Tazama namna ambavyo wahitimu mbalimbali wa Udokta wa Filosofia (PHD) walivyokuwa wakishindana wakati wakitunukiwa PHD zao za Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM leo Alhamisi Desemba Mosi, 2022 jijini Dodoma.
PhD kibao nchi haina maji, ajira hapa, umeme kizungu mkuti, njaa ndo haisemeki. Wanaolisaidia taifa kutoa ajira ni sekta binafsi,wengi wao hawana hata certificate. Hivi hii hali inakuwaje.!!?