RIPOTI MPYA ya KIFO cha NUSURA wa UDOM, MAMBO 13 MAZITO, HAKI za BINADAMU WAMALIZA UTATA...
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania, leo Juni 2, 2023 imetoa taarifa juu ya Matokeo ya uchunguzi wa kifo cha Nusura Hassan Abdallah aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Ripoti hiyo inasomeka kama ifuatavyo; Mtakumbuka kuwa tarehe 10 Mei, 2023, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) ilitoa taarifa kwa Umma kupitia vyombo vya habari ikielezea nia yake ya kufanya uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Marehemu Nusura Hassan Abdallah, ambacho chanzo chake kilizua mkanganyiko, ambapo baadhi ya watu walikihusisha na ajali ya gari iliyomhusu Mhe.
Dkt. Festo John Dugange (Mb), Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - OR, TAMISEMI (Afya).
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa, THBUB imekamilisha uchunguzi...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
7 окт 2024