Тёмный

"SINA MANENO MAPYA YA KUSEMA, KIFO KIMEUMBWA NA MUNGU" - MSTAAFU KIKWETE KWENYE MSIBA WA LOWASSA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Месяц назад
Ulimfanyia Lowassa Ushetani sana na Huna Aibu hata Kujitokeza na Kuongea Unafiki.
@MUJASIAPOLLOBUYELA
@MUJASIAPOLLOBUYELA 8 месяцев назад
Polen saana hiyo familia😢😢😢
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 8 месяцев назад
Hukulipa deni la ahadi kwa rafiki yako Edward ngoyai . Ulimkosea sana Edward hapa duniani.
@badruyahaya5337
@badruyahaya5337 8 месяцев назад
Yan mtu apewe nchi kwa ajili ya kulipa deni
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 8 месяцев назад
Alimkosea nini msimuhukumu alijua siri kubwa waliijuwa wawili.
@hassansimba7276
@hassansimba7276 8 месяцев назад
Tanzania kwanza urafiki pembeni
@hassansimba7276
@hassansimba7276 8 месяцев назад
Ndio alimsaliti amkaleta Jiwe
@joellipunge729
@joellipunge729 Месяц назад
Na Hilo jiwe lilimtokea puani​@@hassansimba7276
@brother_majesty
@brother_majesty 8 месяцев назад
We dont know the real truth ..lkn ni km ulikuwa mnafiki
@LigeliusFrolian
@LigeliusFrolian 8 месяцев назад
Polen sana
@hassansimba7276
@hassansimba7276 8 месяцев назад
Ooh mnafiki .msaliti inasaidia nini sasa kipindi cha msiba Yale mambo ya kisiasa yalishapita mkamilifu ni MwenyeziMungu pekee
@KhamisUssi-y7z
@KhamisUssi-y7z 8 месяцев назад
Jaman watu wapo kwenye majoz msifanye hivo
@saidhamza5318
@saidhamza5318 8 месяцев назад
Alichofanya kikwete 2015 ni sawa na alichofanya Nyerere 1995 ..ni kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa . Km wew ni mfuatiliaji wa siasa za bongo utanielewa tu.👀
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 8 месяцев назад
Ni mtazamo pengine ucyo na ukweli wowote
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 8 месяцев назад
Yes yes
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 8 месяцев назад
As the time goes by,naona mh mstafu kikwete anapoteza ushawishi kwa watanzania kwa kasi sana,sioni makosa ya mh kikwete,tusimsononeshe rais mstaafu ana upendo mkubwa na bila shaka hana baya alilofanya kwa yoyote.
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 8 месяцев назад
Hakika ndugu umenena vema mh kikwete ni mstaafu wa kuigwa
@MsAggie5
@MsAggie5 8 месяцев назад
​@@mmassyferguson4959weeeeeee 🏃🏃🏃🏃
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 8 месяцев назад
Ndio kabisa kazi alifanya
@hamisikaberege2759
@hamisikaberege2759 8 месяцев назад
Kabisa Kikwete alifanya kitu kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Na kimsingi ana upendo mkubwa tuache kumfanya Rais wetu mstaafu ajione au kujisikia vibaya.
Далее
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Просмотров 76 млн