Тёмный

MAKAMU WA RAIS MPANGO AKASIRIKA, 'SHUKA CHINI, ACHA KUNIPIGA MBWEMBWE HAPA, UNAJIONA UNATOSHA? 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 492 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 367   
@fredmakubo
@fredmakubo Год назад
Hongera sana Mheshimiwa makamo wa Rais Dr Philipo Mpango unafanya kazi nzuri
@henrychacha5592
@henrychacha5592 Год назад
Hii style ya Maghufuli naipenda sana!
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 Год назад
mmbb v
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Wameona hawatoboi
@emmanuelzwallo3933
@emmanuelzwallo3933 Год назад
Kabisa
@reubenlucumay1929
@reubenlucumay1929 5 месяцев назад
Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN
@barikimollel7890
@barikimollel7890 4 месяца назад
Umeona Eeeh
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Год назад
Bola uyu mpango ngekua rais tu kwasabbu na hofu ya mungu
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?
@MasudiSuleman-ui5wh
@MasudiSuleman-ui5wh 3 месяца назад
Mwehu ni mama yako samia cio mweh mshenz. Ww
@amonbwanakunu910
@amonbwanakunu910 Год назад
Hongera Sana Mheshimiwa Makamu wa Rais , Dr Philipo Mpango Kwa Kazi nzuri
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Год назад
Asante Baba Mungu akujalie katika kazi yako
@engribertinnocent7536
@engribertinnocent7536 Год назад
Daaha isee makamu wangu nimpole saana, namuonaga kama padreau askofu kabisa🙏🙏🙏
@appolonation
@appolonation Год назад
Hii style ya Kagame na Magufuli kbs!! 👏👏👏👏👏. Congratulations to Vice President!!
@mohameda.i.baranyikwa6551
@mohameda.i.baranyikwa6551 Год назад
hakika huyu anaweza anikumbusha baba Magu
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 3 месяца назад
Makamu wa raisi ,wazili mkuu mama samia kaupiga mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@davidchirimi2013
@davidchirimi2013 2 месяца назад
Binafsi Mh. Mpango namuelewa sana ni mpenda haki sema hawa wengine dharau nyingi janja janja nyingi haya sasa
@zephaniamwangu9857
@zephaniamwangu9857 Год назад
Safi sana mheshimiwa kazi nzuri sana ni papo kwa papo JPM bado yupo kazini!!
@nekaagripa3993
@nekaagripa3993 Год назад
Kwa mara ya kwanza namuona serious 😂😂
@allysanya8346
@allysanya8346 Год назад
Hali mbaya wanapumulia mipira
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz Год назад
Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu
@barakaayubu6126
@barakaayubu6126 Год назад
Uko sahihi Sana
@salarose5980
@salarose5980 Год назад
Makamu wa Rais mimi nakukubsli sana kuliko viongozi wote nskuamini sana mtu wa watu ila hili la bandari llinatuboa sana halijakaa vzuri fanya kitu ili tutoke hapo sisi wananchi wa chini tunaumia sana
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 Год назад
Mungu akubariki mzee wetu
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli Naomba mawaziri wote waende wakasikilize Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 Год назад
muache siasa bhana ccm mkipewa hata mpaka mwisho wa dunia maji hamuwezi
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Год назад
Viongozi wanajisahau sana wakipata nafasi za kuwasimamia wananch wanasahau kbs shida zetu
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Год назад
Tatizo kazi za kupeana ni mtt wa furani
@bakarimohamedi5814
@bakarimohamedi5814 Год назад
Hii safi sana ila isiishie hapo hao watendaji ni wa kufukuzwa tu na kufunguliwa mashtaka maana wanawaza upigaji tu na sio kuwahudumia wananchi
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Год назад
Huyu ndiyo kiongosi tunayetaka munguakubariki makamu waraisi kauli Kama hisi ndisosinayakiwa
@ellydaniely-qw8bf
@ellydaniely-qw8bf 3 месяца назад
Narudi cm jamani
@rashidwalwanda1991
@rashidwalwanda1991 Год назад
Kweli Watanzania mmetushinda kwa hili wakenya
@salimalharrasi3943
@salimalharrasi3943 Год назад
MNAANZA USANII WA WAKUDANGANYA WATU..
