Mashabiki uchwara acheni uchoko kujifanya mara wakwanza mara wapili huo ni upuuzi nautoto ndani yake, Oi timu ya nzima mliocheza hili dude hakika nibalaa mi nalikubali sana naamini kama hili dubwasha wangecheza wazungu basi dunia nzima ingetikisika hii maana mpo moto sana hongera sana kwenu
❤❤❤❤❤❤❤❤ kazi nzuli sana clam🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mnajitaidi sana kutangaza nchi vizuli sana❤ katika upande wa movie video iko inaubola sauti iko vizuli ❤❤❤ kifupi kazi nzuli sana from Dublin 🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Clam vevo unajuwa sana Kaka Mimi ni kutoka kongo hata kama muliachana na ndugu zenu ba akina kicheche na bahilam nawegine ile wewe uko on top naomba liké zenu🎉
Kazi nzuri sana tunaomba muendelezo utoke kwa wakati tunasubir sana ukizingatia utamu unavyozidi kunoga na pia muongeze dakika asante sana mungu awabariki na awape afya njema mzidi kuleta vitu vizuriii zaidi👏👏👏
Aisee sio mchezo kwanza angalia idadi ya washiriki humo ndan katka uhusika maalumu kila mtu kaplay part yake kwa kiwango cha juuu sanaaa, kama picha flan flan hiv la tulkish
The way i love Clam😊 Thank you. For adding more minutes on the episodes. May God bless the work of your hands. I'm Kenyan who loves Tanzanian series and movies, big up!!!
HIYO SEHEM YA COMMENT HAPO JAMANI IMEWEKWA KWA AJILI YA KUANDIKA VITU VYA MSINGI TOENI MAWAZO MAONI clam AONGEZE NINI AU APUNGUZE NINI TOENI USHAURI SIO KUOMBA LIKES TU TOKA MMEANZA KUOMBA LIKE MMEPATA NINI?
Mh imaya kumekucha na radi kingine huyo mganga kawafelisha wenzake katengeneza dawa hadi imemdhuru yeye mwenyewe kisa kupenda sana kula mh kivumbi humu nadhani sehemu kutakuwa na moto usio kua na kifani maana sehemu hii ya 22 imekuja na mabadiriko makubwa sasa nikweli safari hii mmejiandaa ipasavyo💪💪💪💪💪💪💪💪💪🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