Тёмный

Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake 

Mwananchi Digital
Подписаться 981 тыс.
Просмотров 572 тыс.
50% 1

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Опубликовано:

 

19 мар 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 305   
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 8 месяцев назад
Anayeangalia hizi clip za JPM mpaka leo tujuane kwa like.
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 4 месяца назад
MAGU Wee 🙏🙏
@victorkamau5716
@victorkamau5716 4 месяца назад
𝑵𝒌𝒐 𝒂𝒑𝒂 𝒇𝒓𝒐𝒎 𝒌𝒆𝒏𝒚𝒂
@abdallahsidudu3438
@abdallahsidudu3438 Год назад
Nawapenda wote mnaempenda maguful
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 6 месяцев назад
Kabisa
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 месяцев назад
Nami nakupenda pia
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 месяца назад
Nami nakupenda pia ❤
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 4 месяца назад
@@halimamasai2234 Asante kwa kunipenda
@saidrashid5972
@saidrashid5972 Год назад
Kama kuna chuo cha Uongozi na utumishi bora basi Magufuli ni best institute of leadership
@samwelmushi6162
@samwelmushi6162 Год назад
Chadema na ccm wote wale wale wanasiasa lkn huyu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali jpm tutakumumbuka baba
@msafirimwambela8887
@msafirimwambela8887 Год назад
Mungu tupe rais Tena kama huyu,
@saimonjoseph4663
@saimonjoseph4663 Год назад
Hawez tokea
@user-rw5uw9jq5b
@user-rw5uw9jq5b 6 месяцев назад
Baada ya miaka mia 7
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 месяцев назад
Inshaallah
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 месяцев назад
​@@saimonjoseph4663kwa nini
@David-if6nk
@David-if6nk 5 месяцев назад
Labda makonda
@chubakamirindijean-pierre5261
Kiongozi wa Afrika tofauti kabisa, ulikuwa mutu wa maana sana, hatutakusahau kamwe, kutoka Bukavu Congo ,drc 🇨🇩😭😭😭😭.
@KuntukumuSadam
@KuntukumuSadam Год назад
Moja ya watu muhimu kuwahi kutokea 😢😢😢😢😢
@getrudecharles8689
@getrudecharles8689 11 месяцев назад
Hakika,
@funnymoments5393
@funnymoments5393 3 года назад
Alikua kiongozi asiye yumbishwa, hapendi mzaa kwenye issue serious, utadumu daima Shujaa wetu, umeacha alama 😭😭
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Daa kaka nakukumbuka kwa ujasiri wako kaka
@denissiedisoni-lk7xm
@denissiedisoni-lk7xm Год назад
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@allymwadi2815
@allymwadi2815 Год назад
Ulale salamaa mzee wetuuu
@flightclubtanzania1638
@flightclubtanzania1638 3 года назад
Nenda kwa Aman Mwamba wetu
@ferdinandshisanya7216
@ferdinandshisanya7216 Год назад
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 3 года назад
Man of the people
@simonjongoja
@simonjongoja Год назад
Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...
@saidndimbo2738
@saidndimbo2738 Год назад
A true leader of Africa, Rest in peace
@user-rt7rl6ki1r
@user-rt7rl6ki1r 5 месяцев назад
GOOD
@husseinnkuna6401
@husseinnkuna6401 Год назад
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 5 месяцев назад
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@tajiriadamu41
@tajiriadamu41 Год назад
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@faza4023
@faza4023 Год назад
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182
@yohanaamon5182 Год назад
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@samidohsam-fj1lo
@samidohsam-fj1lo Год назад
He was a man a man with mercy wisdom
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira Год назад
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 6 месяцев назад
Kabisa
@mwingadulle7400
@mwingadulle7400 5 месяцев назад
Mnoooo
@Abneruwezaeliyaad2
@Abneruwezaeliyaad2 11 месяцев назад
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@thomaskubini8116
@thomaskubini8116 Год назад
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Год назад
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@faizatmfaume9051
@faizatmfaume9051 Год назад
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 Год назад
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Год назад
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023
@faza4023 Год назад
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Год назад
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Год назад
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Год назад
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@testarguy8609
@testarguy8609 Год назад
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Год назад
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад
Tumempata mwabukusi
@omaryramadhani290
@omaryramadhani290 Год назад
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518
@christophermontelo2518 Год назад
Una uhakika gani?
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 Год назад
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880
@magrethcolestine2880 Год назад
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Год назад
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Год назад
Kweli KABISA
@maryamjumah
@maryamjumah Год назад
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013
@Mobmob2013 Год назад
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283
@jnote9283 Год назад
Hujui kitu
@n_onlinetv91
@n_onlinetv91 Год назад
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge2250
@faustinamahenge2250 9 месяцев назад
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@HamisiDalali
@HamisiDalali 6 дней назад
Baba mungu akuweke maharishi pema peponi mzee pumzika kwa amani Amina
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Год назад
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123
@husseinbakari123 Год назад
Really
@doricemitanto7481
@doricemitanto7481 Год назад
KABISA .😭
@malcomg1004
@malcomg1004 5 месяцев назад
Hakika
@johanesbagenzi2486
@johanesbagenzi2486 10 месяцев назад
Mungu akupe uzima wa milele.
@dbarrik4108
@dbarrik4108 5 месяцев назад
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 Год назад
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@charlesmihayo1275
