Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Vwawa mkoani Songwe Mchungaji Amoni Mwashitete amewataka wananchi kuhakikisha wanajiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuchagua viongozi bora kwa maendeleo yao akidai CCM haina kibali cha kuongoza.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
14 окт 2024