toka siku niliyonunua kitabu chako kimenibadilisha sana na naamini nitafika mbali,na kimeniongezea hamasa ya kupenda kusoma vitabu vya inspiration na ujasiriamali .asante sana Shigogo!
Habar kaka Erick..naitwa Ismail Hussein nasoma St. Augustine university of Tanzania main cumpus Mwanza. Napenda sana speech zako ambazo kwa kiasi kikubwa zimenibadilisha mindset yangu...ila lengo la kukutumia ujumbe huu ni maombi ya kuja kufanya semina ya ujasiriamali katika chuo chetu ...na nimepata wazo hili baada ya chuo chetu kuanzisha club ya entrepreneurship na wewe ndo mtu sahihi ...mimi kama katibu wa club nimependa kukualika wewe kama role mode wangu uje utusaidie kututoa katika fikra za kufikiria kuajiriwa ...tafadhali kaka kama utaisoma text plz nijib kupitia ismailhussein150@gmail.com or 0768436289/0717815862
Taarifa kwa Wakazi wa Dar es salaam Kutakuwa na mkutano wa TREVO TANZANIA Ltd utakaofanyika katika Ofisi za trevo Moroco kwenye jengo lililoandikwa Baypot siku ya Jumamosi ijayo tarehe 05/03/2016 kuanzia saa tisa alasiri unaoelezea kuhusu wajasiliamali watakavyoweza kunufaika kwa kufanya biashara hii ya mtandao kwa kutumia trevo kwa kupata vipato vya wiki na vya mwezi na jinsi gani vipato hivyo vinaweza kuzidi milioni 10 kwa mwezi kwa mtaji mdogo tu wa TZS 466700 Kiingilio kwenye mkutano huo ni Jina na namba ya mdhamini wako ambaye utakayetumia namba yake ya udhamini wakati unajiunga na biashara hii WATAKAO HUDHURIA NI WHATSAPP 0714303409 ILI NIKUPE JINA LANGU NA NAMBA YA UDHAMINI Kwa habari zaidi kuhusu fursa hii ya TREVO pamoja na majibu ya maswali yanayoulizwa na watu kuhusu biashara hii ni whatsapp nikupe maelezo zaid 0714303409 MAFANIKIO NI HAKI YA WALE TUNWANAYOYATAFUTA KWA JASHO LAO KILA SIKU USIDANGANYIKE HAKUNA KIZURI CHA KUPEWA BUREE