Тёмный
No video :(

MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA' 

Uhondo TV
Подписаться 596 тыс.
Просмотров 194 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@dr.solomonolelogilunore9391
@dr.solomonolelogilunore9391 25 дней назад
Mheshimiwa Mabeyo ni mtulivu sana, nakupenda sana kwa uongozi wako Mungu akubariki sana akupatie afya njema!!
@AliAdam-ve4ms
@AliAdam-ve4ms 4 месяца назад
Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
@NeemaIssah
@NeemaIssah 9 дней назад
Mungu yupo tunamlilia kilasiku ndiyomaana,hawanaamani,tokakipindihicho namungu katupozakidogo katupamakonda
@YusuphPaul-g2h
@YusuphPaul-g2h Месяц назад
Uhakika anafaa sana Rais we2
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 2 месяца назад
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
@JideeboeMboma
@JideeboeMboma 4 дня назад
👍👍👍👍👍
@user-ex4hi7fj5c
@user-ex4hi7fj5c 4 месяца назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
@IssaMwaluko
@IssaMwaluko 5 месяцев назад
mungu aisaidie famlly yake amina
@JideeboeMboma
@JideeboeMboma 4 дня назад
😭😭😭 inauma san kipenz chawatu wengi xana Tanzania hatakaa atokee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@philipo6318
@philipo6318 5 месяцев назад
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
@user-nw6nh7yb4q
@user-nw6nh7yb4q 5 месяцев назад
Bas kama VP tumpe nch mabeho
@JideeboeMboma
@JideeboeMboma 4 дня назад
Mabeyo mtu nanusu afu kichwa 😊
@KitoTitus
@KitoTitus 22 дня назад
Unacheka mazuri
@mamahustru
@mamahustru Месяц назад
Huyu baba ndo alihakikisha Samia akawa RAISI. Sasa ilikuwaje Samia akamtoa, sijaelewa kwanini mpaka leo.
@MustymediaTv
@MustymediaTv 29 дней назад
Aliomba yeye mwenyewe kustaafu sababu mda wake uliisha wa utumishi wa jeshi
@mamahustru
@mamahustru 29 дней назад
@@MustymediaTv Asante. Maana nilishangaaga sana sababu najua huyu baba, ndo alikomaa katiba ifuatwe na Samia aapishwe. Wengi ndani ya chama walipinga sana ila alikomaa.
@RashidiMsofe-u4y
@RashidiMsofe-u4y 15 часов назад
R.i.p John pombe magufuli😭😭😭
@MaikoMamboleo-qt9df
@MaikoMamboleo-qt9df 5 месяцев назад
Safi sana
@mwabimulungamulungamwabi7201
@mwabimulungamulungamwabi7201 3 месяца назад
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 Месяц назад
Ndio sababu rais mpya anateuwa wasimamizi wake wapya ana hiari kubaki na wal3 au kutueuwa wengn Kwan wwe tangu afe magufuli umewah kumuona yule alokuwa akikaa nyuma ya magufuli yule mlinzi wake si mama Samia kateuwa wake yy anayemhitaj
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa Месяц назад
Baba pole sana hulipoteza mtuwamahana sana Rais wenu najuwa hulistafu kufatana nayeye kuhanga Dunia
@JideeboeMboma
@JideeboeMboma 4 дня назад
Ana cheka tyuu yeye so vizur kiongoz kuche afu nikamamda mstafu daah iinch
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 5 месяцев назад
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 5 месяцев назад
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
@user-qc2qf7fe5o
@user-qc2qf7fe5o 28 дней назад
Mungu mrehemu mpendwa wetu
@EmmanuelJohn-eg9rg
@EmmanuelJohn-eg9rg 4 месяца назад
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 5 месяцев назад
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
@NoshikaMateru
@NoshikaMateru 3 дня назад
Huyu mzee anaongea vitu vigumu ktk lugha nyepesi inaonekana kama nchi tulikua na wakat mgumu kwl sema mwamba akatupitisha salama
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 4 месяца назад
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa Месяц назад
Hawa wakina kikwete joo waliyo muhuwa Makufuli pamoja na mchezi wa chadema uyo wenu Tundu Lissu.
