1:48 mbona ni kadogo, ni utani, muyama huwa kuna watu wengi, watu wa taarifa yake tu vijiji 12 hawaenei humo kwa soko la jumamosi. Hapo ndipo serikali inafeli sasa badala ya kujenga kubwa kabisa walau litakalojaa baada ya miaka 25, wanajenga kisoko ambacho kitatosha robo ya watu malipo. Kabla hakijaanza kutumika kimeshajaa