Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango. Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi
Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa
Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.
Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa
Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.
@@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy
don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa
Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!
Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.