Тёмный

Jinsi ya Kuondoa Hofu Kwenye Maisha Yako na Kufanikiwa - Eric Shigongo 

Hamasika Tv
Подписаться 39 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 68   
@mulendabenjamin4273
@mulendabenjamin4273 23 дня назад
Jambo kwa wote Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.
@user-tv8ub4fk5i
@user-tv8ub4fk5i 26 дней назад
Mh shigongo umeniamsha vizuri mno,kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana
@stanleynyakunga5926
@stanleynyakunga5926 8 минут назад
Somo limekaa vizuri mno
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 24 дня назад
Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele
@lucasisundwa2125
@lucasisundwa2125 21 день назад
Bravo 👏 👏 👏 👏 network with the right people 😊
@simonmachimu8992
@simonmachimu8992 3 дня назад
appreciate you my brother
@edithavalelian256
@edithavalelian256 28 дней назад
Asante sana kaka, najifunza mengi kupitia darasa lako
@KkijaMakula
@KkijaMakula 6 дней назад
I respect my brother, ni kweli unayoyasema yanatukuta wengi. But now I will study for you.
@HappynessRobert-j8z
@HappynessRobert-j8z 5 дней назад
Tuliolala muda wa kuamka ndo huu 🎉🎉🎉
@JACKLINEMAHENGE
@JACKLINEMAHENGE 17 дней назад
Huwa namfananisha Eric na tyler perry i think they have many things in common 🎉
@Zuwenamuhammedy
@Zuwenamuhammedy 8 дней назад
nashukuru sana naitoa hofu kwanzia sasa hiv
@user-sn8tq9vz8v
@user-sn8tq9vz8v 27 дней назад
Nashukuru sana,umenitiya moyo na kuniinuwa kimawazo zaidi
@JLXNINEJNINE
@JLXNINEJNINE 26 дней назад
❤ kweri waoga WOTE mateso
@noahjoshua2175
@noahjoshua2175 16 дней назад
Shigongo keep up brother
@travellergift6347
@travellergift6347 17 дней назад
Good
@user-gu7mw8zs6c
@user-gu7mw8zs6c 5 дней назад
Ahsant San
@Gomsrap
@Gomsrap 19 дней назад
GOMS was here 🧘🏽‍♂️🎧.
@stanleynyakunga5926
@stanleynyakunga5926 8 минут назад
Nashukuru sana kwa soko pls naomba namba yako
@MiriamSaid-z4x
@MiriamSaid-z4x 7 дней назад
Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana
@espoirmurwanashaka9982
@espoirmurwanashaka9982 День назад
Ukweli kabisa
@sedekiabilijite5516
@sedekiabilijite5516 11 дней назад
Leo nimekutana na hii imenijenga sana ,Mungu akubariki sana
@CharlesZuma
@CharlesZuma 29 дней назад
Ujumbe mzuri brother
@hamasikatv
@hamasikatv 29 дней назад
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@kalongatv3421
@kalongatv3421 24 дня назад
Thank you Mr Erick
@user-zn7sm1cc6p
@user-zn7sm1cc6p 23 дня назад
Amen Amen
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 27 дней назад
Ni kweli kabisa!!
@user-oc9cw5tr4l
@user-oc9cw5tr4l 27 дней назад
Nashukuru Muheshiwa ,nimesoma riwaya zako na leo nimejifunza kutoka kwako
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 28 дней назад
Asante 🙏
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 Месяц назад
Thanks
@sammwakalinga2705
@sammwakalinga2705 Месяц назад
Nimekwelewa sana mkuuuu🎉🎉
@ElizanaBahati
@ElizanaBahati 12 дней назад
Ahsante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kenethtv6932
@kenethtv6932 14 дней назад
Aise daaah maalifa aya baraa sana
@JumaAnastazia-ux9fc
@JumaAnastazia-ux9fc 10 дней назад
Amina
@HamzaSelemani-rt8jt
@HamzaSelemani-rt8jt Месяц назад
🙏🙏🙏
@seifally4457
@seifally4457 9 дней назад
Ujumbe mzurii
@WilliamStanley-m9x
@WilliamStanley-m9x 28 дней назад
This is true 🎉🎉
@rosemarymwakisalu
@rosemarymwakisalu 28 дней назад
Ahsante sana mh.nimejifunza kitu kikubwa sana kwako
@FATMA06-oz3zs
@FATMA06-oz3zs Месяц назад
🙏🙏
@user-cu6tp2bh7b
@user-cu6tp2bh7b 13 дней назад
Punguzeni kizungu maana watanzania tunao kufuatilia ni wengi ila tuapitwa na maneno ya kizungu
@chrisedward3797
@chrisedward3797 18 дней назад
@winfredndanu-uc6em
@winfredndanu-uc6em 14 дней назад
That's true bro
@user-rx7te2px5d
@user-rx7te2px5d Месяц назад
Kweli kabisa
@bilid4128
@bilid4128 26 дней назад
😂😂😂 hapo kwenye Umbea umepiga kwenye Mshono...kuna watu wanapenda umbea
@izzylyrics2240
@izzylyrics2240 24 дня назад
Thanks for sharing
@hamasikatv
@hamasikatv 23 дня назад
Thanks for watching!
