Тёмный

Waliotunukiwa PHD UDOM walivyoshindana kucheza wakipewa udokta. 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Tazama namna ambavyo wahitimu mbalimbali wa Udokta wa Filosofia (PHD) walivyokuwa wakishindana wakati wakitunukiwa PHD zao za Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM leo Alhamisi Desemba Mosi, 2022 jijini Dodoma.

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@claudiajames2003
@claudiajames2003 11 месяцев назад
May my kids reach this stage❤
@gloriamsaki9109
@gloriamsaki9109 Год назад
Hongera Sana ndugu zangu.Tuombeane na sisi tufike huko
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Hongereni sana sio kazi rahisi.
@julianaboniphace7351
@julianaboniphace7351 Год назад
Ipo cku nami ntatunukiwa
@leonidaskwigize1853
@leonidaskwigize1853 Год назад
Hongereni Sana kwa kuwekeza katika Elimu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Год назад
Ongereni jamani 👏👏👏👏👏👏🙏🙏
@ip_header
@ip_header Год назад
Elimu yetu ipo zaidi kwenye makaratasi kuliko kubadilisha mazingira, nguvu kubwa ipo kwenye kupata vyeti
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 Год назад
Hadi raha😍i wishnifike hapa
@munyandindajeanbosco8399
@munyandindajeanbosco8399 Год назад
Morning My dear give me information to Dodoma university finished university in Rwanda country tell
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs Год назад
👏👏👏👏
@kibwetere1418
@kibwetere1418 Год назад
Siku hizi mwenye PHD na darasa la 7 uwezo wa kufikiri wanafanana
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Год назад
Acha dhalau ndugu....Hiyo ni elimu sio kwapa hadi mlemavu analo
@ptElimu1234
@ptElimu1234 Год назад
Nadhani una mtindio wa ubongo sio bure
@AziziHassan-ci7qw
@AziziHassan-ci7qw 10 месяцев назад
😂😂watafuta maneno
@josephatmathiasgalagalabuh786
ni PhD na sio PHD
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Год назад
Kuna raha yake jamani....Sio wapinga kristo wa PhD za michongo
@piusphilip307
@piusphilip307 Год назад
PhD kibao nchi haina maji, ajira hapa, umeme kizungu mkuti, njaa ndo haisemeki. Wanaolisaidia taifa kutoa ajira ni sekta binafsi,wengi wao hawana hata certificate. Hivi hii hali inakuwaje.!!?
@senziashwaibu3219
@senziashwaibu3219 10 месяцев назад
Umefanya utafiti ukajua zipo nyingi?
@tunkuh661
@tunkuh661 Год назад
PhD✅
@electronicteaching1134
@electronicteaching1134 Год назад
Mbona huna wewe hata hivyo vyeti?
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 Год назад
Elimu ya cheti tu ukimwambia tengeneza kiberiti ajuwi
@yustinasaqwaret9279
@yustinasaqwaret9279 Год назад
Watu mna makasiriko cku izi,fata maisha Yako na mambo Yako mwache mwenzio ,mmejawa na maneno maneno....
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Год назад
Inategemea alisomea Nini.
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Год назад
Kwani hapo umesikia kuna Dr wa veta? Anza kufikiri ndugu sio udaku huu ni elimu kima mkubwa
Далее
Mwanafunzi UDOM atetea PhD kwa Zoom Meeting
5:30
Просмотров 10 тыс.
НЮША УСПОКОИЛА КОТЯТ#cat
00:43
Просмотров 1,1 млн
Othman: Patachimbika uchaguzi mkuu 2025
8:44
Просмотров 13 тыс.