Aliegundua kuwa mwakatobe amenyoa ndevu lkn ndo huyo huy aliebadilik na kuwa baba mdogo wa malkia lkn ndo huyo huyo baba ake mzazi aliegundua Hilo gonga like tuwe pamoja au ni mm tu
Imagine tangu nimefatilia movie za clam vevo big boss, mistake na na snake boy tangu mwanzo mpaka sasa hii sijawahi pata likes hata moja naomba japo likes kumi
Maoni yangu hii season two msiweke nyoka yule wa kudownload asiye na maajabu yoyote wekeni action za kutosha kama vile ngumi kwakuwa huyo ni nusu nyoka nusu mtu anaweza kupiga akiwa mtu, kung'ata kama vempaya kwakuwa anasumu ya nyoka aking'ata mtu anakufa, mambo ya vimbola (radi), kupigana mapanga, fimbo n.k film itachangamka na itakuwa na uhalisia kuliko kuvizia vizia nyoka za kudownload. Ona eti Clam kaja mbio mbio anahasira za kifo cha baba yake mala kageuka kuku huu ni ubunifu gani sasa!?. Waliomuua mama yake kikatili eti kawameza mwingine kajinyonga tu. Ilitakiwa pachimbike kisawa sawa mpaka mwakatobe kufa ingekuwa shughuli. Hapo sasa Clam akienda porini ageuke nyoka mala kameza watu kimya kimya... huo utakuwa ni utani mnapoteza ukubwa wa film HAYO NI MAONI yangu TU ❤
@@user-pw2sw1sk1b wewe unaona film inaeleweka?. Mala kageuzwa kuku kizembe zembe tu wakati baba yake kauliwa. Mala jambazi mkuu kashindwa kufanya maajabu kuku kaondoka kizembe tena bila hata kukimbia na hajamfata.... Hapo ndipo pamefanya film kuwa ya kitoto sana. Ingechangamka mpaka kwenye kipigo ingekuwa kubwa sana
@@hadijaramadhani4801 hujawahi kuwa director wala video editor kubali mengine yakupite. Kwani nyoka gani anasoma shule, anatembea kama mtu, anavaa nguo? Huyo nyoka ulimuona wapi?. Huyo ni nusu mtu nusu nyoka. Akiwa nusu mtu anaweza kupigana na akawang'ata watu kwa meno kama vempaya wakafa kwa sumu. Tanzania hatuna ujuzi wa kucheza na 3D animation ya kutengeneza nyoka za bandika. Hiyo nyoka wanayoitumia ni ya kudownload youtube tu. Haina matukio mengi zaidi ya kumeza na kutemvea. Usitegemee kuona nyoka kafanya maajabu makubwa humu ndani...
"SHADOWS". Nimependa ubunifu wote unaoendelea wa season two hasa kuwafanya wahusika kuwa vivuli(shadows) kama vile ClamVevo=kuku,Kakoso=Mwasi n.k Bravo!!
Kuridhika na ulichonacho ni Bora kuliko tamaa za furaha ya mafichoni kingine wanawake kuwen wawazi kwa wenzi wenu kama kitu hakipo sawa ongea na mwenzio na sio kukaa kmyaa ukimya sio dawa