MCH. RICHARD HANANJA AVUNJA MBAVU WALIOSHIRIKI KONGAMANO LA WANANDOA YAANI MARRIAGE REVIVAL DINNER PARTY 2022 ILIYOFANYIKA KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" SIKU YA IJUMAA 11.03.2022
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh pastor Ananja ubariiwe sana hahahaahaaa unaongea ukweli na kuponya mioyo ya watu hii style tofauti kiukweli Mungu anawatumishi wa kila aina.
Kwny uislamu kuna mashekhe hata km co muislamu utawackiliza kwa jinc mafundisho yao wanavoyatoa na pia kwny ukristo wapo ambao hata km co mkristo utawackiliza tu mafundisho yao,huyu mchungaji Hananja yupo vzr sn.
Mashaallah Allah akupe afya na uzima na Allah akujaalie uwe muislam inshaallah, napenda Sana unavyohubiri ningejiskia faraja ukiwa muislam Allah asikufishe kabla yakuwa muislam.
mungu kunauamusho mkubwa anauleta maana anasema utukufu wa mwisho utakuwa mkubwa sana hivo basi ukiona watu wanamwabudu mungu kwa sana na maombi ya mkakati juwa mwana waadamu yukalibu kuludi
mukuu muchungaji wa mulima wa moto niunganishe nautukufu wa Mungu uliyo hapo ili Nami nivute hewa zuri' kama mafundisho nikashuhudiye mafundisho mazuri iliyo hapo mimi ni mwanafunzi wa vipindi vyote vya kanisa mulima wa moto'