@PendoMwitewe-on3hj
@PendoMwitewe-on3hj 5 месяцев назад
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
@MuhammedSoud-n9u
@MuhammedSoud-n9u Месяц назад
Huyu jamaa anakili sana
@TengoElias
@TengoElias 12 дней назад
❤❤❤amina
@ObediKinkusha-gq8fw
@ObediKinkusha-gq8fw 5 месяцев назад
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?
@user-ct2nx1pb8f
@user-ct2nx1pb8f Месяц назад
Samia yeye hakuwa❤
@ConradMbokosi
@ConradMbokosi 5 месяцев назад
Asante
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 5 месяцев назад
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
@temiluyangi6343
@temiluyangi6343 26 дней назад
Tumekumis magufuli tunakuombea mungu akupokee
@SamirSaid-ew4mm
@SamirSaid-ew4mm 14 дней назад
Engilishi kiswahil
@shadymsigwa
@shadymsigwa 5 месяцев назад
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
@user-ne7cl4cx9o
@user-ne7cl4cx9o 5 месяцев назад
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
@marianmartin7483
@marianmartin7483 5 месяцев назад
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
@KevinSasati
@KevinSasati 22 дня назад
Ni kiongozi wa pili afrika
@temiluyangi6343
@temiluyangi6343 26 дней назад
Pumzika kwa aman magufuli
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 2 месяца назад
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 5 месяцев назад
Tunaumia sana
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 5 месяцев назад
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
@DaniKadaga
@DaniKadaga 4 месяца назад
Goody xong
@UkomboziInchi
@UkomboziInchi 18 часов назад
Muheshimiwa uko mutulivu kabisa
@user-yg9fh9sj1w
@user-yg9fh9sj1w 3 месяца назад
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
@JideeboeMboma
@JideeboeMboma 4 дня назад
Tatizo kubwa kuchk tyu
@HussenMashaka-os9ok
@HussenMashaka-os9ok 4 месяца назад
Nikweli Tanzania inashirikiana.
@fanueledmund6408
@fanueledmund6408 5 месяцев назад
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
@OmaryHamisi-fz7hq
@OmaryHamisi-fz7hq 2 месяца назад
😢😢😢
@OmaryHamisi-fz7hq
@OmaryHamisi-fz7hq 2 месяца назад
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
@omuze1290
@omuze1290 5 месяцев назад
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
@StanMakambi
@StanMakambi Месяц назад
Uyu mwamba kanyooka
@ErnestMeshack
@ErnestMeshack 2 месяца назад
. . No❤
@user-po5mm5vk6d
@user-po5mm5vk6d 5 месяцев назад
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 5 месяцев назад
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
@user-hd7zx9ns7q
@user-hd7zx9ns7q 3 месяца назад
Ukitaka kujiunga unafanyaje
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa Месяц назад
Kweli milipoteza kambisa jembe kweli kweli
@mapesaevarist9094
@mapesaevarist9094 5 месяцев назад
Huyu mwamba alinyoosha 😂
@esterlogose
@esterlogose 3 месяца назад
Hana lolote ni msakiti
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 5 месяцев назад
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 месяцев назад
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 4 месяца назад
😂hela
@abeidsanga7361
@abeidsanga7361 Месяц назад
Apewe
@SiriOmari
@SiriOmari 5 месяцев назад
😭😭😭
@NeemaIssah
@NeemaIssah 9 дней назад
Mbona hatukuambiwa haya toka kipindi kile?sasa hivi historia hiyo tuelezwe baadayamiaka mitatu,aaaii!
@livematchcentre21
@livematchcentre21 5 месяцев назад
Moyo wa kizarendo
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 5 месяцев назад
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
@muhidinishauri3514
@muhidinishauri3514 25 дней назад
Hicho kicheko tu !!
@isalamKhasan
@isalamKhasan Месяц назад
😂tuna kukunbuka sana
@JosephKowelo
@JosephKowelo 4 месяца назад
Natak kuchat na pendo
@RashidiMsofe-u4y
@RashidiMsofe-u4y 15 часов назад
R.i.p John pombe magufuli😭😭😭
@AnnaKipetha
@AnnaKipetha 3 месяца назад
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.
Далее
Музыкальные пародии
00:28
Просмотров 22 тыс.
12 notable speeches from Day 4 of the DNC
1:40:07
Просмотров 431 тыс.