Mademu kibao huku mtaani hawatumii skin care kama yeye, hawalali na kula diet nzuri kama yeye na niwakali vibaya, yeye wakaida tu, kinacho muongezea hadhi n Pesa maana inampendezesha lakini kwa uzuri n kawaida tu... Kuna wasichana mtaani huku wakali wakiekwa na huyo mnamtema huyo...
🎉🎉🎉🎉ukweli kabisa jmn duh uso wenyew unamakorongo ata posh queen ni mzur kuliko yey apo ujamueka Katarina wa karatu tuje kwa shilole tuje kwa jenipha na mke mwenzake tima uwiiii mbwa huyo
No, she's isn't all about knowing her value but rather she's speaking things through medias just to draw attention from the public. She's for clout, just fame focused lady and nothing more.