisi wao mwenyewe nalingana nae😂😂😂😂
@ubwabwa1790
@ubwabwa1790 4 года назад
nimekubar
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Kweli aisee Marekan anajifanya mjanj ila hapo kashindwa
@kingafrojr6970
@kingafrojr6970 4 года назад
I see hatareeeeeeeeeeeeee yani motoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mustafamchucha4199
@mustafamchucha4199 3 года назад
northen Korea wananchi wafungwa kiongozi ckyama motoniwako
@zkiduku4068
@zkiduku4068 4 года назад
Daah bora nilivo zaliwa Tanzania
@kauresand8181
@kauresand8181 4 года назад
Looo bora nilivyo zaliwa Tanzania maaana😕😕
@saidathumani913
@saidathumani913 4 года назад
kaure sand duh!!
@Urgrlnut18
@Urgrlnut18 3 года назад
Tanzania sihami😂😂😂😂😂 Korea noma😅😅😅
@aokinsindi6948
@aokinsindi6948 3 года назад
Kwani Bado inatawaliwa na makaburu??haijapata Uhuru Wake duu!!ni shiida ndani ya shida 😁😋😁🤒🇹🇿🙏🙏
@yohanacharles5758
@yohanacharles5758 3 года назад
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele
@boazambokile7060
@boazambokile7060 4 года назад
Upo vizuri boss
@Chemba67
@Chemba67 4 года назад
Asilimia 100 ya taarifa yako umekopi toka ktk media zinazoendeshwa na wamarekani au watu wa magharibi zimejaa majungu na propaganda na siasa chafu. Fanya tafiti ili uandike mwenyewe ulichokishuhudia. Hakuna ukweli wowote ktk mengi uliyoyasema........tulikua huko last summer .........
@issahajji1815
@issahajji1815 4 года назад
Saidi Mohamed acha shobo
@Chemba67
@Chemba67 4 года назад
@@issahajji1815 Shobo au ndio ukweli mzee wa Shobo
@rashidbakari4882
@rashidbakari4882 4 года назад
Natamani izo Shelia ziwepo Tanzania hasa uhuru wa Kuvuta Bangi
@philomenasjohn9083
@philomenasjohn9083 4 года назад
Hii ni hatare sana
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 месяца назад
Hii nchi umbea hakuna ,uzinzi ,hakuna ubakaji ,hakuna ushoga ,hakuna ulawiti hakuna na mengi tu hapo ,bangi sio lazima uvute , shida tu wakristo hatutaweza kuishi
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Sheria nyingn Safi mpk Marekan mwenyew mjuaji kashindwa
@magembemartinimartinimagem5269
@magembemartinimartinimagem5269 3 года назад
Nice
@beliusdaud4866
@beliusdaud4866 4 года назад
Daaah that is very crucial to know
@ismailmbogo3408
@ismailmbogo3408 4 года назад
Uyo jama ni jini
@angerolucas5203
@angerolucas5203 2 года назад
Mapenzi ya Ina na angero😍😍😍😍😍😍tupa kule🏇🏃
@lauedwardwilliam8582
@lauedwardwilliam8582 4 года назад
Kwenye TV ya serikali noma sana😂😂😂😂
@salvatorymboya704
@salvatorymboya704 3 года назад
No ubaguzi haufai
@kevinmasinde6699
@kevinmasinde6699 4 года назад
Cheers kim
@sylvestermhojaaron9659
@sylvestermhojaaron9659 4 года назад
Haki za vyombo vya habari mbona hawaendi huko wakakione cha moto, wanatuparamia tu afrika maana walishatuona sisi hatunazazo,
@edwardsichilengwe2330
@edwardsichilengwe2330 4 года назад
Kweli mdau 😄😄😄😄😄😄😄
@silasmheni8683
@silasmheni8683 4 года назад
Hahahahah najiuliza kimya kimya hapa
@amanhassan7460
@amanhassan7460 4 года назад
hyo number 7 sheria ni nzuri