@ThuliMkhize-zu1mx
@ThuliMkhize-zu1mx Год назад
Makamo waRais mungu akubark endelea nakuchapakazi kwamfumo huo wa hayat magufuli
@nzingonism4345
@nzingonism4345 Год назад
Alakoze mtama wachu makamu wa rais
@abdulfatahhussein4087
@abdulfatahhussein4087 Год назад
Tunashkuru Dr Mpango👏🏽
@petercostakisoka
@petercostakisoka Год назад
Ndiyoo mkifanya ivo wakuwa na dispilini kazini kila mahali kama alivokuwepo rais magufuli
@mrbolt8194
@mrbolt8194 Год назад
hata nida kunashida watu wanatukwanwa vitambulisha kupata nishida
@user-os8yq4ps8k
@user-os8yq4ps8k 2 месяца назад
Hiyo style ya magufuli, ndo style ya kuongonza nchi bila ivo serikali, itaibiwa sana
@mrbolt8194
@mrbolt8194 Год назад
Tena tasafu wanazulum pesa zakaya maskini mitalo wamekula pasa zawatu diwani wakumnyika nimuhusika mkuu wautapeli
@abuuabdillahtv8457
@abuuabdillahtv8457 Год назад
Makamu wa rais umefanya vizur sana fanya kaz uo ndio mwenendo wa maghufur
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 Год назад
Mimi binafsi ndo natamani iwe hivyo kila siku
@SensaManzagata-tv7ds
@SensaManzagata-tv7ds 6 месяцев назад
Baba Philip mpango tunakuombea Kwa Mungu akujaze katika kazi yako ya kumsaidia mama
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Hili tatizo la kuhamisha Baadhi ya watendaji wanapo haribu Ndio kufeli kwa serikali nikama Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji Hii ibada imalizike inatosha
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Ahsanteni sana Kwa jitihada za pambano la maji
@GaudencioKivamba-xq3qc
@GaudencioKivamba-xq3qc 2 месяца назад
Mheshima makamu wa raisi hapo umetenda jambo jemaa viongozi wengi wamekuwa miungu watu wanataka kuabudiwa
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Год назад
Raisi Samia nchi imemshinda 😢😢 anawaza tu uchaguzi 2025😢😢😢
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
hamna kitu mule , kaishia form IV cheti chake F, F tupu.
@allykayanda6930
@allykayanda6930 Год назад
We nitaahira hata hao waliogonga like pia nimataahira wenzio
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri Год назад
Nchi haijamshinda ndio maana wasaidizi wake wanatembea nchi nzima kumsaidia na kufatilia miradi ambayo ni mama samia ndio anaepeleka mabilioni nchi nzima
@Mumewangu
@Mumewangu Год назад
@@whatisthetruth.8793 una uhakika ndugu?
@Mumewangu
@Mumewangu Год назад
@@allykayanda6930 kweli kabisa ndugu nashangaa sana
@godwinchigangwe8123
@godwinchigangwe8123 Год назад
WaTanzania wazuri tupo wengi hatuna kazi tupewe nafasi kuipigania Nchiyetu, , , , sio maneno yangu Mheshimiwa kathema
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri Год назад
Hamna kazi dp world hamuitaki mtapataje ajira
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj Год назад
WEWE MAKAMU WA RAISI HAKIKA NI MTUMISHI WA MUNGU, MUNGU AKUTUNZE. AMINA
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 Год назад
Safi sana leo nimeona angalau mfanye kama jpm papo kwa papo
@rehmakondo
@rehmakondo Год назад
Siasa izo my wanaona uchaguz unakaribia ndio wanajileta ila nasi tulivo mazuzu tutasahau tuliyotendewa ya nyuma
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 Год назад
@@rehmakondo wanatuzuga
@rehmakondo
@rehmakondo Год назад
@@Boniphaceshayo5 yani panapo uhai huo uchaguzi wataiba sanaaa,tumewachoka,me nafamilia yngu tumehama wote hatutaki hata kuiskia, yani huku mtaan tumeitapika ccm
@dennischarles3174
@dennischarles3174 Год назад
Well done vice president
@JosephatBahakaso-yn9hg
@JosephatBahakaso-yn9hg 4 месяца назад
Angalau Leo nimesikia sauti yako
@user-tf9id2nf2p
@user-tf9id2nf2p 4 месяца назад
Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako
@murandabrian
@murandabrian 3 месяца назад
next magufuli
@akasiraacalamon4034
@akasiraacalamon4034 Год назад
Dats ... Right appreciate DP mipango
@mihayo12simon31
@mihayo12simon31 11 месяцев назад
Good leader
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
I wish mnipe nafasi na mimi jmn nitende haswaaa. Ila mnipe meno khaaswaaa. Ukweli mtapenda
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 2 месяца назад
Njooni chalinze Dawasa pia huku nako ni shida vijana wanadharaù sana watumishi wa dawasa baadhi yao ni shida
@TALLUBOY
@TALLUBOY Год назад
MTOENI KAZINI UYO NI MJINGA ANAKULA PESA ZA BURE KABISA MJINGA UYU
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 Год назад
Kumbe mpango ni mkali nimekuelewa
@fredyshirima8594
@fredyshirima8594 Год назад
Kweli yajayo yanafurahisha yani watu hawana maji halafu wanaambiwa kasulu oyee na wao wanaitikia oyee......😪
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
unajua hawa ccm wanajua watanzania wengi bado wamo kwenye uzingizi mzito , kwa hiyo raisi hata akiwa ngedere wanamshangiria tuuu
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
Akili kichwani 2025
@user-kt9qg1mo6l
@user-kt9qg1mo6l 9 месяцев назад
😂😂😂 weee jamaa umenichekesha
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 Год назад
Asante Baba
@YohanaNkanda
@YohanaNkanda 2 месяца назад
Makam chapa kazi hapo kasulu
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 Год назад
Ahsante Mh. Makamu wa Rais, haya mambo ambayo lazima yaulizwe hadharani kuna uzembe mwingi unafanyika, Tanzania Tumebarikiwa, tunahitaji kuwajibishana kwa upendo kabisa kama hivi, bila kuonewa mtu.
