SKY you're the best presenter ever of this century. Much love from D.R.Congo. We’re really getting informed about so many happenings of the whole world thanks to you. May God bless you! All the best for you the CEO of SNS.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
kama chanzo ni uchimbaji wa gas hakuna haja ya kutengeneza mazingira ya kuwa na hofu kias cha kutoa majina kama hata, bali tukiri tu wote kwa pamoja ya kwamba hili nalo ni alama ya uweza wake mungu
Kuzimu ni level ya chini ya ufahamu wa kiungu na si mahali yaani low state of your mind .anger, guilt,fear,blame, etc.. ukiwa hapa lazima uone maisha ni kuzimu tosha...level za kiungu ni upendo furaha nà amani.....Kiwango cha kiungu .....diviné consciousness 💜🤍
Yaani mpaka tufike mbinguni tumechomeka balaa eeee Muumba mbinguni na nchi tusamehe zambi zetu.siwezi kutembelea hata kidogo nikichomeka mifupa yangu no way 🙏🏾🙏🏾
Labda niwape elim ya bure kuzim ni mahali pa kiroho na hakuna MTU aliewahi kufika , kwahiyo mnataka mseme kule kuzim shetani atakapofungwa miaka elfu ni hapo 😂😂😂 mnachekesha , ni Sawa na watu wanaosema mpinguni mahali pa Mungu ni huko juu kwenye mawingu, Pia peponi ni mahari pa kiroho , huwezi kufika kwa mwili wa kawaida wa kibinadamu,
Mungu kaumba kila kitu then wa mwisho katika kuumbwa ni binadamu, so kwakuwa ametuahidi kutakuwa na mwisho na huo mwisho utatokea hapahapa Duniani. So yawezkana sehemu ikawa kubwa kuliko unavyoifikiria. So ni mtazamo tu wa watu
Alishukaje chini kufanya uchunguzi! aliwezaje kuingia kwenye shimo la moto bila kuunguwa? hapo Sky umeniacha njia panda, shimo lenye moto wa kutisha mtu anaingiaje kuingia kufanya uchunguzi na asiweze kuunguwa?