@NaftaliObeid-sw9me
@NaftaliObeid-sw9me 24 дня назад
😊
@ThadeiAbel-rv8ts
@ThadeiAbel-rv8ts 29 дней назад
Kaka umekuwa muelimishaji mzr sana kwa jamii thanks 🙏🙏🙏
@hamasikatv
@hamasikatv 29 дней назад
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@QUEENJoseph-kh6cb
@QUEENJoseph-kh6cb 26 дней назад
Kweli baba
@richkaja3317
@richkaja3317 17 дней назад
Punguza kingereza mkuu acha kabisa sie wabogo tunapenda kiswahili
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 17 дней назад
Hakuna msomi wanaoitwa msomi wakiswahili hakuna hio mjomba huo ni msomi subir amalize yy ndo ww uje nalugha yako
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt Месяц назад
Nikweli
@OsmondMtatifikolo
@OsmondMtatifikolo 19 дней назад
🤔🤔
@EmmanuelMushi-j1i
@EmmanuelMushi-j1i 25 дней назад
Shigongo I want to met you
@mofatunes1432
@mofatunes1432 7 дней назад
Nilikuwa naanza kukata tamaa kwenye biashara yangu ya Forex kwa sababu ya hofu ila hii video imenirudishia tabasamu nimeelewa sasa....Ubarikiwe sana Father Shigongo
@Tadeo-s4h
@Tadeo-s4h Месяц назад
Uhakika kaka mkubwa
@JumaAnastazia-ux9fc
@JumaAnastazia-ux9fc 10 дней назад
Nafukizahofu mutumishi
@user-xx9hh4pr9z
@user-xx9hh4pr9z 21 день назад
Kuanzia Leo nitakusikiliza ,kaka Bado nipo dalasani
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 26 дней назад
Baba tafadhali naweza kkuona ukanisaidia tafadhali?
@kajico2023
@kajico2023 26 дней назад
Ndio.lafiki
@DavidNdosa-mj4ei
@DavidNdosa-mj4ei 25 дней назад
Punguza kingereza wengine niwaswail kaka
@OdhiamboLazaro-y8o
@OdhiamboLazaro-y8o 13 дней назад
Now you are becoming a preacher,y don't you open your church.
@hasanidadi5791
@hasanidadi5791 27 дней назад
Ongea kiswahili unaongea na watanzania uzungu mwingi
@lucasmartin431
@lucasmartin431 27 дней назад
Anaongea na aliyekuwa anaongea nao....Wamefanya kurekodi tu Brother. Wewe haukuwa mrengwa
@mariamsaidi8039
@mariamsaidi8039 29 дней назад
Nimekuwa nikukufuatilia tang nina miaka7 enzi za sani na kiwi ila sasa nashindwa namna ya kupata makala zako
@SteveAvelinBuretter
@SteveAvelinBuretter Месяц назад
🙏🙏🙏
@VeronicaMatandu
@VeronicaMatandu 25 дней назад
🙏
@Erick_john
@Erick_john 28 дней назад
Thanks
Далее
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Просмотров 64 тыс.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
#kikakim
00:31
Просмотров 11 млн
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
NJIA ZA KUJITOFAUTISHA - JOEL NANAUKA
8:42
Просмотров 9 тыс.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Просмотров 117 тыс.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16