Assalaam alykum!! Mimi napenda kuchukua nafasi ya kumnasihi huyu ndugu yangu aliendika comment mwanzo kabisa kua sheikh abul fadhli ni shaykhul islaam!! Haya maneno ni ya ghuluu yaan kuchupa mipaka kwa kassimu mafuta huyu ni sheikh na anajitihada ya kulingania daawa km walivo masheikh wetu wabora wengine km sheikh wetu mlezi sheikh mujahid na wengine!! Lkn hana manzila ya kuitwa eti ni sheikhul islaam
Mche MOLA wako. Yeye ni binadam na anakosea kama wakoseavyo wengine. Kuna mambo mengi atakiwa kuzingatia. Attarghib wattarhiib. Ajirekebishe kwa ajili ya ALLAH SUBHANAHU WATAALA.
Funga kinya wewe mafuta kwa kuwadanganya ummah Aifayi muislamu kushirikiana na makafiri dhidi ya mwislamu Soma vitabu vya Sheikh Muhammad ibn Abdul Wahab rahimahullah
Hakuna tafauti kati ya Dawaa Salafia na Dawaa Answari Sunna WOTE Ramona na WOTE wafuasi wa IBNU TIMMIYA NA MOHAMMED ABU WAHABI ambao WOTE ni FINARIY JAHANAM - AMEEN 🤲🤲🤲🤲
UNYA NYA SAJI UNAO FANYWA NA WASHIA KWA MABINTI WA KIISLAM KWA KUFARADHISHA NDO.... ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-uAvRvzTyImY.html *MZUNGU MZAJI SHEIKH ABDUL RAUF AL MUNAAWIY*
Shkh kassim mafuta hivi na kutetea saudi Arabia 🇸🇦 kutaka msaada kwa wamarekani 🇺🇸,kumpiga Sadam hussein mbona hiyo Saudi Arabia 🇸🇦 haitaki msaada 🇺🇸 kuwasaidia wapalestina,ambao hawa wapalestina wanadhulumiwa na Israeli 🇮🇱?hata useme nini Saudi Arabia 🇸🇦 na baadhi ya wafalme wao ni vibaraka vya mwamerika hilo liko wazi.
Salafiy nii project ya mayahudi. Kafiri au asieswali kwao Hana tatizo,lakini shida Yao ni kwa waumini wa kiislamu. Usalafi ni kuvuruga waislamu na uislamu.
@@abuuaminah5655 chunga unachokisema kaka, sababu aya na hadith ndio twawasikia wakisema! Ikiwa jambo huna ilmu nalo bora kuliwacha tu, sababu ukiulizwa siku ya kiama ulieleze hilo kwa ushahidi wallahi huna hoja ila chuki tu ulizobeba.