Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
Why, kwa nini serikali isi walazimishe watu wanao tajirishwa na jini kulipa taxes?? Kama wengine wote wanaolipwa na sources za aina yoyote? Serikali zetu naona zimelala😅
dr sule umezingua sana maana hiyo habari ya kutumia majini umekanyaga kanyaga tuu ukasonga mbele,sema tuu ungesoma dini ila habari za falsafa na kuuza dawa za nguvu za kiume haitoshi
Kumtegemea majini huo ni ujinga na ushirikia na hakuna zambi kubwa kama shirki watu weng san wanpenda kupindisha maneno ya dini kwa matmanio yao binafs hile khofu ya kumwogopa mungu imetoweka tena 😢
HAIFAI MWANADAMU KUTUMIA JINI LIMPE MALI AU KUMLINDA ANGALIA AYA HIZI KTK SURATUL JINNI SURA YA 72 اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
HAPA MAJINI YENYEWE YANAWAAMBIA WANADAMU WASITAFUTE ULINZI KWA MAJINI KWA NI DHAMBI KUFANYA HIVYO اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
Na niwakukumbushe kuwa hata Vitabu vya Dini vinatueleza ya kwamba Mungu aliumba Binadamu na Majini ili wamuabudu yeye kwahiyo Majini wapo wema ambao ni wacha Mungu na wapo wabaya vilevile kama tulivyo Binaadamu wapo Binadamu wema na wabaya kwa kuwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja..
Huko ni kupotea majini kabla ya kutupwa waliitwa malaika lakini baada ya uasi hawana uhusiano na mungu hata kidogo, ndio maana aliyetoka mbinguni yesu alikuwa akikutana na mtu mwenye majini yalikuwa yanaomba msamaha majini wanasubili hukumu yao ya moto wa milele pamoja na wanaoshirikiana nao.
sema tuu dr sule ungosoma vizuri uisilaam ingekua bora kwako ila ukiendelea kuegemea kwenye experience na akili zako utaudhalilisha tuu uisiilaam hata kwenye mijadala hata maswali madogo madogo yatakua yanakushinda,pia sijui ni kwa nini umenyoa قزع kama lengo ni kusimamia dini ni lazima kusoma na kujipamba na tabia nzuri
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
Quran 64:2 - Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayo yatenda. Sasa Mungu kaumba makafiri na waumini 😂😂😂😂. Makafr wanashda gan na wameumbwa makafr.
Hawa mashekhe watiba maranyingi huishia kwenye uganga sasa hapa nikama unatuhamasisha tutumie majin muogope Allah sule kaburin hakuna camera wacha kutafuta cfa