Hakika huyu Hakimi ni kijana shujaa, mwenye upendo, jasiri nà mcha Mungu....Dhambi zàko źote umetuachia sisi Watanzania...kwa kitendo cha kuwasaidia hawa watoto wetu wenye uhitajì hakika Mungu akupe nguvu na kipaji chako cha mpira akuongezee zaidi na zaidi.
Mpk machoz ya furaha yamenitoka walah mungu mzid msaidia huyu kijana afike mbali na injinia wetu mjaliye nae afike mbali mungu ibarik Tanzania mungu ibarik familiya yangu mungu ibarik tem yangu pendwa yanga izid kusonga mbele mungu ibarik viongoz wote wa yanga nao wawe na moyo wa ushikamano na upendo ameni
Music tone katika hii video nakupa maua yako moyo unavyosikia kama lile jimbo la tunda man ft nani huyu........'song lenyewe hili hapa moyo unaweweseka tunda nikikuona na nafsi eeeeeeeeeee Eng Hers pomoja sana dua muhimu sana sana tu