@micamathew2595
@micamathew2595 3 года назад
Dahhhhh hii nchi ni ya kipumbavu
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 года назад
Hiyo safii, Ila kwa wavutabangi wamewaweza wavute mpaka waoge zingine kichwani,pangekuwa ha tz duuuuh,sijui tuuu🙉🙉🙉🙉🙉
@robertmrosso2901
@robertmrosso2901 3 года назад
Mtangazaji uko vizuri
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 4 года назад
Siyo kweli kuhusu biblia,korea kaskazini kuna makanisa,mambo mengi unayosema hapa ni copy and paste toka kwenye propaganda za marekani
@hahmadhabibu2076
@hahmadhabibu2076 4 года назад
Hata CANADA bangi ni legal..watu wanavuta bangi wazi kbs
@christinarobert5874
@christinarobert5874 3 года назад
Du naona bangi umeiele kwel
@dearmama7865
@dearmama7865 4 года назад
Sheria hizo zikiletwa tz watakaoish town Ni 20%
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 года назад
dear mama 😂😂
@estermichael1322
@estermichael1322 3 года назад
Ndugu ni 5% tu watakaoishi
@khalidali1130
@khalidali1130 4 года назад
Mimi nchi ingenishnda ..hata ile ck moja nsingeweza kuushi kabisa bora uwe mfungwa wa Tanzania
@mustafamchucha4199
@mustafamchucha4199 3 года назад
nendambele kwamatupac siokwawafup nishida
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 года назад
Corea ya kaskazini safi sana wallah raha sana kuishi
@mudimkongo4632
@mudimkongo4632 4 года назад
Uko atar sana
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 4 года назад
Yaan tanzania watu wanasema et makanisa mengi misikiti mingi ila mm nakuambia makanisa na misikiti ndo inareta amani na upendo tushukulu sana tz tunaimani na fraha sana
@kazimilpaschal2344
@kazimilpaschal2344 3 года назад
Hamna kitu Kama hicho kwenye makanisa ndo Kuna uovu
@MAINA_THETHERE_1704
@MAINA_THETHERE_1704 3 года назад
Religion is the worst enemy in the world
@abiadhaathumani7526
@abiadhaathumani7526 3 года назад
@@MAINA_THETHERE_1704 sisi tunaishi Botswana hakuna misikiti mingi wala makanisa mengi na wala wananchi hawana imani sana za dini lakini ktk ukanda wetu Wa Sadec ndio nchi inayoongoza Kwa amani
@MAINA_THETHERE_1704
@MAINA_THETHERE_1704 3 года назад
@@abiadhaathumani7526 that's is the way, dini hugawanya watu
@shabanmlekwa9513
@shabanmlekwa9513 4 года назад
YAANI TOKA AONDOKE ANANIAS EDGER SIMULIZI ZENU ZIMEKUWA HAZINA MVUTO KABISA YAANI..!!
@magretangel5242
@magretangel5242 4 года назад
Kwani ananias aliondoka maana stor hainog
@saidikafe2620
@saidikafe2620 4 года назад
Umeona hilo mkuu yani ananias Edgar hana mpinzani
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 года назад
Acha kuwakatisha tamaa wasimulizi
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 4 года назад
Shaban Mlekwa Katangaze wewe uweke mvuto
@shabanipili4919
@shabanipili4919 4 года назад
Nampenda huyu rais
@user-kh1me7py6y
@user-kh1me7py6y 2 месяца назад
Watanzania wenzangu tuendelee kuilinda Amani ya nchi yetu Tanzania
@saidiyusuph964
@saidiyusuph964 4 года назад
Hongera,sana! Ila nawachukia wanaobeza wakati hawajui chochote!
