Nevi Nzowa ambaye ni Mwanafunzi wa Shahada ya Sayansi katika Hisabati na Takwimu kutoka Ndaki ya Sayansi Asilia na Hisabati kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) aliyeongoza kwa ufaulu baada ya kupata GPA ya 4.5 na kuwa mwanafunzi aliyefaulu zaidi akisimulia maisha yake tangu afike chuoni hapo na mara baada ya kumaliza masomo yake ambapo alikuwa akifanya biashara ya kununua karanga vijijini na kuuza mjini Mbeya.
Nzolwa amehitimu Mafunzo yake Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) leo Alhamisi, Novemba 30, 2023 kwenye mahafali yaliyofanyika jijini Dodoma.
6 окт 2024