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj Год назад
NI KWELI AWESO NI MCHAPA KAZI HANA TAMAA,NAMUOMBA RAISI AENDELEE KUPATA VIONGOZI WENGI KUTOKA MKOA WA TANGA.AMEN
@stellah3844
@stellah3844 Год назад
Kweli hata Ummy nimchapa kazi nampenda sana na Aweso japo mm stokei Tanga
@kolisonkolison3681
@kolisonkolison3681 Год назад
ACHANA NA HUO UKABILA UTAKUDHOOFISHA SANA....
@DanielSabuni-iw3ns
@DanielSabuni-iw3ns 3 месяца назад
Hata tanesco Kuna shida makam wa rais,cio tassaf tu
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Год назад
Kwakweli hongera mno mheshimiwa makamu wa rais,hii nchi inachezewa mno na wahuni wachache,watu wa hovyohovyo
@jjm4583
@jjm4583 Год назад
Bora mpango mpango awe rais
@simonntani7079
@simonntani7079 Год назад
Ccm watawanyonya,sana WATANZANIA,,Mbumbumbu.
@malandojames5151
@malandojames5151 Год назад
Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.
@aishajaphary
@aishajaphary Год назад
Tena mi hua nawaza kwanini siku moja tusije andamana sio buhongwa tu nenda nyasaka mahina hakuna maji
@alipandu3446
@alipandu3446 Год назад
Poleni lkn hilo tatizo la kukosekana kwa maji limeanza kipindi hichi cha mama au tokea Rais alopita
@aishajaphary
@aishajaphary Год назад
@@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote
@abdurahamansaid7259
@abdurahamansaid7259 8 месяцев назад
Tena nihatari sana kwa mwanza yetu ipo siku tutatoboa mpira mkubwa wa kwenda shinyanga
@abdurahamansaid7259
@abdurahamansaid7259 8 месяцев назад
Haiwezekani tabora wapate maji kutoka mwanza alafu sisi tunakosa maji
@kidphenomenal4131
@kidphenomenal4131 4 месяца назад
Hawajaona maji wanayotumia wananchi wa mpwapwa maji yanatoka tope kwenye bomba na yanasukumwa na idara ya maji
@enedictmchau1053
@enedictmchau1053 Год назад
Ombi Mh Makamu wa Rais uwajibikaji umeondoka kabisa ila Tanesco wanafanya vizuri.
@bahatitumaini347
@bahatitumaini347 Год назад
Tunduma songwe maji changamoto mbona hawapiti viongozi Kama hawa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Год назад
Ccm ni ilebile wapenzi zibueni masikio na ufahamu
@shabanikwabi9351
@shabanikwabi9351 Год назад
Mhe uko vzr sana viongozi wote wagefanya kama ww tugefika mbali sana Tanzania nakuombea afya njema
@mohammedmakoa2609
@mohammedmakoa2609 3 месяца назад
Huyu mama Alitutesa sana 2015 kipindi kili yuko Elimuni Alihisi vilio vyetuu havitofika Mbaalii kwiiiiishaaaa habar Yake
@user-mk8qm6fo4v
@user-mk8qm6fo4v 8 месяцев назад
Makuma hawa wote
@HisaniMsigwa-lc6zk
@HisaniMsigwa-lc6zk Год назад
Kuna vijana wazalendo watoto wa maskini wapo ,makamu toa hao
@thomasdavid3741
@thomasdavid3741 5 месяцев назад
Samia atawewe nimbaya sana kwanini usimshirikishi mahamu wa rais😢😢😢😢😢😢😢😢
@ellydaniely-qw8bf
@ellydaniely-qw8bf 3 месяца назад
Samiaaaaa oyeee!! Umeshinda uchaguzi Kwa akili nyingi sana
@DanielSabuni-iw3ns
@DanielSabuni-iw3ns 3 месяца назад
Mungu analipa apap dunian ndalichako chali
@sadikykiyago3030
@sadikykiyago3030 Год назад
Haya matatizo yapo kwenye Jimbo ra buhigwe munanira siku moja tuangizie waziri wa maji aweso akatatuwe kero zetu Asante
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 3 месяца назад
Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ngwanyijekatanga1682
@ngwanyijekatanga1682 9 месяцев назад
Njoo wilaya ya uvinza utamkuta mtu mmoja anaitwa antoni ni tatizo
@endlessloveofchristlovewor9991
Miguguno mingi mara TASAF, TAGES, TASS, TAKUKURU, TARURA mnachanganya tu wananchi. Wapeni maendeleo muache kuongea ongea
@J4UPro
@J4UPro Год назад
Safi sana baba
@husseijuma1025
@husseijuma1025 Год назад
mheshimiwa rais acha kasulu sisi wananchi wa michese dodoma tuna matatizo kama hayo sisi tuna visina lakin hatuna maji
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Kwani kuna anaetosha kwenye hiyo CCM wachumia matumbo tupu. Acheni kuonea watu.
