Mama mia ndio mana wanawake kama hao hawawezi kukaa na mwanaume muda mrefu ,akivua nywele kwenye upande wa mahaba kama alipendewa nywele na kucha ,ndio nimeelewa mahusiano hayadumu kwa sababu ya ujinga kama huu huku ulaya ataishia kudanga mbele.,apate mwanaume anayependa huo ujinga kuna wakati vichwa vinanuka madawa mpaka vinatoa mzuka...😂😂ujinga
Niliosoma comments nyingi naona mnamkandamiza dada wa watu.iko hivi kila mtu hajalishi wa kike au kiume kwenye mahusiano yoyote atavaa kiatu kutokana na size ya mguu wake. Kama wewe n mwanaume mwenye kipato cha chini dont expect utakuja ku-date na mtu kama huyu mdada, wolper, Zuchu n.k high value women its better utafute kiatu chako kinacho kukutosha coz utakuja kuumia na usiseme n malaya au wanapenda pesa. Tafuta size ya kiatu chako kwa wale men wanaongea upuuzi juu ya hawa wanawake
😂😂😂hayo mataya ndo unajiona malaika😂😂una mataya km bundi😂😂😂uzuri hana picha za iPhone sizikudanganye😂😂....sishkiki utashikika tu😂😂afew moments later unaolewa na mganga wa kienyeji half siri siri 😂😂😂