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 года назад
Bangi ajawai mwacha mtu salama sheria bangi ikatungwa na wavuta bangi mambo moto mjini akuna kukaha kama auna kibali korea shikamo 😂😂😂😂bangi bangi achie korea peke dio wanaweza kuivuta na kuifanyia kazi
@franktimothkisimbo5354
@franktimothkisimbo5354 4 года назад
Hii ya kutoroka jela aadhibiwe hadi mjukuu
@queen.christelle1
@queen.christelle1 4 года назад
Frank Timoth Kisimbo 🤣🤣🤣
@rizikiruta4676
@rizikiruta4676 4 года назад
Tulete na Korea kusini
@tresorkingombe6230
@tresorkingombe6230 3 года назад
Napenda ih yocheriya yakutokuwa nadini wamefanya vizuri madininiya uongo Awa watu awataki danganyiwa nawazungu awataki
@JumanneJoseph-jo4yc
@JumanneJoseph-jo4yc 4 месяца назад
Bora ata nngezaliwa huko mana sheria zao nzuri sana c huku TZ
@mhthesamemh7303
@mhthesamemh7303 4 года назад
Wapo sahihi mm naheshimu sheria zao
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 года назад
Asante studios
@user-qi8ct9zk2h
@user-qi8ct9zk2h 3 месяца назад
Wish was born there❤
@RehemaSalamba
@RehemaSalamba Месяц назад
Wesasa umezidi kutudanganya kila sikio lazima lisikieujumbe wa yesu alietufia wanadamu wote duniani
@sottithomas9443
@sottithomas9443 4 года назад
Uko vizuri lakini hizi story muachieni ananiasedgar tu maana akisimulia hata km story mbaya basi utapenda tu
@ibrahimndungu2301
@ibrahimndungu2301 4 года назад
Sotti Thomas Nakuunga mkono mia kwa mia
@bekaroga8334
@bekaroga8334 4 года назад
pumbavu kwel kumbe ndio maana aka kajamaa kanakua na akili mbovu kwa sababu ya bangi
@zulfahhussein505
@zulfahhussein505 4 года назад
😂😂😂😂umeona nawe
@agnessestoni5631
@agnessestoni5631 4 года назад
Yani apo naisi kasahau tuu kuhusu swala lakunyoa nywele Makwapani na chini Angasema Kila mtu Akinyoa nywele Atanagaze au Ajiwakilishe mwenyew kuwa anataka kunyoa nywele gani!!!! 😂😂😂😂
@queen.christelle1
@queen.christelle1 4 года назад
Kasogelee uone moto
@ramadhankondo4643
@ramadhankondo4643 3 года назад
Kuna msikiti mmoja katika ubalozi wa Iran, ila wanasali foreigners only. Wakorea wenyewe hamna waislamu wala wakristo.
@jonathanicrisatijonathanic6708
@jonathanicrisatijonathanic6708 3 года назад
Mucheki jiva ana ngoma kali
@zuukhayrah6621
@zuukhayrah6621 2 года назад
Mm nimependa kua hakuna ukristoo mana si dini hta km uislam haupo nao ila ukiristoo umekanwa wazi wazi noma kweliiiiiii
@benmushi6335
@benmushi6335 4 года назад
Dah sasa kuna RAIA wa nchi zingine kweli huko asee
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 года назад
Chadema waende korea😂😂😂😂😂wakirudi waseme tz hakuna democry
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
😂🤣🤣🤣 hakun anaye subutu kumping mtu mfupi noma sana
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 3 месяца назад
😃😃😃😃😃
@aishamustapha7381
@aishamustapha7381 3 года назад
Mmmh!!kweli noma sana
@mastajabudekula4828
@mastajabudekula4828 4 года назад
Ha ha ha ha ha ha ha ha kweli kazi ipo vyote vizuri ila tatizo Mambo ya Mungu wamenyimwa haki
@taucymadebe7133
@taucymadebe7133 4 года назад
Hahahahahaaa, no kubusu no ku'hag daah!! Ingekuwa bongo mbona ingekuwa ni noumaa
@mrsinia3064
@mrsinia3064 3 года назад
Kwa mfano nikiambiw nichague nchi ya kuishi mbali na tz mi nachagua korea 🤣🤣
@sofiajackson9672
@sofiajackson9672 4 года назад
Hatareee sanaa
@aronpaul2331
@aronpaul2331 2 года назад
Mbona ni noma.sana.
@RehemaSalamba
@RehemaSalamba Месяц назад
Hiyo 17 nimeipenda
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 4 дня назад
Hiyo nchi ni nzur
Далее
Maisha Korea kusini vs Tanzania,Mambo usiyoyajua
26:48
Просмотров 2,6 тыс.