Serikali ina wapigaji wengi sana kila siku wanajifany wanazungumzia amani kumbe wao wenyew nd wanaopinga iyo amani we ulion wap watu wasiojulikan wanalipwa mshahara na serikali si uhuni wa wazi kabisa.
Miaka yote Wah. Mawakili mlikuwa wapi??. Inapendeza sana kuona mpo na mnatetea haki za wananchi wazarendo. Nchi hii ni ya amani. Ee Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
Mtakatifu mtakatifu bwana mungu wamajeshi. Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako.upo wapi mungu wamajeshi mbona kipande chako cha tanganyika kimeingia dosari .niwewe mtakatifu mtakatifu tuondowe na laana hii waliyo laaniwa nawalaniwe. Utukufu upo kwako mtakatifu hayupo tena mwingine zaidi yako wewe mtakatifu
Soka na wote mliopotezwa tunawaombea Wazazi ndugu jamaa tunawaombea Mawakili tunawaombea Viongozi wa vyama mnaopaaza sauti zenu tunawaombea!!!! EE MUNGU TUONDOLEE WATAWALA WABAYA WADHALIMU
Eeee Mungu leta watetez wengi kama haw. Hadi machoz.Tumbo la wamama linuma jaman.Hawa Mawakili wetu wanajua uchungu wawazaz ndio maana.Mungu aendelee kuwakumbatia Mawakili woote wanaotetea haki za Watanzania.😊
Yaani watanzania inabidi tukatae huu ujinga kabisa.hatakama hatujaenda shule hatapicha inaonekana.Hutu Rais hafai kuwa Raisi watanzania.utawalawake hata haueleweki hata kidogo kaziyao kufanya ufisadi tuu.akisgirikiana namzee mstaaffu wa musoga yaani hao Inabidi wanyingwe kabisa. Wananchi wanapata shidda sababu yWatu wa2 au 3
Haki ya Hawa vijana ikishindikana nashauri hii kesi ipelekwe katika kahakama za Africa ama za kidunia. Uhuni huu haukubaliki katika ardhi hii tukufu ya Tanzania chini ya Rais wetu mpendwa SSH.
Magufuli aliwaingiza chaka iliawadhibiti wanaompinga kumbe alikuwa anapandikiza mbegu mbaya kwenye vyombo vyetu vya dola dhidi ya wananchi na wapinzani
UKIMFUATILIA VIZURI MIRAD AYO UTAGUNDUA KUWA HATA YEYE KUNA MAMBO YANAENDELEA YA KUWAKANDAMIZA WANANCHI...HAYAPENDI KABISA....THIS TIME INABIDI WANASHERIA WASIMAME KIDETE KUONDOA HUU UPUMBAVU WA HAWA WATU
Yani mtu anachukuliwa na police vyombo vya usalama kabisa harafu Watu wanaenda kuwatafuta huko police kisha police wanasema hawajui waliko HIVI HII NCHI KUMBE KILA RAIA AFAHAMU KUWA AMETEKWA YUPO CHINI YA POLICE NA HAWAJUI ALIKO😊 SIKU HIZI MIMI HATA NIKIDHULUMIWA SIWEZI KWENDA KITUO CHA POLICE MAANA NITAKUWA NIMEJIPELEKA KWA MAJAMBAZI