Fikiria kurudiana yamoto band,it was such a good music group.you boys separated at the time your music hit the market but you didnt know.come together young men , the 4 of you
Watanzia kwa kweli hamtowahi pata msanii kama Diamond Platnumz...! Kwa kweli wengi wenu mnamchukia ila yuwapeleka bendera yenu mbali sana! Akifa kama leo ndio mtajua dhamani yake wallah mob love frm Kenya. Big up Mbosso
Baruan Muhuza hii ndio interview ya kwanza yenye substance baruan hiyo kiti umetosha sana very nuce Mbosso chapa kazi Much respect kutoka Canada North hollywood inavyo julikana
umejibu maswari vzr sana ira mm naiman ww hujafikia revo ya kuridwa bado hata urio wakta hapo wananyimbo kari zaid yako tena mara mbiri rakini bado hawajafikia hyo revo ya kuridwa acha kudagaya raia na ss tunazichaga kichwani . utafikia tu hiyo revo ira kwa sasa bado
@@piterndanamba6287 ujinga uhoo kwani wewe uhoni Kazi ya mbosso zote Ni Kali ile mbaya Kila ahina anaweza so Ngoma za kulia tuuu ,, mbosso mda mchache mafanikio kibaho,,, usije ukawaweka Tena wewe
Atoke Wasafi afate nini kwa Kiba wakati Kiba mwenyewe hajiwezi....ngoma zenyewe anatoa moja moja km chanjo ya kipindupindu na video zake hazina quality 🤣🤣
@@hkmeme5437 ndio humenuna kisa nimesema aya mchukue hukaibishwe mbele ya viongozi wenu wataka uko kushikwa shika mwili wote ndio raha yako angalia video zake mm sijamkubali hata kwa dawa ya mbuu
Nimekusudiaa jacket with wood kwakiswahiliii ni hiloo sweeta alilolivaaa ambalo vazi hiloo linavaliwa katika nchi za baridi tena wakati wa kuanguka babarafu auu kwalugha nyenginee ni snowing so ndio kwakwelii kwa jinsi lilivyoo huwezi kulivaa kwanchi za joto kama tanzania or EAST AFRICA NATUMAII UMENIELEWAA NI JACKET UPOOOOOO
ujinga mtupu hapo ulipo bado unasafari ya kimziki na kimaisha na maisha yanabadirika badae uje uyakumbuke hayo ata uyo anae ibeba wasaf Konde boy Hatuezi jua hapo badae anaweza akabadirika. na yey akajiita. cempu ya makonde mziki akawa na kundi rake.
Hata alikiba hawezi kuhamia wcb alafu kumbuka hakuna anayeijua kesho kwani hata kabla ya kuja wcb ulijua kama ungekuja wcb? Wewe upo kwa diamond na king yupo kwake
Sping season is cold wind still is a same thing it's okay to wearing that jumper iam stoking about dar ea salaam weather is to hot 45 degrees nop you can't wearing that jumper that's crazy that's nonsense showing off
Ww kubali kuitwa team kipusa huwezi kufananisha team kipusa na wcb mbona wcb iko up up up up up alikiba amfiki mbosso kabisa coz mbosso ushairi wake uko poa na utunzi pia uko poa bt kiba atabaki na utunzi wa kitoto 2
Uwe unatumia akil ya ziada kufikiria, amesema hawez kwenda kwa kiba sio kwamba kiba hana kaz nzur ila amesema haend coz alipo anapata anacho kihitaji. Wabongo bwanaaaa🙌🏻
@@chabadeus6475 kua akili kaka mkubwa ni kiba kivyovyote kutoka nyimbo mpaka marifa yani dai amfiki kiba kwa chochote ebu chunguza vizuri alafu hunipangie ligi
sasa kiba akutake wew bata ili iweje mbn mnaingilia bifu zisizo wahusu wew ropoka tu uyo mondi wenu akikwama mtamtafuta tu kiba maana kiba yupo tu kweny game