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Год назад
Punguza ujinga, kuonea wapi vipi, huo ndio ujinga wa watanzania wengi, watu wakifanya kazi mnalalamika, wakiacha kelele
@barnaba3037
@barnaba3037 Год назад
Fisiem ni tatizo, ni saratani ya taifa miaka 60 watu wanakunywa maji machafu
@sadikykiyago3030
@sadikykiyago3030 Год назад
Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante
@EliasGilbert-he3fc
@EliasGilbert-he3fc 3 месяца назад
Msifananishe vitu vya ajabu na magufuri bhana kile kilikuwa chuma cha reli
@Zafaabutterfly
@Zafaabutterfly 4 месяца назад
Kampeni watu wanatumia akili kubwa cheza na mama nini
@murandabrian
@murandabrian 3 месяца назад
nchi yangu kenya jameni jambo kama hili kufanyika ni kinaya sanaa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Yaani kwnn kufanya yaani kisimamia miradi ya nchi owe tabu. Jamani nipeni hata kwa kujaribu
@stellah3844
@stellah3844 Год назад
Ila kigoma kuna vumbi mweeeee😅
@bermudatriangle434
@bermudatriangle434 3 месяца назад
Makamu wa raisi 🔥🔥
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 4 месяца назад
Mh Waziri Aweso una majukumu makubwa na kweli wewe ni mchapa kazi naona unavyo angaika sana japo wizara yako ni ngumu mno.
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Год назад
Au bhasi, ila hao wanaolaumiwa ndio zao la nidhamu ya kutoka moyoni mlioitaka na kuitangaza hadharani! Na hao sio shida, shida ni hao tunaowaamini kua ndio viongozi wa juu, how unatoa pesa na huzifuatilii zimefanya kazi gani? Rip jpm ulitufunza mengi! MUNGU akupe maoumziko mema huko uliko! Next month ntakuja ku visit kaburi lako ulipolala! #salute
@EmanuelJoseph-cx3hz
@EmanuelJoseph-cx3hz 4 месяца назад
Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi
@dominiceugene848
@dominiceugene848 4 месяца назад
Danganya toto za kukaribia uchaguzi
@ShabaniRamadhani-jb6wy
@ShabaniRamadhani-jb6wy 2 месяца назад
Naomba goma ya sigeri
@henryj3304
@henryj3304 Год назад
Huyu Baba anaongea kwa hisia sana hadi unaweza ukatoa machozi. Mungu akupe maisha marefu Mh. Vice President.
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 Год назад
Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa
@frankmwagara5025
@frankmwagara5025 Год назад
Umeongea kweli makamu wa rais wengi wanapenda kufuga uzembe
@enockkimase6764
@enockkimase6764 Год назад
Naitwa ENOCK KIMASA HAWA WANAKA MUDA MWINGI OFISINI
@omarykajuna2552
@omarykajuna2552 Год назад
Hii sijaelewa vizuri wenye uelewa wanifahamishe , makamu wa raisi anatoa maagizo? Na anamua ? Kama kauli ya raisi ni helia akiagiza , akielekeza ndio hivyo hivyo je makamu wa raisi kauli yake nini?
@frankkashner
@frankkashner Год назад
Our VP well done Sir
@RuandaDimoso
@RuandaDimoso 4 месяца назад
Hamna kitu mnakuaga wapi inamaana makatibu hawapeleki lipoti? Mpaka muumbuane kujifanya nyinyi wasafi
@AkimuMovie-rt3rp
@AkimuMovie-rt3rp Год назад
Ma home 👏👏👏
@LaurentMuya-mb9rf
@LaurentMuya-mb9rf 11 месяцев назад
Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu
Далее
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 453 тыс.