@charlesmihayo1275 Год назад
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@user-xs6sh5wh4p
@user-xs6sh5wh4p 3 дня назад
Dah nashindwa kuyazuia machozi yangu😢😢😢😢
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 Год назад
Rest in power Ngosha
@davismakundi1700
@davismakundi1700 Год назад
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@lukindombuleti8174
@lukindombuleti8174 Год назад
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 Год назад
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@lukandaomary6347
@lukandaomary6347 Год назад
Magufuli chuma chetu,,,dah
@raymondalfred8540
@raymondalfred8540 Год назад
We love you for ever 😥😥
@bennie7239
@bennie7239 Год назад
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Год назад
😂😂😂😂😂 umetisha
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Год назад
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023
@faza4023 Год назад
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai
@eriminahmshai Год назад
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@adelaudarutagwela5070
@adelaudarutagwela5070 Год назад
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@user-uu7mg3ff8l
@user-uu7mg3ff8l 6 месяцев назад
m.mungu akuekee mahar pema peponi
@godfreyndole4706
@godfreyndole4706 Год назад
Tutakukumbu sanaa😭
@leahsamson9354
@leahsamson9354 Год назад
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@casmirymusic
@casmirymusic Год назад
R.i.p baba
@zenajsalehe5341
@zenajsalehe5341 5 месяцев назад
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@mwananjesafari2547
@mwananjesafari2547 Год назад
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Год назад
Never
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 Год назад
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@jeremiamuro7670
@jeremiamuro7670 Год назад
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Год назад
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527
@swaggzhighlights527 Год назад
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@ElishaDaBestPrince
@ElishaDaBestPrince 4 месяца назад
We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-mx7ur9hf9q
@user-mx7ur9hf9q 6 месяцев назад
A true legend
@karibubongo-tv636
@karibubongo-tv636 Год назад
Exactly
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 Год назад
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@VenanceEphraim-hr2cc
@VenanceEphraim-hr2cc 6 месяцев назад
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 4 месяца назад
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@mr.qareembrown4473
@mr.qareembrown4473 Год назад
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
@pilisonje8944
@pilisonje8944 Год назад
Jembe
@mudymudy6410
@mudymudy6410 Год назад
Mwamba huyoo
@boazjohn558
@boazjohn558 Год назад
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@JacksonProsper
@JacksonProsper 8 дней назад
Tutakukumbuka sana kamanda
@ms123ru
@ms123ru Год назад
Daah mzee anatuliza wengii sanaa
@AzizSultan-fc7rn
@AzizSultan-fc7rn 14 дней назад
Nani twend ssw 2024
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 5 дней назад
Jpm alikuwa akihutubia taifa lina tulia kwanza mpaka vindege vinaacha kupiga kelele
@nollyboy8438
@nollyboy8438 Год назад
He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM
@chidodoozkid1122
@chidodoozkid1122 Год назад
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg1004
@malcomg1004 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisimzungu6823
@hamisimzungu6823 Год назад
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@user-rl3ou5rg4p
@user-rl3ou5rg4p 4 месяца назад
2024 nafatilia❤
@MsigalaAman-qb7vu
@MsigalaAman-qb7vu Год назад
Mungu yupo pamoja nawew
@maulidibrahim9665
@maulidibrahim9665 5 месяцев назад
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@yusuphmarcelmasinde7263
@yusuphmarcelmasinde7263 5 месяцев назад
Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.
@danielgerevas3837
@danielgerevas3837 Год назад
Da mungu akutangulie
@nestoryhaule6600
@nestoryhaule6600 Год назад
Naipenda sana hiyo!
@burundibujumbura2078
@burundibujumbura2078 Год назад
RIP BABA!
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 Год назад
😭😭💚💛🖤💙🇹🇿
@georgemtipa6424
@georgemtipa6424 Год назад
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Год назад
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@BonfaceKiage
@BonfaceKiage 8 месяцев назад
GOD Bless u
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Год назад
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@ablackkinyaga-nq1mc
@ablackkinyaga-nq1mc Год назад
Marioo
@EmanuelMalkiadi-qt5ye
@EmanuelMalkiadi-qt5ye Месяц назад
Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢
@mgazaabeid5873
@mgazaabeid5873 9 месяцев назад
Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 6 месяцев назад
Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.
@evanstum5032
@evanstum5032 11 месяцев назад
Rest in peace legend
@josephatalphonce4474
@josephatalphonce4474 4 месяца назад
Still my beloved president until now
@eliudjamess4231
@eliudjamess4231 Год назад
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 Год назад
Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes
@josephigogomsemakweli8711
@josephigogomsemakweli8711 Год назад
Mungu akulaze mahala pema Amina
@Jomuka-yb9vv
@Jomuka-yb9vv 5 месяцев назад
Rest in PEACE DAD
@luischoma-ww7db
@luischoma-ww7db 5 месяцев назад
chuma
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 Год назад
Pumzika Kwa amani JPM one day tutampata mtu kawewe
@jeshimungiki5793
@jeshimungiki5793 4 месяца назад
RiP JpM😢😢😢
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 26 дней назад
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@michaelangelbert8352
@michaelangelbert8352 Год назад
Had leo nkimwangalia Rais Maguful naumia mno. Ataish moyon mwangu had leo
@timothalex3249
@timothalex3249 Год назад
RIP COMRADE..
@shabanimungazija7272
@shabanimungazija7272 Год назад
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
Далее
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57